Kaluluma
JF-Expert Member
- Mar 7, 2019
- 454
- 584
Habari za leo wakuu.
Napitia kipindi kigumu sana kiuchumi
Naomba kwa yeyote mwenye uwezo wa kunisaidia kibarua cha malipo ya siku au vyovyote vile nipo tayari.
Naweza kufanya saidia fundi au kazi yoyote ya nguvu.
Nina uwezo wa kutumia cherehani kwa ufasaha kabisa
Au kama unaweza kunielekeza viwanda vinavyotoa kibarua kwa siku kwa Dodoma
Pia nina ujuzi wa kutengeneza sofabed na sofa japo bado sijaiva kwenye baadhi ya vipengele na vifaa muhimu vya hiyo kazi ninavyo (staple gun. Nyundo, plaizi, msumeno),
Naweza pia kujitolea ikiwa nitapata pesa ya nauli na chakula kila siku.
Wale waliowahi kupitia kipindi kama hiki wanaelewa msongo ninaopitia ukijumlisha na watu nao wameamua kunitenga.
Jinsia mwanaume
Miaka 24
Napatikana Dodoma
Mawasiliano yangu 0624008133
Nisaidie kwa hili na Mungu atakubariki
Natanguliza shukrani.
Napitia kipindi kigumu sana kiuchumi
Naomba kwa yeyote mwenye uwezo wa kunisaidia kibarua cha malipo ya siku au vyovyote vile nipo tayari.
Naweza kufanya saidia fundi au kazi yoyote ya nguvu.
Nina uwezo wa kutumia cherehani kwa ufasaha kabisa
Au kama unaweza kunielekeza viwanda vinavyotoa kibarua kwa siku kwa Dodoma
Pia nina ujuzi wa kutengeneza sofabed na sofa japo bado sijaiva kwenye baadhi ya vipengele na vifaa muhimu vya hiyo kazi ninavyo (staple gun. Nyundo, plaizi, msumeno),
Naweza pia kujitolea ikiwa nitapata pesa ya nauli na chakula kila siku.
Wale waliowahi kupitia kipindi kama hiki wanaelewa msongo ninaopitia ukijumlisha na watu nao wameamua kunitenga.
Jinsia mwanaume
Miaka 24
Napatikana Dodoma
Mawasiliano yangu 0624008133
Nisaidie kwa hili na Mungu atakubariki
Natanguliza shukrani.