Wazo Kuu

Senior Member
Oct 21, 2018
114
293
Mbunge wa Jimbo la Kawe, Askofu Josephat Gwajima amemshauri Spika wa Bunge, Job Ndugai ajiuzulu kutokana na mpasuko ambao amesema anauona

Gwajima amesema anaona Ndugai anataka kuchonganisha wananchi na serikali kwa kauli yake ya kusema '2025 mkimuweka mwingine sawa'

Aidha amesema suala la mkopo ni la tangu muda mrefu na sio kwamba Tsh. Trilioni 70 zilikopwa na Rais Samia pekee


 
Halafu hawa wanatuzarau sana! Wao mifukoni wamejaza fedha kiasi kwamba hawana hofu juu ya kula,kunywa na kulala!.
Wanaita vyombo vya habari tusikilize shibe zao tu.

Lini wataita vyombo vya habari wazungumzie shida zetu na namna ya kuzitatua..?
Vyombo vya habari navyo ndo vinapenda kumulika mambo ya hivi,nchi hovyo sana hii.
 
Kesho atamtukana Samia pia, kifo cha Magufuli (RIP) hakiwafundishi hawa wanaoitwa Viongozi chochote kile, wanarudia mambo yale yale, waliomtukuza Magu alipofariki walimkana na kumtukana haya naye anajiona Mungu mtu leo hii lkn hajui hao akina Gwajima wanaotumika watakuja kumtukana pia kesho akiondoka.

Kwa nini msifanye kazi, tatueni matatizo ya watu inalipa zaidi huko mbele ya safari na watu watawapigania badala ya Majungu, Fitina na Wizi.

Low IQ people!
 
1641472739444.png


Anzia Dakika ya 28
 
Halafu hawa wanatuzarau sana! Wao mifukoni wamejaza fedha kiasi kwamba hawana hofu juu ya kula,kunywa na kulala!.
Wanaita vyombo vya habari tusikilize shibe zao tu.

Lini wataita vyombo vya habari wazungumzie shida zetu na namna ya kuzitatua..?
Vyombo vya habari navyo ndo vinapenda kumulika mambo ya hivi,nchi hovyo sana hii.
Point
 
Halafu hawa wanatuzarau sana! Wao mifukoni wamejaza fedha kiasi kwamba hawana hofu juu ya kula,kunywa na kulala!.
Wanaita vyombo vya habari tusikilize shibe zao tu.

Lini wataita vyombo vya habari wazungumzie shida zetu na namna ya kuzitatua..?
Vyombo vya habari navyo ndo vinapenda kumulika mambo ya hivi,nchi hovyo sana hii.
Vyombo vya habari vinaripoti matukio yanayotokea, havitengenezi matukio.
Pia vinakijita kwenye matukio hot, ukiripoti ukosefu wa maji huko mchambawima wakati huu chombo chako cha habari kitadoda.
 
Mathayo 7:19....
SSH MH Rais, usimuamini huyu mumiani mchumia tumbo.
Yaani akijiangalia kwenye kioo anaona Sura ya Ayubu. Maana wamefanana ufupi mpaka tabia zao za kinyonga, undumilakuwili, ukigeugeu.

Atueleze Kwanza, Yule mrembo wa guest bado yupo??

Everyday is Saturday.........................................:cool:
 
Back
Top Bottom