Search results

  1. Nguruka

    Ni kauli gani ya vyama/wagombea ilikupa hofu wakati wa kampeni za uchaguzi?

    Mara nyingi wakati wa Kampeni za uchaguzi, kumekua na kauli mbalimbali zinazotolewa na vyama vya Siasa au wagombea ambazo zinachagia hofu kwa wapiga kura kujitokeza kupiga kura wakati wa Uchaguzi. Mfano wa kauli za vitisho ni "Jino kwa Jino" "Moto utawaka siku ya Uchaguzi" Je, wewe mdau...
  2. Nguruka

    TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) yateua watatu viti maalum vya udiwani

    TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), imefanya uteuzi wa Madiwani watatu (3) Wanawake wa viti maalum kuziba nafasi zilizoachwa wazi katika Halmashauri tatu za Tanzania bara. Uteuzi huo umefanyika kwa mujibu wa kifungu cha 86A (1) cha Sheria ya Uchaguzi ya Serikali za Mitaa, Sura ya 292 kikisomwa...
  3. Nguruka

    Maembe wa ACT Wazalendo arejeshwa kugombea Udiwani kata ya Dunda

    Tume ya Taifa ya Uchaguzi yapokea na kuzikubali Rufaa tatu za wagombea Udiwani akiwepo Vitalis Maembe wa ACT Wazalendo.
  4. Nguruka

    AFYA: Wizara ya Afya inasemaje kuhusu utafiti huu?

    Kuna tafiti imechapishwa katika tovuti ya https://www.mdpi.com/2079-6382/11/9/1222?type=check_update&version=2 unaohusu upatikanaji wa mabaki ya dawa katika nyama za kuku tunazokula hususani wale wa broiler. Utafiti umefanyika Ilala na Kinondoni mkoani Dar es Salaam. Utafiti huo umebeba...
  5. Nguruka

    Kenya 2022 Watanzania wajifunze nini Uchaguzi Kenya?

    Agosti 15, 2022 matokeo ya Uchaguzi yametangazwa, Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) ilimtangaza Willium Ruto kua Rais mteule. Kenya Tume yao wanajiita HURU lakini bado wagombea kama Odinga wanasusia matokeo. Makamishna 4 Kati ya 7 wa IEBC nao wanasusia matokeo. Je, picha Gani wanatupa hapa...
  6. Nguruka

    Rais Samia atengua uteuzi wa Albert Chalamila RC Mwanza, Dkt. Batilda ateuliwa kuwa RC Tabora

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan leo tarehe 11 Juni 2021 amefanya mabadiliko madogo ya wakuu wa Mikoa na kuteua viongozi wengine kama ifuatavyo:- ===== Rais Samia Suluhu Hassan, ametengua uteuzi wa Mkuu wa mkoa wa Mwanza Albert Chalamila, na kumhamishia mkoa huo...
  7. Nguruka

    Uchaguzi 2020 Tume ya Uchaguzi yapuliza kipenga uchaguzi mdogo jimbo la Konde na kata 6 Tanzania bara

    TUME ya Taifa ya Uchaguzi imetangaza ratiba ya Uchaguzi Jimbo la Konde, Micheweni, Kaskazini Pemba na Kata sita za Tanzania Bara.
  8. Nguruka

    Vyama vya siasa tushiriki uchaguzi jimbo la Muhambwe

    Tume ya Taifa ya Uchaguzi NEC jana ilitoa matangazo magazetini kubusiana na uwepo wa nafasi wazi ya Ubunge Jimbo la Muhambwe huko Kibondo mkoani Kigoma. Hivyo NEC wametoa fursa kwa vyama kutafuta Wagombea wa kuziba nafasi hiyo baada ya Mbunge aliyekua wa jimbo hilo kufariki Dunia Februari...
  9. Nguruka

    Uchaguzi 2020 Upinzani wakihubiri haki huwa wanamaanisha nini?

    TANGU Jumatatu ya Oktoba 19,2020 hadi hivi sasa ninapoandika andiko hili, nashindwa kuelewa wala kupata jibu stahiki juu ya kile ambacho vyama vya Siasa nchini Tanzania vinamaanisha pale vinapozungumzia HAKI. Wagombea na wanachama, wafuasi, wapambe na mashabiki katika vyama hivyo hasa vya...
  10. Nguruka

    NEC yafafanua Upotoshaji kuhusu Karatasi za kupiga kura Uchaguzi Mkuu 2020

    Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Dk. Willson Mahera Charles ametoa ufafanuzi juu ya upotoshwaji uliofanywa na Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), John Mnyika kuhusiana na mchakato wa Manunuzi wa Karatasi za kupigia kura katika Uchaguzi Mkuu wa 2020.
  11. Nguruka

    Uchaguzi 2020 ACT-Wazalendo na imani haba kwa mgombea wao Bernard Membe

    Nini maana halisi ya Barua hii ya Chama cha ACT Wazalendo waliyomuandikia msajili wa Vyama vya Siasa kujibu Tuhuma dhidi yao. Ni dhahiri kuwa ACT imekosa imani na mtu waliomsimamisha kuwania Kiti cha Rais katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu nchini Tanzania. Na hili linaweza kuwa funzo kwa baadhi...
  12. Nguruka

    Makosa ya uchaguzi "Kutoa Siri"

    NIMEKUA mfuatiliaji wa matukio na mijada mbalimbali ya Uchaguzi katika kipindi hiki ambacho Taifa la Tanzania linakwenda katika Uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani. Kwa mujibu wa ratiba iliyotolewa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), uchaguzi huo unataraji kufanyika Oktoba 28, 2020...
  13. Nguruka

    Uchaguzi 2020 CHADEMA vipi, jiwe la Tume ya Uchaguzi liliwapata gizani

    MAPEMA Juma hili tumesikia baadhi ya vyama vya siasa nchini vinavyoshiriki Uchaguzi Mkuu wa 2020 vikitoa maneno makali dhidi ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kwa kile ambacho wao wanasema kuwa Tume imekosa meno dhidi ya wanaokiuka Maaduili ya Uchaguzi. Mgombea Urais kupitia Chama cha...
  14. Nguruka

    Pius Msekwa Vs Makamba

    Kuna hoja imezuka leo ofisini kwangu juu ya Makamu Mwenyekiti wa CCM Tanzanaia bara kua inafaa apewe Makamba na siyo Msekwa. Ningependa kupata hoja za wadau wengine juu ya hili. Binafsi ninaona Makamba ukatibu ndio unamfaa maana ni muongeaji sana na vitendo ni vichache. Msekwa awa Makamu CCM!
Back
Top Bottom