Jaji Mutungi: Vyama vya siasa vifanye siasa kwa kuheshimu sheria za nchi, kuepuka lugha za uchochezi, dhihaka, dharau, vitisho na matusi

Nguruka

Senior Member
Dec 6, 2006
180
124
Msajili wa Vyama vya Suasa nchini ameviasa vyamna vya siasa nchini kufanya siasa za kistaarabu na kuvumiliana.

MSAJILI ATOA WITO KWA VYAMA VYA SIASA.jpg
 
... inawahusu wapinzani tu hii! CCM hawahusiki kabisa maana wao ndio wenye nchi; Bunge ni lao; Mahakama ni yao; polisi ni mali yao; ma-DC ni wao; kila kitu ni chao wanaweza kufanya chochote bila kuhitaji kibali wala ruhusa yoyote.
Na unaweza kukuta Mlezi Mwenyewe ni Kada. Akiachia ngazi tu anagombea kwa tiketi ya chama chake.

Amandla...
 
Back
Top Bottom