albert chalamila

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. R

    JamiiForums Tanzania Chalamila: Mkishakuwa na majawabu kabla ni kikwazo kuharakisha uchunguzi, nimeona kwenye comment 'aliyefanya hivyo ni Mafwele'

    Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Albert Chalamila akizungumza alipotembelea Makao Makuu ya TFF, Ilala, Karume, leo Mei 25, 2026, amezungumzia Matukio ya Utekaji na Mauaji akigusia Mauaji ya Mchina aliyedaiwa kuuawa na Walinzi wake pamoja na tukio la kutekwa kwa Msaidizi wa Tundu Lissu, David...
  2. M

    JamiiForums Tanzania Tamko la Jukwaa la Wahariri lalaani kuvunjwa kwa ofisi za gazeti la Pambazuko

    Pia soma: Ofisi za gazeti la Pambazuko zavunjwa, waibiwa Kompyuta, Kamera, Nyaraka
  3. PAYE

    JamiiForums Tanzania Chalamila: LATRA isikilize maoni ya wamiliki wa magari

    Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila amesema wameielekeza Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri wa Ardhini (LATRA) kusikiliza maoni ya wamiliki wa magari baada ya kupanda kwa gharama za mafuta. Chanzo: Swahili Times
  4. B

    JamiiForums Tanzania Watoto wa marehemu Mzee Gordon Odhiambo Odiero wamlilia RC Albert Chalamila wa DSM

    Apr 10, 2026 Mikocheni, Dar es Salaam, Tanzania WATOTO WA MAREHEMU MZEE GORDON ODHIAMBO ODIERO WAVAMIWA na MABAUNSA - WATIMULIWA NYUMBANI - WAMLILIA RC ALBERT CHALAMILA WA DSM - "BABA WAMEMUUA kwa PRESHA" https://m.youtube.com/watch?v=Ee__oTJQz5w Marehemu mzee Gordon Odhiambo Odiero...
  5. comrade_kipepe

    JamiiForums Tanzania Chalamila: Rais Samia ni kama nabii

    "Nabii" ni neno la Kiswahili lenye maana ya mjumbe au msemaji kwa niaba ya Mungu Chalamila anamuweka samia kundi moja na watu kama Yohana Mbatizaji na wakina Musa. Hapa ndio wanaosema hakuna Mungu wanapokua na point, Kama kweli Mungu yupo, kwa damu aliomwaga anaruhusu vipi hizi dharau...
  6. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania RC Chalamila: Sitamchekea mkandarasi yeyote, naweza kutumia makofi, Sisi sio wajinga

    Mkuu wa Mkoa wa Dar es salam, Albert Chalamila amefanya ziara ya kushtukiza katika barabara ya mwendokasi Moroco hadi Mwenge anoesha kutoridhiswa na kasi mkandarasi na kumtaka kuharakisha mradi huo na kukamilika kwa kiwango ili kupunguza changamoto kwa wakazi wa mkoa huo. Chalamila ameyasema...
  7. DuaZaMama

    JamiiForums Tanzania RC Chalamila: Hatua za kisheria zinaendelea kuchukuliwa kubaini chanzo na uhalali wa fedha za 'Mchina'

    RC Chalamila amefafanua kwa kina sakata la kukamatwa kwa fedha taslimu shilingi bilioni 6 zinazodaiwa kumilikiwa na raia wa China, akisisitiza kuwa hatua za kisheria zinaendelea kuchukuliwa ili kubaini chanzo na uhalali wa fedha hizo. Pia Soma: Polisi wachunguza video ya 'Mchina' aliyekutwa na...
  8. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 RC Chalamila: Hatukusema Wananchi wakae ndani

    Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila amezungumza na Global TV na kuelezea hali ya ulinzi na usalama ilivyo jijini Dar es Salaam, amesema "Hatukusema Wananchi wakae ndani"
  9. B

    JamiiForums Tanzania Dar es Salaam Regional Commissioner Albert Chalamila asked about the whereabouts of the abducted ambassador Humphrey Polepole

    Dar es Salaam Regional Commissioner Albert Chalamila asked about the whereabouts of the abducted ambassador Humphrey Polepole The most contentious questions asked by the press to governor of Dar es Salaam county Mr Abert John Chalamila revolved around the intelligence failures leading up to...
  10. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 RC Chalamila: Vyombo vya ulinzi na usalama vimefanya kazi kubwa, bila hivyo Dar ingekuwa giza

    Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, amesema miundombinu ya Mkoa huo imeendelea kudumu na kuimarika kutokana na ufanisi wa vyombo vya ulinzi na usalama, ambavyo vimefanya kazi kubwa katika kudhibiti athari za maandamano ya Oktoba 29, 2025. Akizungumza leo Novemba 24, 2025 katika...
  11. DuaZaMama

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Mkuu wa Mkoa wa DAR Albert Chalamila amefanya ziara kutathmini uharibifu wa mwendokasi Mbagala,aagiza mabasi yaanze kazi Novemba 20

    Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Mhe. Albert John Chalamila, amefanya ukaguzi maalum katika eneo la Mbagala ili kujionea uharibifu uliotokea kufuatia tukio la maandamano lililotokea tarehe 29 Oktoba. Ukaguzi huo umefanywa kwa lengo la kutathmini athari zilizopata miundombinu ya mradi wa mabasi ya...
  12. Inside10

    JamiiForums Tanzania RC Chalamila: Mohamed Yusufali anatumia familia ya Rais kuchafua viongozi

    Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila amesema mfanyabiashara Mohamed Yusufali amekuwa akitumia majina ya familia ya Rais wa Tanzania kinyume na taratibu na kuchafua viongozi. Pia soma Mjane Alice Haule arudishiwa Nyumba Mikocheni na TSh. 10 Milioni baada ya kudaiwa kuwa ni mali ya...
  13. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Mjane Alice Haule arudishiwa Nyumba Mikocheni na TSh. 10 Milioni baada ya kudaiwa kuwa ni mali ya Mohammed

    Baada ya uchunguzi wa kamati iliyoundwa na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam katika sakata la nyumba, Alice Haule aliyedaiwa kuvamiwa na watu waliotaka aondoke kwenye nyumba hiyo kuwa iliuzwa na marehemu mumewe, ripoti ya kamati hiyo leo imebanisha kuwa nyumba hiyo ilikuwa mali halisi ya ndoa na ule...
  14. L

    JamiiForums Tanzania GE2025 Albert Chalamila: Watakaojizima Data Oktoba 29 , tutawawasha Data

    Ndugu zangu Watanzania, Hiyo ni Kauli ya Mamlaka iliyotolewa Na Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama Mkoa wa Dar es salaam Mheshimiwa Albert Chalamila kuwaasa wale wote watakao kufanya kujitoa akili au kujizima Data na kutaka kuleta vurugu siku ya uchaguzi. Amesema ya kuwa...
  15. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania GE2025 Albert Chalamila: Nimesoma mitandaoni kuhusu fujo Oktoba 29, ndugu zangu mji wenu uko salama

    Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam amesema kumekuwepo na baadhi ya maandiko mbalimbali mtandaoni kuwa Vijana na Makada wa Vyama vya siasa wanahamasisha maandamano siku ya Uchaguzi Mkuu Octoba 29, 2025 ambapo amewaonya wanaotaka kujaribu kufanya vitendo hivyo kwani hawatofanikiwa. Chalamila ameyasema...
  16. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania RC Chalamila: Mshahara ni kwa ajili ya mfanyakazi, si familia. Hata ukilipwa Milioni 50 hautoshi

    Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila akizungumza leo Oktoba 4, 2025 Kwenye Kongamano la Mawakili Wanawake kuelekea Uchaguzi Mkuu amesema "Hakuna Taasisi inayokulipa mshahara kwa ajili ya familia yako, mshahara unaolipwa ni kwa ajili yako wewe. Hata ungelipwa Mil 50 bado mshahara huo...
  17. DuaZaMama

    JamiiForums Tanzania Chalamila: Wasio na nia njema na mwendokasi watakipata 'Very Soon'

    Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, amemhakikishia Waziri Mkuu Kassim Majaliwa kuwa hali ya usafiri wa mabasi yaendayo haraka (Mwendokasi) ipo shwari licha ya tukio dogo lililojitokeza usiku wa kuamkia jana. Amesema kuwa majira ya saa 12 jioni, kulijitokeza kikundi kidogo cha watu...
  18. W

    JamiiForums Tanzania GE2025 Chalamila: ‘Hatuitaki CCM, hatumtaki mama’ ni hasira za muda mfupi

    Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe. Albert Chalamila ametoa wito kwa watanzania kuwa wavumilivu kwa changamoto ya uchache na ubovu wa mabasi ya mwendokasi kwani changamoto hiyo inakwenda kupatiwa ufumbuzi muda si mrefu. Ameyasema hayo leo Oktoba 1, 2025 alipofanya ziara katika kituo cha mabasi...
  19. DuaZaMama

    JamiiForums Tanzania Chalamila: Mwendokasi Mbagala kuanza wiki ijayo

    Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila amesema mabasi ya mwendokasi yataanza kutoa huduma katika njia ya Mbagala wiki ijayo.
  20. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania RC Chalamila awaomba radhi watumiaji wa Mwendokasi

    Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila amewaomba radhi watumiaji wa mabasi ya mwendokasi kutokana na upungufu wa mabasi, akiwahakikishia kuwa muda wowote tatizo hilo litatatuliwa. Soma > Chalamila: Njia ya Kimara yatakuja mabasi 200, ukisema hatuitaki CCM haisaidii
Back
Top Bottom