boss

  1. K

    JamiiForums Tanzania Kwa nilichokiona kwa huyu boss wangu, sitahangaika kumridhisha mwanamke

    Jamaa ni boss wangu lakini tumekua marafiki wakubwa mambo mengi ya kifamilia tunashirikishana. Jamaa ana ndoa yake ya kikatoliki na watoto uchumi uko vizuri, Boss kanasa kwa dada mmoja pisi na nusu, dada ni mzuri Hadi kero, ana rangi, shape na kaenda hewani huko nyuma ni hatarii Lakini demu ni...
  2. de Gunner

    JamiiForums Tanzania Kutoka 'Boss' Kwenda Kebehi: Mbona Heshima Hupungua?

    Moja ya kitu ambacho sisi wabongo tunajua vyema ni kumnafikiana.. Utakuwa kama mtu hakujui vyema, atakuita majina kama, boss, kiongozi, mkuu, kamanda.. And so forth.. Ila baada ya ku kujua au kuku friendzone utaanza kusikia inaitwa vitu vya ajabu, mara, yaani ukaribu ni kama kigezo cha ku...
  3. K

    JamiiForums Tanzania Utekaji na "Majeshi" Binafsi Vikitikisa Nchi: Kwanini Waziri Katambi na Boss Wake Wanaona Dudubaya na Uchafu wa Dar Ndio Kero Kubwa?

    Habari wana-JamiiForums, Hivi karibuni, tumeshuhudia tukio ambalo limeacha maswali mengi kuliko majibu kuhusu mwelekeo wa usalama wa nchi yetu. Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Patrobas Katambi, ameingia kwenye vichwa vya habari baada ya kuwaita wasanii na maarufu wa mitandao ya kijamii na...
  4. M

    JamiiForums Tanzania Timothy ‘Tim’ Cook Draper, bilionea kutoka Marekani, atangaza kuuza kisiwa chake kilichopo Ziwa Tanganyika, Tanzania

    Timothy ‘Tim’ Cook Draper, bilionea kutoka Marekani, anayejulikana sana kwa uwekezaji wake katika makampuni makubwa ya teknolojia na sarafu za kidijitali (cryptocurrency), ametangaza kuuza kisiwa chake kilichopo Ziwa Tanganyika, Tanzania. Anasema hakitumii vya kutosha. Bei ni $7.9 million (zaidi...
  5. TAJIRI MKUU WA MATAJIRI

    JamiiForums Tanzania Ukiwa kama mwajiriwa ambaye Mhasibu amekosea malipo, mjibu boss wako kwa sentensi moja 😂😂😂

  6. uran

    JamiiForums Tanzania Inahitajika Nidhamu ya hali ya juu, Kuwa Boss wa Mwanamke mwenye nidhamu na Utii

    Wakuu! Hii ni asili, Wanaume wengi tunakosa ujanja pale tunapokutana na Wanawake wenye nidhamu na utii, hata kama wameolewa. Ni noma sana! Nimekutana na wakati mgumu kidogo, nimewaza sana! Nilipewa jukumu moja la kuwa team leader. (Sio mara yangu ya kwanza kuwa kiongozi) but this time...
  7. Eronda

    JamiiForums Tanzania, JamiiForums Uganda Customs Boss Nabbed in $60,000 Audit Bribe Scandal

    Uganda Revenue Authority arrested Ssozi Geoffrey, the Manager, external operations, Customs who was allegedly caught receiving a bribe of USD 60,000 from a taxpayer at a renowned restaurant in Kampala last Thursday. Assistant Commissioner, Public and Corporate Affairs Division Robert Kalumba...
  8. Archival Sense

    JamiiForums Tanzania, JamiiForums Uganda Soroti charity boss jailed over Shs3.1m meant for orphaned pupils

    Boniface Evagu, the Managing Director of Teso Talents Foundation, pleaded guilty before Ngora Magistrate Isaac Boniface Abilu on Thursday. Court heard that Evagu received Shs3.5 million from United Kingdom-based donors through his DFCU Bank account to pay fees for learners at Vienna Nursery and...
  9. Ponjoro wa Kinondoni

    JamiiForums Tanzania Mwigulu Amegeukwa na Boss wake?

    Huyu aliahidiwa atarithishwa kiti ili kulinda uovu wa october lakini sasahivi Yezebeli ameona ampe ahadi hiyo makamu wake endapo atafanikiwa kuteka hisia za watu. Watanzania msikubali kuchezewa akili, hawa wote wanastahili kupelekwa mahali alipopelekwa Polepole. Haiwezekani mfanye mauaji halafu...
  10. nzalendo

    JamiiForums Tanzania Alim-over shine boss wake ugomvi ukahamia kwa wake zao

    Hili jambo nimelikumbuka,,,, Hapo zamani za kale kulikuwa na miradi mbalimbali iliyokuwa chini ya serikali.,,,kama vile NAFCO... kwa kifupi sijui ilikuwaje kuna jamaa akawa General Manager kwenye moja ya mashamba makubwa pahala...lakini kichwani ni kama vile "Trump''kwa sasa.... Pengine huyu...
  11. Eronda

    JamiiForums Tanzania, JamiiForums Uganda UHRC Boss Accused of Financial Misconduct & Abuse

    Mariam Wangadya (L) and Crispin Kaheru Credit: UHRC-Uganda Three commissioners of the Uganda Human Rights Commission (UHRC) have petitioned President Yoweri Museveni and the Inspector General of Government (IGG), raising a raft of allegations including financial misconduct, abuse of office, and...
  12. mwehu ndama

    JamiiForums Tanzania Boss wa mke wangu ana moyo wa utu sana

    Leo niliitikia wito wakwenda ofisini kwa mke wangu kuonana na boss wake kwaajili ya mazungumzo! Nimefika tumezungumza mambo mengi sana Kubwa zaidi boss wake kasema nimruhusu mke wangu ampangie nyumba karibu na kazini ili awe anapata muda wakupumzika mapema nakufanya kazi zaidi maana ilikuwa...
  13. K

    JamiiForums Tanzania Je, ni kweli Boss wa Wasiojulikana kamnyoshea mikono juu Askofu Gwajima?

    Kwanza nianze kumpongeza Askofu Gwajima, ukimsikiliza kwenye YouTube akiwa Kanisani kwake leo tarehe 04 June 2026, amempa makavu Boss wa Wasiojulikana Kwamba Hampati. Hii Ina maana Boss huyo kamnyoshea mikono juu Askofu Gwajima Kwamba mwamba ni Jasusi wa Mbinguni hakuna anayeweza kumfanya...
  14. B

    JamiiForums Tanzania Showcase za kuhamishika. Nipe oda boss nkutengenezee yako

    showcase za kuhamishika.. boss wangu hizi showcase zinabadili kabisa muonekano wa seble yako.. seble yako inakuwa 🔥🔥 boss wangu ww jiamulie mambo tu😁 kwa kunipa oda nkutengenezee showcase yako.. tupo dar mbagala 0692477610
  15. K

    JamiiForums Tanzania Mama 2021 Maua mazuri sasa 2026 yamekauka

    Kwa wanaopenda Tanzania tuko katika wakati mgumu sana kama nchi . Washauri wabaya na uvivu na kujiachia kizanzibari sasa Mama ambaye alikuwa maua yenye harufu nzuri 2021-2022 sasa maua yamekufa kabisa ni lazima yaote upya au tuoteshe mengine. Haya maua ni too late sasa
  16. ngara23

    JamiiForums Tanzania David Djumbe asema kiongozi wa waliomteka alikuwa akiongea lafudhi ya ki Zanzibar

    Tukiwa tunasubiri uchunguzi wa police Nimeshtuka kauli ya David Jumbe kuwa alisikia lafudhi ya aliyekuwa akiongoza genge la waliomteka alikuwa Mzanzibari Na alisisitiza kuwa Jumbe asipelekwe police Bali apelekwe Kwa boss akauwawe Hii ni mbaya sana Wazanzibar kuingia Tanganyika na kuendesha...
  17. nzalendo

    JamiiForums Tanzania Nilikuwa na bosi mwanamama

    Naam katika maisha ya hapa na pale ya utafutaji enzi za ujana wangu nilipata kuwa na boss mwanamke wa makamu (mtalaka mwenye watoto watano). PIcha linaanza siku ya kuitwa kazini nikapigwa stop na sababu zilizotolewa hazikuwa na mashiko yeyote..baasi huku na kule nikaenda pahala kwingine kufanya...
  18. K

    JamiiForums Tanzania Mzee aliye data wasira wauaji ni ma boss wako

    Mzee huyu inabidi apewe wana za kupunguza ukichaa wa uzeeni hayupo sawa kabisa. Yaani hata hajitambui kwa ukweli kwamba mauaji ya mwaka jana amri imetoka kwa boss wake
  19. Alexido jz instagram

    JamiiForums Tanzania BARUA ZINATEMBEA HAPA OFSINI SIO POA, NIOMBEENI, BOSS ANADAI HALI MBAYA, SINA RAHA KABISA, SIKIENI TU, OMBENI YASIWAPATE

    Kama Kuna mtu Nisha mkosea, naomba nisamehewe, mana Kuna uwezekano nikawaangukia any time nipate pakujishikisha, wakuu samahan kama Nisha wahi kumkosea mtu humu, tusamehane sisi ni ndugu. Watu wanatakiwa wapunguzwe, acheni tu Zachariano alexido
  20. Archival Sense

    JamiiForums Tanzania, JamiiForums Uganda UEDCL boss sacked!

    (Image courtesy of Daily Monitor) Government has effected sweeping leadership changes at the Uganda Electricity Distribution Company Limited (UEDCL), terminating the contract of Board Chairperson Lydia Ochieng-Obbo and sending Managing Director Paul Mwesigwa on forced leave as part of what...
Back
Top Bottom