Hili jambo nimelikumbuka,,,,
Hapo zamani za kale kulikuwa na miradi mbalimbali iliyokuwa chini ya serikali.,,,kama vile NAFCO...
kwa kifupi sijui ilikuwaje kuna jamaa akawa General Manager kwenye moja ya mashamba makubwa pahala...lakini kichwani ni kama vile "Trump''kwa sasa....
Pengine huyu...