Habari za leo wakuu,
Nina muda wa wiki mbili Sasa Niko porini,
Limeibuka tatizo kwenye sikio langu la kushoto,
Nimeenda hospitali nimetumia dawa nilizopewa lakini hali bado haijatengemaa,
Yeyote mwenye kujua tiba ya tatizo hili au aliyewahi kufikwa na hii shida akaitatua naomba anisaidie...
Habari za leo wakuu,
Nasikia watu mtaani wakisema
matumizi ya njia za uzazi wa
mpango kama kuweka vijiti
huchangia wanawake kuwa na
matumbo makubwa,
Je, wataalamu, Kuna ukweli wowote katika hili?
Habari za leo wakuu,
Nimefika Tabora( toronto ) mjini. Hapa, kwa wenyeji naomba muongozo wapi wanauza simu mpya na used (samsung, google pixel, iphone) at a reasonable price katika mji huu?
Nb: Ukirecommend duka lako au mtu unayemfahamu ni vizuri pia.
Nikipata username za instagram ili...
Habari wakuu nilikuwa natumia instander(clone ya instagram) kwa muda sasa,
Hivi karibuni imeanza kuomba update lakini kila nikiupdate sifanikiwi kuupdate,
Hatimaye nikaamua kuuniinstall ili nidownload latest version lakini kila ninayoipata inafail naambiwa "there is error with this package"...
Habari za leo wakuu,
Nimenunua pedrollo 0.5 hp
water pump kwa ajili ya
matumizi ya kujaza maji
kwenye matenki ya matumizi
madogomadogo hapa
nyumbani lakini kila nikiwasha
na nikifanya primming naona
bado haiwezi kupandisha maji,
Yeyote aliyewahi kukutana na
changamoto kama hii...
Habari za leo wakuu,
Kwenye mapambano yangu ya
hapa na pale nimehitajika kutumia
mashine yangu ya kutolea risiti
ambayo bila kutarajia imetoa risiti
kwa tarehe ya nyuma ya mauzo
Bidhaa nimeuza tarehe 20 May
Risiti imetoka imeandikwa tarehe
16 may
Mwenye utaalamu katika hili
naomba...
Habari ndugu zangu, nipo na Isuzu
forward hapa
Ina kama siku mbili imesimama
ghafla kupiga honi na kushusha
kioo upande wa dereva.
Nimejaribu kumcheki fundi umeme
wa magari ananiambia shida ya
gari inaweza kuwa kwenye fuse za
gari,
Tumebadili fuse zote lakini bado
changamoto iko...
Kutoka Tabora,
Wilayani Kaliua
Kijiji cha Uyumbu
Fisi ameuawa asubuhi ya leo Tarehe 5 April 2023
Fisi huyo anatuhumiwa kumuua mtoto wa kiume mwenye umri wa miaka miwili na kumla kisha kubakisha utumbo siku ya Jumanne tarehe 04 April 2023. Fisi huyo ameuawa kwa ushirikiano wa wananchi pamoja na...
Habari wakuu
Naomba mwenye solution ya hili
tatizo anisaidie tafadhali
Nimesubscribe nyuzi kadhaa
Ila nikifungua mahali pa
notification nakuta "no
notifications"
Natanguliza shukrani[emoji120]
Habari za leo wakuu,
tumbo langu linaunguruma mpaka
linanitia wasiwasi
Yeyote mwenye kujua tiba ya hili
tatizo anijulishe tafadhali
Nashindwa kukaa sehemu
zilizotulia kuhofia mlio wa tumbo
Leo nipo na maboss hapa yaani sina amani[emoji1]
Msaada wa haraka unahitajika.
Natanguliza...
Habari za leo wakuu,
Kijana wenu naomba mwenye uzoefu na utaalamu wa kurecord mapato na matumizi kwa kutumia android app anisaidie ni ipi iliyo bora na yenye mpangilio mzuri.
Natanguliza shukrani[emoji120]
MALI BILA DAFTARI HUISHA BILA HABARI.
Habari za le OK wakuu, kuna post moja nimeona mahali nikaona labda inaweza kuwa option ya angalau kidogo kuchelewesha gari lako kuibwa
Ila japo naona kuna uwezekano mkubwa wa kuvunjika miguu ikitokea umepata ajali.
Mnaionaje wakuu??
Habari za leo wakuu.
Napitia kipindi kigumu sana kiuchumi
Naomba kwa yeyote mwenye uwezo wa kunisaidia kibarua cha malipo ya siku au vyovyote vile nipo tayari.
Naweza kufanya saidia fundi au kazi yoyote ya nguvu.
Nina uwezo wa kutumia cherehani kwa ufasaha kabisa
Au kama unaweza kunielekeza...
Habari za leo wakuu, naomba kujuzwa
inakuwaje mpaka mtu anashindwa kutimiza lengo lake la kujiua?
Je ni kusema kuwa sumu anayotumia haina nguvu au ni kwamba muda wake haujafika?
Naombeni majibu kuna utafiti nafanya hapa niandae ripoti.
Natanguliza shukrani
Habari za leo wanajamiiforums.
Naomba mwenye connection ya kibarua chochote cha malipo ya siku kwa Dodoma aniunganishe.
Nitatoa shilingi elfu kumi(10,000) kama shukrani.
Naweza kuwa kondakta wa daladala, kiwandani, saidia fundi, najua kuendesha pikipiki japo sina leseni n.K.
Mimi ni mwanaume...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.