afya ya akili

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mafyangula

    JamiiForums Tanzania Ugumu wa maisha ni miongoni mwa sababu kuu zinazochangia ongezeko la changamoto za afya ya akili

    Ikiwa leo ni Siku ya Afya ya Akili Duniani, Msaikolojia Tiba wa Hospitali ya Taifa ya Afya ya Akili Mirembe, Arafa Ali Arajiga, amesema ugumu wa maisha ni miongoni mwa sababu kuu zinazochangia ongezeko la changamoto za afya ya akili, hususan kwa watu wenye umri wa kati ya miaka 20 hadi 50...
  2. E

    JamiiForums Tanzania Andrew Nyerere ni mgonjwa wa afya ya akili, asaidiwe kwa maombi

    ANDREW NYERERE NI MGONJWA WA AFYA YA AKILI , ASAIDIWE MAOMBI. Familia ya mwalimu Nyerere ilipata bahati mbaya sana na haikuwa bahati kwa huyu mtoto wake Andrew Nyerere ambaye ni mtoto mkubwa wa Baba wa Taifa ana matatizo ya akili na wendawazimu ambao kwa kweli anatakiwa apewe matibabu na...
  3. Lucha

    JamiiForums Tanzania Padre Aliyejiteka ana changamoto ya Afya ya akili

    Jeshi la Polisi mkoani Iringa limemfutia kesi ya kujiteka na kutoa taarifa ya uwongo mtandaoni iliyokuwa ikimkabili Padre Jodan Kibiki wa Kanisa Katoliki Parokia ya Nyololo, Jimbo la Mafinga baada ya uchunguzi wa kitabibu kugundua Padre huyo ana changamoto ya afya ya akili. Akitoa taarifa hiyo...
  4. Marco Seth

    JamiiForums Tanzania Kila mtu ana kichaa chake

    Katika saikolojia, kauli ya “kila mtu ana kichaa chake” wewe Fanya observation utaona Kila mtu ana tabia, fikra, au hisia zisizo za kawaida au tofauti na wengine, hata kama si ugonjwa wa akili. Inaweza kumaanisha pia kuwa hakuna mtu mkamilifu kiakili kila mtu ana mapambano yake ya ndani...
  5. Tlaatlaah

    JamiiForums Tanzania GE2025 Huenda changamoto ya afya ya akili ikawakosesha wengi sifa na fusra ya kupiga kura kwa mujibu wa sheria uchaguzi mkuu wa Oct.2025 na sio reforms

    Huenda wengi wenye mawazo au mtazamo wa kutoshiriki uchaguzi au kutokupiga kura uchaguzi mkuu wa october2025, wanapitia changamoto hiyo mtambuka ya afya ya akili kwasasa, na kujikuta wakiwa na msukumo au shinikizo hasi lisilo na faida kwao wenyewe, familia zao na taifa kwa ujumla. Ugumu wa...
  6. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Utafiti – ZANZIBAR: Asilimia 30 ya Wajawazito wana tatizo la Afya ya Akili

    Wizara ya Afya Zanzibar kwa kushirikiana na Shirika la Afya Duniani (WHO) imefanya utafiti wa Afya ya Akili kwa Wanawake Wajawazito uliofanywa na kubaini kuwa asilimia 30 ya Wajawazito wana tatizo la Afya ya Akili, huku asilimia 26 ya waliokwisha jifungua pia wakikutwa na changamoto hiyo...
  7. funaku

    JamiiForums Tanzania Namtia moyo Pastor Tony Afya duni ya akili imewafanya wengi Wawe na chuki kwa waliofanikiwa!

    Asilimia kubwa wanaokudhihaki ni wakina dada ambao kimsingi wanakutamani sana kwa mafanikio yako. Kitendo cha Mke wako kujitokeza katika kukuunga mkono kinaibua hasira na chuki yao dhidi ya mke wako na wanamuona kama vile hakustahiki kuwa nawe. Trust me Trend hii ya kukunanga imemlenga mama...
  8. Ponjoro wa Kinondoni

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanaobeti wana changamoto ya afya ya akili

    Hii fursa mimi naitumia wananiletea tu hela. By Ponjoro wa Kinondoni Sasa Kizimkazi.
  9. G

    JamiiForums Tanzania Baadhi ya tabia zinazoimarisha afya ya akili

    Some random menu items. Especially important. For individuals. Aspiring a balance. Healthy longevity. Keeping the sanity Intentional cold shower in the morning A glass of hot water before sunrise Eating only once per day A mindful 1 hour walk every evening 1 day per week without technology...
  10. ufalmedigital

    JamiiForums Tanzania Je, jamii yetu inajua vya kutosha kuhusu afya ya akili?

    Je, jamii yetu inajua vya kutosha kuhusu afya ya akili? Katika kipindi hiki ambapo msongo wa mawazo umeongezeka, ni muhimu sana kupata maarifa sahihi. 🎓 Kozi hii kutoka ChuoSmart inaeleza kwa lugha rahisi: Dalili za matatizo ya afya ya akili Namna ya kujisaidia au kusaidia wengine Njia za...
  11. ufalmedigital

    JamiiForums Tanzania 🧠 Afya ya Akili ni Muhimu Kama Afya ya Mwili

    🧠 Afya ya Akili ni Muhimu Kama Afya ya Mwili Unajua nini kuhusu msongo wa mawazo, huzuni sugu, au kukosa usingizi wa kudumu? Watu wengi wanapitia changamoto hizi kimya kimya bila msaada. Elimu ni kinga. Toa muda wako kujifunza – kwa ajili yako na kwa ajili ya wengine.
  12. blogger

    JamiiForums Tanzania Afya Ya Akili sasa inatumika kufichaUshirikina, uovu, ubakaji, mauaji na unyofoaji wa viungo vya binadamu kishirikina

    Hili sasa lifike Mwisho. Na Lazima tukumbuke kwamba tuko mwaka gani. Sitaki amini eti, AFYA YA AKILI kwa matukio haya. Hapana Dkt. Gwajima D njoo utuambie shida ni nini. Mauaji ya hovyo yamezidi. Ahsante.
  13. Pdidy

    JamiiForums Tanzania Rubani msaidizi wa air india alikuwaa na shida ya afya ya akili miaka minne iliyopita...rubani mkuu alifiwa na mamayake wiki 3 zilizopita aisee

    NILIKUWA NASOMA TAARIFA MOJA YA AJALI YA AIR INDIA KTK MAMBO YALIYOSABABISHA AIR INDIA KUDONDOKA KUNA KIFAA CHA MAMBO YA MAFUTA WALIKIWEKA OFF BADALA YA ON KABLA YA TAKEOFF RUBANI MSAIDIZI KUJA KUSHTUKA AKAANZA MAJIBISHANO NA RUBANI MKUU NANI KAWEKA OFF...MANENO KIBAO KUWEKA ON WOII NGOMA...
  14. Genesis_2030

    JamiiForums Tanzania Umewahi kujisikia mpweke katikati ya watu wengi? Kuhisi maumivu ya ndani na hakuna anayeona? Hauko peke yako, Tuzungumze Afya ya akili

    🧠 Elimu ya Afya Leo: AFYA YA AKILI (Mental Health) 📲 IG: @hillary_officialtz ❓ AFYA YA AKILI NI NINI HASA? Fikiria afya ya akili kama utulivu wa nafsi. Ni uwezo wako wa ndani wa kukabiliana na changamoto za maisha, kudhibiti hisia zako, kujenga mahusiano yenye afya, na kufanya maamuzi kwa...
  15. W

    JamiiForums Tanzania Wengi tumeharibu maisha yetu kwenye rika la miaka 20 - 35, kijana jitambue mapema lasivyo utajikwaa tulipoangukia

    Afya Katika rika la miaka 20 hadi 35, wengi hujisahau kwa sababu mwili bado una nguvu, lakini hapa ndipo msingi wa afya ya baadaye hujengwa. Kula hovyo, kukosa mazoezi, usingizi mbovu, matumizi ya pombe, sigara, au dawa za kulevya huanza kuharibu mwili kimyakimya. Magonjwa kama kisukari...
  16. Tauceti Rigel

    JamiiForums Tanzania Kwa Nini Baadhi ya Walevi Hufanikiwa na Wengine Huangamia?: Pombe Ile Ile, Hatima Tofauti

    Makala hii inachambua uhalisia mgumu wa ulevi, ikionyesha kwamba pombe haifanyi kazi sawa kwa kila mtu. Watu wawili wanaweza kunywa pombe ile ile, lakini mmoja aendelee kustawi huku mwingine akiangamia. 1. Ulevi si Lazima Uwe na Kelele Wapo walevi wanaoonekana ‘safi’ kwa nje – wana kazi...
  17. Rorscharch

    JamiiForums Tanzania Mashoga Wanadai Haki, Lakini Je, Tunaelewa Tunachoshinikizwa Kukubali?

    “Mashoga Wanasema Wanataka Haki Zao, Lakini Kabla Hatujaanza Kujadili Hizo Haki, Tuwajadili Wao Kama Jumuiya” Nianze kwa kusema jambo moja, kwa sauti ya juu na kwa tahadhari ya tahadhari: Dunia inacheka huku inaungua. Na sisi, Waafrika, Watanzania, watu wa tabaka la wanaojiona bado tuna...
  18. Tauceti Rigel

    JamiiForums Tanzania ULEVI: Kwa nini wengine wanabaki juu (Wanajimudu) wakati wengine wanaporomoka?: Kwa jicho la Huruma tutafakari maisha ya ndugu zetu hawa

    Katika maisha ya kila siku, utawakuta watu wawili – wote ni walevi. Mmoja anakunywa kila siku, lakini bado anavaa vizuri, ana kazi nzuri, ana familia yenye furaha, na hana deni la mtu yeyote. Mwingine? Anakunywa vilevile, lakini maisha yake ni hadithi ya huzuni – ameachwa na familia, hana kazi...
  19. Alloyce PR

    JamiiForums Tanzania Imani ya dini vs. Afya ya akili

    "Kuna mstari mwembamba sana kati ya imani ya dini na changamoto ya afya ya akili, wakati mwingine mtu anaweza kuonekana kuwa na imani timilifu, lakini ndani yake anapambana kimya kimya na msongo wa mawazo au huzuni . Ni muhimu kujichunguza au kuyatathimini mahubiri kabla ya kufuata mkumbo ." —...
  20. Camilo Cienfuegos

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Usiku wa leo kuna members watakuwa bize kugombania kuanzisha uzi wa Berkane Vs Simba, hii nayo ni tatizo la afya ya akili

    Kuna members watakuwa wako bize kugombania kuanzisha uzi wa fainal kati ya Berkane vs Simba Hili nalo ni tatizo la afya ya akili, kwanini msisubirie lisaa limoja kabla ya mechi ndio mfungue uzi? Maana hata uchambuzi wa mechi mara nyingi huanza lisaa limoja kabla ya mechi. Fun enough...
Back
Top Bottom