magereza

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Sifi Leo

    JamiiForums Tanzania Jeshi la magereza kimya chenu, Lissu anaumwa tumbo au ?

    Nawauliza mpo kimnya mpk sasahivi hakuna KAULI inayoeleweka je lissu anaumwa kweli? Kaisha fariki? Jitokezeni toeni KAULI anaumwa au kaisha fariki?!
  2. U

    JamiiForums Tanzania Raisi wetu anastahili kupongezwa sikuhizi magereza mtu akitoka anatoka na ujuzi kamili wa kujiajili haji kuwa mzigo mtaani

    Nilifurahi kuona Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akipokea Tuzo ya kuwa Kinara wa Dhana ya Urekebishaji wa Wafungwa Magerezani kutoka kwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mhe. Patrobas Paschal Katambi kwenye hafla ya hafla ya kuhitimisha...
  3. PSEUDOPODIA

    JamiiForums Tanzania Nendeni Kilimanjaro International Leather Industry (KLICL) pale magereza moshi mkanunue mikoba original ya ngozi, acheni kuchezea pesa za watanzania

    Unaenda kununua mkoba wa milioni 13 wakati mna kiwanda kinatengeneza mikoba ya ngozi original pale moshi. Unapata mkoba safi wa ngozi hapo hapo unatangaza bidhaa za nchi yako. Hivi huko vyuoni mnaendaga kusoma nini?
  4. U

    JamiiForums Tanzania Raisi Samia ameonyesha utu kwa vitendo kutembelea magereza

    Watanzania tujisikie farari kumpata mama anatujari na ana utu
  5. Carlos The Jackal

    JamiiForums Tanzania Hata yule Mfungwa wa Kike kumbe naye ni ASKARI !! Haya Majama yanayomzunguka Samia ni Majinga ,yanafanana Kila kitu

  6. Parabolic

    JamiiForums Tanzania Lissu aomba apelekwe Dodoma kusikiliza kesi yake dhidi ya AG, Kamishna wa Magereza

    Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu ameiomba Mahakama Kuu, Masjala Kuu Dodoma iamuru apelekwe Dodoma kwa ajili ya kesi ya Kikatiba iliyofunguliwa na mawakili wake wakipinga kuzuiwa kuonana naye na au kujadiliana naye faragha. Lissu ametoa ombi...
  7. mirindimo

    JamiiForums Tanzania Tunajikita kuongeza magereza zaidi badala kupunguza uhalifu

    Wakati nchi za Ulaya Magereza yanakosa wafungwa huku sisi tunajikita zaidi tuongeze magereza zaidi kuliko kupunguza uhalifu hii maana yake nini ? Tutegemee kesi za kusingiziwa na kubambikwa kuongezeka kwa kasi zaidi Tutegemee ongezeko la uharifu zaidi
  8. ngara23

    JamiiForums Tanzania Magereza zenye mateso zaidi Tanzania, usiombe ukanyage huko

    1. Gereza la Ngwalla, Chunya Hili ni namba 1 lipo msituni na wala hakuna ulinzi mkali wala ukuta ila hukuna mfungwa anaweza kutoroka. Gereza hili limezungukwa na wanyama wakali kama Simba, Chui, Fisi n. K Hutumika kuhufadhi mateka wa Kijeshi 2 Gereza la Kitai, Songea Hili ni namba mbili Kazi...
  9. O

    JamiiForums Tanzania Vipi hawa transgender hufungwa KWENYE magereza ya jinsia zipi? Mpya au Zile Zile orginal

    Inakuwa vipi ? wadau wa sheria za kimataifa tupeni elimu. Je kama wanafungwa KWENYE magereza yao inamaana wamaheshimika na kutambulika kisheria na kama wanafungwa Kwa jinsia zao za kale au za Sasa vipi hali ya gerezani.
  10. Asubuhi News

    JamiiForums Tanzania Mahakama ya Rufani Tanzania imemuachia huru Deo Kisandu (Civilian Coin) mwanasiasa aliyeacha Siasa

    Ikumbukwe Bwana Civilian Coin au Kisandu alifungwa na Mahakama ya wilaya ya Kahama miaka 7 jela kwa kosa la "Kumtaja mtu mchawi" tangu tarehe 11 April 2022, Aiza Civilian Coin alikata rufaa Mahakama kuu ya Tanzania Kanda ya Shinyanga akiwa huku akitumikia kifungo gerezani, lakini Mahakama...
  11. Sifi Leo

    JamiiForums Tanzania Mh Rais Tanzania baada ya uchaguzi Ikoje sawa ilihali watoto wetu walikufa? Tundu Lissu ANAISHIA magereza au unamtoaga usiku analala IKULU?

    Mh Rais shikamoo Mimi ni Mtanzania niliyemsaidia san Hayati Magufuli kufanya aliyo yafanya kupitia hapa hapa Haya ebu sema Tanzania baada ya uchaguzi Ikoje sawa? Watoto wetu walikuwa ndugu zetu tarehe 29 ndo imeisha hiyo? We mama msawalie mtume tafadhali halijaisha mpka liishe Ili mama
  12. R

    JamiiForums Tanzania Let it be on record, Chadema fungua mashitaka mahakamani kwanini magereza wanakataa watu wasimuone Lisu. Heche leo kafukuzwa kama mbwa!

    Najua hakuna mahakama. But let it be on record! Hakuna Jaji atakataa kupokea maagizo. Na hili naweza kusema with brevity kuwa hawana jinsi, nao wanatetea uhai wao! Ni vyema mkaenda mahakamani , iwekwe record kuwa mahakama ilikataa kutoa haki! Let it be documented rather than leaving the...
  13. H

    JamiiForums Tanzania Samia usiogope magereza ya the hague kuna milo mitatu sio kama bongo

    mpendwa Samia kama utapata bahati ya kwenda the hague kwenye detention yao unauhakika wa kula milo mitatu tena iliyo pangiliwa kitaalumu kwa virutubisho vizuri. Hata kipindi cha break ukiwa mahakamani utapewa msosi na huku usalama wako ukiwa umehakikishiwa sio kama huku Samia kipenzi...
  14. MakinikiA

    JamiiForums Tanzania Nasikitika sana serikali kutumia gharama na muda wa jeshi la magereza kwa jambo jepesi

    Kwanza nimeangalia hizo mbwembwe za hao maafisa wa magereza inasikitisha huo muda wangeenda kusimamia wahalifu walime mpunga na mahindi huko nchi ipate chakula, Muda unaotumika na gharama sidhani kama unaweza kufidiwa , Kodi za Watanganyika zinatumika kwa mambo ya kipumbavu ADHABU ALIYOPATA...
  15. onemediaonline

    JamiiForums Tanzania Maafisa 90 wa magereza wahitimu shahada ya uzamili Chuo cha Uhasibu Arusha

    Naibu Waziri wa Fedha, Mhe. Laurent Lusetula (Mbunge), amewatunuku shahada ya uzamili wahitimu 2,250 wa Chuo cha Uhasibu Arusha (IAA), wakiwemo maafisa na askari 90 wa Jeshi la Magereza, waliosajiliwa katika mwaka wa masomo 2024/2025 katika fani mbalimbali zikiwemo amani na usalama pamoja na...
  16. MamaSamia2025

    JamiiForums Tanzania Tafadhali GenZ msije mkaingia huu mtego wa Maria kuvamia magereza, mtachakazwa vibaya mno

    Huyu kigagula alipofikia ni pabaya. GenZ yeyote atakayethubutu kuvamia magereza kisa kaambiwa na shetani Maria ajue kitakachompata sio kitu kizuri. Anaweza pata ulemavu wa kudumu au kifo. Watapigwa wachakae. Kwa msiofahamu ni kuwa Askari Magereza hupitia mafunzo magumu sana kuliko askari wa...
  17. Bawabu wa pili

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Magereza yajibu malalamiko ya CHADEMA kuzuiliwa kumuona Lissu gerezani

    Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimesema viongozi wake wamezuiwa kumwona mwenyekiti wa chama hicho, Tundu Lissu aliyepo katika Gereza la Ukonga jijini Dar es Salaam. Lissu yupo mahabusu kwa kesi ya uhaini inayomkabili kwa takriban miezi minane sasa, tangu alipokamatwa Aprili 2025...
  18. Just Pray

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 John Mnyika: Askari wa Magereza wamenizuia leo kumuona Mwenyekiti Tundu Lissu. Kuna maelekezo asikutane na kiongozi yeyote wa CHADEMA

    Katibu mkuu wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA, John Mnyika kupitia ukurasa wake kwenye mtandao wa X, amesema Askari wa magereza wamemzuia kuingia Gereza la Ukonga kumuona mwenyekiti wa chama hicho, Tundu Lissu. "Askari wa Magereza wamenizuia kuingia gereza la Ukonga leo kumwona...
  19. DuaZaMama

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Picha: Askari Magereza aliyepigwa risasi na Polisi Oktoba 30, 2025 Mazizini DAR

    kwenye Picha ni Askari wa jeshi la magereza ASP ABBAS RAJABU MKALI aliyepigwa risasi na jeshi la polisi maeneo ya Mazizini jijini Dar es Salaam akiwa anatambea, Mkali alikuwa Dar kwa likizo, kituo chake cha kazi ni Gereza la Mbarali. Tunaposema wameua watu wasio na hatia tuna maanisha.
  20. baz kaiza

    JamiiForums Tanzania Unateka, unaweka watu Magereza, yote kisa madaraka?

    Unateka unajipa kibali cha kuua watu mliopishana mtazamo una funga watu Magereza bila sababu hiyo yote ufurahishe nafasi yako huku uki umiza familia za watu kwa mchozi kuodokewa na wapendwa wao hizo damu za watu na machozi ya watu unaweza kuishi vipi kwa amani? Unafanya ayo mambo yote kesho uko...
Back
Top Bottom