Basi Nenda
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 20,796
- 48,044
Huko nchini Uganda Mahakama imeamuru Mwanamke mmoja alipe gharama ya Ush 10 millions kwa sponsa wake kama fidia ya Mwanamke huyo kumuacha njia panda sponsor baada ya kusomeshwa.
Imeelezwa mahakamani hapo kwamba sponsor alimsomesha binti chuo pamoja na kumghalamia mambo mengine lakini ilipofika muda wa sponsor kumchumbia binti, binti alidai wazazi wamekataa asiolewe na mzee!
Ndipo sponsor huyo aliamua kufanya uamuzi mgumu wa kutimba mbele ya mahakama huku akiwa amesheheni evidence mbali mbali ikiwemo sms za miamala ya simu alizokuwa akimtumia binti huyo kipindi chote cha uchumba.
The Citizen
Imeelezwa mahakamani hapo kwamba sponsor alimsomesha binti chuo pamoja na kumghalamia mambo mengine lakini ilipofika muda wa sponsor kumchumbia binti, binti alidai wazazi wamekataa asiolewe na mzee!
Ndipo sponsor huyo aliamua kufanya uamuzi mgumu wa kutimba mbele ya mahakama huku akiwa amesheheni evidence mbali mbali ikiwemo sms za miamala ya simu alizokuwa akimtumia binti huyo kipindi chote cha uchumba.
The Citizen