Haaaa angesemaje wakati ndio vijana ambao huwa wanaidhinisha bajeti yake ya ofisi.Bwege sana huyo jamaa,wakati akina Heri James na Kihongosi wakiwatukana viongozi wa upinzani na kupendekeza wauwawe yeye alikuwa wapi? Au amerudia kuvuta bangi?
Hapa anazungumzia vyama vya upinzani. Hana ubavu wa kukemea Chama Tawala. Inasikitisha sana.Msajili wa Vyama vya Suasa nchini ameviasa vyamna vya siasa nchini kufanya siasa za kistaarabu na kuvumiliana.
View attachment 1846720
Msajiri ni snitch Kama walivyo wakinaKabla mwendazake kufa alivinyanyasa na kuvinyima haki vyama vingine
Je ilikuwa sawa mwendazake kutangaza kuua vyama ifikapo 2020 bila ya msajili kukemea?
Na unaweza kukuta Mlezi Mwenyewe ni Kada. Akiachia ngazi tu anagombea kwa tiketi ya chama chake.... inawahusu wapinzani tu hii! CCM hawahusiki kabisa maana wao ndio wenye nchi; Bunge ni lao; Mahakama ni yao; polisi ni mali yao; ma-DC ni wao; kila kitu ni chao wanaweza kufanya chochote bila kuhitaji kibali wala ruhusa yoyote.
Hivi kumbe hawa watu bado wapo! Hii ni ofisi inayokula kodi yetu bila sababu. Hivi huyu Mutungi na ofisi yake waliwahi kukilea chama gani? Naona anasema yeye na ofisi yake ni walezi wa vyama vya siasa.Msajili wa Vyama vya Suasa nchini ameviasa vyamna vya siasa nchini kufanya siasa za kistaarabu na kuvumiliana.
View attachment 1846720
Unatupotezea muda tu hapa. Uliwahi kukilea chama gani?Msajili wa Vyama vya Suasa nchini ameviasa vyamna vya siasa nchini kufanya siasa za kistaarabu na kuvumiliana.
View attachment 1846720
... Mkuu hilo liko wazi! Ukimpiga sachi ya kushtukiza kadi la kijani analo tena liko hai tangu akiwa chupukizi.Na unaweza kukuta Mlezi Mwenyewe ni Kada. Akiachia ngazi tu anagombea kwa tiketi ya chama chake.
Amandla...
... Mkuu kwani wewe unaelewaje maana ya "kulea vyama"?Unatupotezea muda tu hapa. Uliwahi kukilea chama gani?
Kwani wewe mwenzangu unaelewaje?... Mkuu kwani wewe unaelewaje maana ya "kulea vyama"?
Huyu mzee ni mnafiki aendelee kutetea tumbo lakeMsajili wa Vyama vya Suasa nchini ameviasa vyamna vya siasa nchini kufanya siasa za kistaarabu na kuvumiliana.
View attachment 1846720
anatumia heroin siku hiziWakati akina Heri James na Kihongosi wakiwatukana viongozi wa upinzani na kupendekeza wauwawe yeye alikuwa wapi? Au amerudia kuvuta bangi ?
... ni kuhakikisha chama tawala hakibughudhiwi.Kwani wewe mwenzangu unaelewaje?
Huyu mzee ukimwangalia akiwa kimya unaweza kudhani ana busara sana ila akishafungua mdomo ni disappointment kubwa sana.Msajili wa Vyama vya Suasa nchini ameviasa vyamna vya siasa nchini kufanya siasa za kistaarabu na kuvumiliana.
View attachment 1846720