Kaluluma
JF-Expert Member
- Mar 7, 2019
- 454
- 584
Habari za leo wakuu,
Nimefika Tabora( toronto ) mjini. Hapa, kwa wenyeji naomba muongozo wapi wanauza simu mpya na used (samsung, google pixel, iphone) at a reasonable price katika mji huu?
Nb: Ukirecommend duka lako au mtu unayemfahamu ni vizuri pia.
Nikipata username za instagram ili nipitie bidhaa nitashukuru zaidi.
Upande wa hardware namrecommend Mwafrika hardware
Jamaa ana vitu vizuri at a reasonable price, Sijajutia kufika dukani kwake.😁
Natanguliza shukrani zangu za dhati🙏
Nimefika Tabora( toronto ) mjini. Hapa, kwa wenyeji naomba muongozo wapi wanauza simu mpya na used (samsung, google pixel, iphone) at a reasonable price katika mji huu?
Nb: Ukirecommend duka lako au mtu unayemfahamu ni vizuri pia.
Nikipata username za instagram ili nipitie bidhaa nitashukuru zaidi.
Upande wa hardware namrecommend Mwafrika hardware
Jamaa ana vitu vizuri at a reasonable price, Sijajutia kufika dukani kwake.😁
Natanguliza shukrani zangu za dhati🙏