afya ya akili

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Roving Journalist

    Zanzibar Mental Health Support Organization imeanza kutekeleza Rasmi Mradi wa Elimu ya Afya ya Akili Shuleni

    Zanzibar Mental Health Support Organization imeanza kutekeleza Rasmi Mradi wa Elimu ya Afya ya Akili Mashuleni Unguja, Zanzibar – 23 Januari 2025 Zanzibar Mental Health Support Organization (ZAMHSO) kwa kushirikiana na Wizara ya Elimu na Wizara ya Afya, imeanza kutekeleza rasmi mradi wa kutoa...
  2. Now and then

    Familia yangu Mke na Mtoto wangu Mkubwa wamepata tatizo la Akili naomba ushauri wakuu

    Habari wanaJF . Kiufupi Mimi Baba wa watoto watatu ambao wote ni wa kike. Naishi nao pamoja na Mama yao . Tumefanikiwa kuishi miaka 12 mpaka sasa katika ndoa yetu. Changamoto kubwa ambayo ninaipitia ni hii hapa. Mimi kazi yangu kubwa ambayo huwa nafanya ni kuuza mazao , kuku wa kienyeji...
  3. Dalton elijah

    Je, ni kweli ukiwa single unapata kichaa ama afya ya Akili?

    Kumekuwa na uVumi kwamba kuwa single kunasababisha kichaa na Afya ya Akili. Je, kuna ukweli wowote ule kuhusiana na kauli hili?
  4. Just Pray

    Je, jamii inawezaje kuyakabili magonjwa ya afya ya akili? ilinde afya yako ya akili, ni tunu yako

    Afya ya akili ni miongoni mwa mada zinazopuuzwa, zisizozungumzwa vya kutosha, pia zenye wataalamu wabobezi wachache sana kwa Tanzania. Lakini pia ni mada ngumu kuzungumzwa kutokana na kukosa uelewa sahihi kwa sababu jambo hili huchukuliwa juu juu pasipo upembuzi wa kina. Mtaalamu mmoja wa...
  5. Royal Son

    Wimbi la vijana kuwa changamoto ya afya ya akili

    Habari za Jioni naona wimbi la vijana miaka 35- ndio wengi wanakuwa Vichaa au Changamoto ya Afya Akili Shida hasa ni nini
  6. K

    Madaktari na manesi wa Hospitali ya Afya ya Akili Mirembe pokeeni Maua yenu!

    Habari Wana jamiiForums, Nipende kuwapongeza sana madaktari na manesi wa Hospitali ya Afya ya Akili iliyopo mkoani Dodoma. Kwa mtazamo wangu, niliposikia hii ni Hospitali ya wagonjwa wa afya ya Akili nilijua madaktari na manesi watakuwa ni watu waliokaa kikatili,hawajali na ni watu wa matusi...
  7. The Father of All

    Kuna kila haja ya kupima afya za wanaogombea uongozi nchini hasa afya ya akili

    Wanabodi, Watanzania wanajua wanavyotawaliwa na walivyotawaliwa. Kuna mambo yaliyofanywa au kufanywa na baadhi ya viongozi wetu yanatia shaka kuhusu utimamu wao kiafya hasa upstairs. Haya ni mawazo na maoni yangu. Sijui kama wenzangu mnayaona haya. Na kama mnayaona, mnaonaje ushauri kuwa kuna...
  8. Vincenzo Jr

    Watanzania wengi kweli tuna changamoto ya Afya ya akili

    Mtu anakupigia simu na namba ya Mtu mwengine sio ile ulioizoea. Unapokea unamuuliza Nani mwenzangu? Anakujibu Otea Mimi ni Nani😂😂
  9. NostradamusEstrademe

    Serikali kuwapima afya ya akili waajiriwa wapya

    chanzo gazeti la mwananchi la jana 19 Dec 2024 Ila mimi kwa mawazo yangu waache kuonea watumishi wa umma.Wangeenda mbali zaidi na Wanasiasa hadi Bungeni. kuna baadhi ya mambo wanapitisha mpaka unawaza wanafikiria kwa kutumia matumbo au kichwa? Ni mambo yapi ambayo mnafikiri wabunge wetu wakati...
  10. SYLLOGIST!

    Naibu Waziri Deus Sangu aonyeshe mfano-aanze kupima afya ya akili yake kwanza na atuletee matokeo yake/mrejesho

    Mada Inajieleza. Mh. Deus Sangu bado ni kijana? Soma pia:Naibu Waziri Deus Sangu: Tutaanza kufanya vipimo vya afya ya akili kwa vijana kabla hawajaajiriwa Serikalini
  11. Mindyou

    Naibu Waziri Deus Sangu: Tutaanza kufanya vipimo vya afya ya akili kwa vijana kabla hawajaajiriwa Serikalini

    Wakuu, Inakuaje vijana mmekuwa na utovu wa nidhamu kiasi hiki mpaka mnatakiwa mpimwe afya akili kabla hamjawa watumishi wa umma huko Serikalini? Akizungumza leo Jijini Dodoma na Naibu Waziri , Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Deus Sangu wakati wa akifunga kikao kazi cha siku...
  12. Tman900

    Umasikini + Magonjwa na Afya ya Akili.

    Wahubiri wanatumia watu kua mtaji wao, na kumekua na mahubiri ya kuhubiri mafanikio, na Kuna utapeli unaombatana na Dini, wahubiri wanajinufaisha kupitia Fedha za waumini wao. Jopo kubwa linalolengwa na wahubiri ni wanawake. Ukitazama Television nyingi wanashuhudia kujibiwa maombi na Kuna kua na...
  13. S

    Mnaolinganisha mafanikio ya Rais Samia na Rais Nyerere, huenda mna tatizo la afya ya akili kwa kutozingatia ukweli huu hapa

    Kuna watu wamekuwa kero kama kelele za mbu karibu na sikio. Wanalinganisha mafanikio ya Raisi Samia na yale aliyofanya Raisi Nyerere enzi za uraisi wake. Wanashindwa kabisa kutambua Nyarere kama Raisi hawakuwa na wigo wa serikali kupata mapato alionao Samia hivi sasa. Leo hii ukilinganisha hela...
  14. B

    Bao la usiku kwa ajili ya afya ya akili na mwili

    Hakuna mechi kali Kama Ile inayoanza saa tano na kuendelea watoto wameshalala, Aidha kama hamna watoto, basi mshamaliza task zote 👉Missionary style ndo iwe style ya mwisho, kutoa wazungu wenye asili ya wayahudi🤣 Kuna ile mechi fulani huwa inaanza Satisa usiku umeshtuka tu usingizini unavuta...
  15. Brojust

    Uraibu wa picha za ngono na kujichua

    Mimi sio daktari ila nasikia ni kianzilishi kikubwa sana cha magonjwa ya moyo. Vijana wenzangu ukifikia hali ya kupiga nyeto mpaka mara tano kwa siku basi ujue kwamba una hali mbaya sana. Kama kuna dawa ya kuacha nyeto basi wataalamu tusaidieni. Ndio maana siku hizi watu wenye matatizo ya...
  16. dem boyz

    Israeli-Gaza war: Zaidi ya wanajeshi 6 wa Israeli wajiua huku maelfu wakumbwa na matatizo ya afya ya akili

    Katika hali ya kushangaza,jamaa wakiwa full-combated huku wakiwa wamejibebesha kila aina ya vifaa vya kisasa juu ya miili yao kuwasaidia kwenye battle ground dhidi ya Hamas,hapo ni baada ya jets na tanks za kisasa kusasfisha njia ili kuweka mteremko zaidi lakini mambo yamekuwa si mambo kwa...
  17. Kusini pride

    Nimeukumbuka wimbo ya Karubandika hapa, nahisi au inawezekana naelekea huko

    Wakuu sina mengi ya kuandika kabisa ila nahisi naelekea huko kwa wapenzi au wasikikilizaji wa nyimbo ya karubandika ya mtoto wa dandu kama umeisikiliza vizuri ndiyo ambacho nikizingua naenda kukipitia hiko maisha si rahisi kama unavyofikiri ndugu zangu dunia imejaa dhiki na maumivu yasioelezeka...
  18. J

    Tanzania ifuate mpango na msimamo huu kusaidia kudhibiti madhara ya mitandao ya kijamii kwa afya ya akili ya watoto

    Australia inapanga kuzuia watoto wenye umri chini ya miaka 16 kuingia kwenye mitandao ya kijamii ili kulinda afya ya akili ya vijana, huku waziri mkuu Anthony Albanese akisema kuwa mitandao hii imekuwa na athari mbaya kwa watoto na kwamba ni wakati wa kuchukua hatua. Makampuni ya mitandao ya...
  19. Mkalukungone Mwamba

    Serikali inatarajia kuanzisha Baraza la Afya ya Akili nchini

    Haya sasa wale ambao wanakutana na matatizo ya afya ya akili hatimaye serikali imewakumbuka sasa Ila nimeipenda hii itatusaidia wengi sana. Kikubwa hilo baraza lifanye kazi kwa uwelidi na kuwasaidia watu ===================== Serikali inatarajia kuanzisha Baraza la Afya ya Akili nchini...
  20. M

    Waajiriwa wa sekta binafsi hatuna Afya ya akili

    Wana Jf mko poa? Aisee wale wenzangu namimi wa sekta binafsi, tuambizane kama nyie mna Afya ya akili makazini kwenu. Picha linaanza unaingia ofisini saa2 unaondoka saa11, ni lazima sio matakwa tu. Halafu mshahara wako ambayo ni haki Yako, unapata tarehe 37, 38, 39 sometimes mpaka hata tarehe...
Back
Top Bottom