Niende moja kwa moja kwenye mada yangu. Kuna tabia za hawa jamaa wa bodaboda zinaudhi au kutusumbua, nazifafanua hapa chini.
1. Boda wakikuona tu unakuja wanaanza kupiga honi na wakati mwingine anawasha pikipiki anakufuata, sasa mnadhani sisi ni vipofu? Kama ninahitaji pikipiki nitakuita au...
Leo jumatatu, Septemba 11, 2023 nimemsikia Rais wa Tanzania akisema hivi;
1. Anadai wanaotaka katiba mpya hawajui ni vifungu gani vibadilishwe
2. Anadai katiba haiwezi kuleta maendeleo
3. Kwa kifupi anasema wanaoomba katiba mpya hawajui chochote kile
Je, Rais kama kweli aliuliza watu wawili...
Katika pita pita zangu kutafuta ajira huko LinkedIn, nimekutana na hili shirika limeweka job post, kwenye Tangazo wameandika kazi itafanyika kapiti-singida lakini nilipoenda kwenye website yao wameandika ni New Zealand
Nafasi ya kazi ni Mental Health Support Worker - Paraparaumu, Kapati...
Ningependa kufahamu ni wapi hasa nitaweza kupata spare ya Radio Sony MHC-GNZ7D, spare ninayohitaji ni part yote ya mbele ya Radio,kuanzia chini ya cd door mpaka milango ya tape cassette hapo chini, kwa kifupi ni kwamba Radio imepasuka sehemu yote ya milango ya tape sasa nataka kuirudisha...
wakuu, karibuni MR Business,
tupo Dodoma, mile 2 mnada wa zamani
tuna print T-shirts, mabango , card za harusi , calendar,picha mbao na stickers za aina zote
lakini pia tuna sales managing sysytem ya Excel na ya kawaida
TUNATUMA KAZI MPAKA MIKOA MINGINE, MALIPO NI BAADA YA KAZI
unaweza...
Ni router inayotumia single sim card ya Halotel, ipo na box lake ila imetumika kidogo
Bei Tsh 40000
Location: Mwanza
Charger haina, ila inatumia charger ya simu
Halotel wanasema kifaa hiki kina connect devices kumi
UPDATE; nilishaiuza
Itakumbukwa mnamo 1964 General Mobutu alianzisha mashambulizi huko Rusizi plain (Uvira), eneo hili lilikuwa linashikiliwa na waasi wa Simba-Mulele ,kwa usaidizi wa anga wa jeshi la Marekani mashambulizi haya dhidi ya waasi yanapata changamoto, waasi ikasemekana wanapewa dawa na bibi kizee mmoja...
Hizi kesi tunazosomaga humu kwamba mtu mzima amebaka mtoto kumbe baadhi huwa ni za mchongo
Morogoro. Ofisa magereza katika gereza la Kingolwira mkoani Morogoro, Samwel Stanley, ambaye Agosti 22 mwaka 2022 alihukumiwa kifungo cha maisha jela kwa tuhuma ya kumbaka mtoto mwenye umri wa miaka nane...
Yule mtumishi wa Mungu bwn Munishi ameweka wazi juu ya issue yake ya kurudisha gari alilopewa kama zawadi na "Nabii" wa Arusha.
Mapema week hii Munishi alikuja hadharani na kuongea kimafumbo kwamba anarudisha gari ya Geodervie sababu hataki "kufanya" anachoombwa na nabii huyo, jambo hili...
Huko nchini Uganda Mahakama imeamuru Mwanamke mmoja alipe gharama ya Ush 10 millions kwa sponsa wake kama fidia ya Mwanamke huyo kumuacha njia panda sponsor baada ya kusomeshwa.
Imeelezwa mahakamani hapo kwamba sponsor alimsomesha binti chuo pamoja na kumghalamia mambo mengine lakini ilipofika...
Muda mfupi uliopita nimefungua soda ya fanta orange nikainywa kama mara mbili na kuiweka mezani ghafla nikashtuka kuona kitu cha rangi kama nyeusi kwa chini ya chupa, ikabidi nimwage soda kwenye sink kitu hicho kiligoma kutoka hadi imebidi nitumie opener ya wine kukitoa ndani ya chupa.
Muda huo...
Nipo hapa natazama ITV Habari,wazazi wa wanafunzi wanaosoma ile shule ambayo watoto nane wamebakwa hapo Dar es salaam wamedai kwamba baadhi ya watoto wamewambia kwamba matukio ya ubakaji yamekuwa yakifanyika toka Mwaka Jana,japo yame repotiwa Mwaka huu
Mmoja wa wazazi wa wanafunzi wanaosoma...
Huyu alikuwa kijana mdogo aliye zaliwa mnamo mwaka c. 1887 huko Congo (DRC ya leo)sehemu inaitwa Bondela wakati huo palijulikana Kama Congo Free state na kufariki 15 August 1909 huko Busira,Bakanja alitangazwa mwenye heri tarehe 24 April 1994 na papa John Paul wa pili.
Bakanja alikubali imani...
Muda mfupi uliopita nilikuwa nasoma habari kwenye tovuti ya The citizen kuhusu huyu mzee Njonjo ambaye aliwahi kuwa mwanasheria mkuu wa Kenya kwa takriban miaka 17. Kilichonivutia hasa kuhusu habari hii ni uhusiano kati ya Mwai Kibaki na marehemu mzee Njonjo. Mwandishi anadai wazee hawa waliishi...
picha ya kwanza ni waziri wa fedha wa zimbabwe akizindua dampo na picha ya pili ni viongozi wa serikali huko Namibia wakiwa kwenye mkutano ambapo ndani ya ukumbi walifuata taratibu za kujikinga na covid ila badae walitoka nje na kupiga picha ya pamoja
Wakuu, hapa JF watu wengi wameeleza sehemu ya Historia ya Zakalia Hans pope hasa kuhusu mkakati wa kumpindua Nyerere, lakini leo nimeona nilete kidogo stori ya Baba yake Zakalia ambaye aliitwa Hans pope.
Huyu mzee alikuwa RPC wa west lake (mkoa wa ziwa maghalibi) mkoa huu ulihusisha Kagera...
honore ngbanda nzambo ko atumba ni jina alilojipa wakati wa aunthetication policy miaka ya 70 lakini jina walilompa wandishi wa habari wa marekani ni the terminator
huyu alikuwa mkuu wa usalama wa taifa wa zaire na baadaye aliteuliwa na mobutu kuwa mshauri wake wa maswala ya usalama
akiwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.