Saïdia (Arabic: السعيدية, romanized: Al-sa'idiyya; Berber languages: ⴰⵊⵔⵓⴷ, Ajrud), known as the "Blue Pearl", is a beach town in northeastern Morocco near Berkane. It is located in the province Berkane, near the Mediterranean Sea and at the Moroccan-Algerian border. Its 14 km (9 mile) coastline is one of the longest beaches of Morocco and is characterized by its golden sand and Mediterranean climate, making it a popular international tourist destination. It hosts numerous resorts and attractions, including private beach resorts, shopping malls, golf courses, and other sports centers.
Saïdia's marina covers an area of 290,000 square meters (70 acres), with 740 berths and modern marina facilities. Tourists are attracted by its traditional folk music festival every August. It is surrounded by a natural bird preserve of marsh and woodland called Moulouya National Parc. Access to the main beach is through a eucalyptus forest.
Watu 50 labda zaidi wamefariki. Miundo mbinu haswa ile ya familia masikini imeharibika vibaya mno. Majeruhi wengi wapo hospitalini.
Nyakati kama hizi Sadaka yako inaweza kubadilisha mustakabali wa maisha yako. Sadaka yako inaweza tumika kuwapa faraja masikini walioathirika na naamini Mungu...
WA SALAAMU..
mimi nimezaliwa Arusha
Nimekulia Arusha
Nimesomea Arusha.
Ila sasa naogopa hata kurudi nyumbani wajuba,kumekuwa na matukio ya hatari sana,vijana wanauwana hali inatisha Arusha,kipindi naishi nyumbani chugah mambo ya kuuwana yalikuwa sio kama sasa,kuna kizazi kimeibuka cha...
Habari..
Toka uwanja ukalabatiwe kesho ndo itakuwa mechi ya kwanza kupigwa.
Kuna mambo kadhaa nayaona yanatokea kesho.
1.simba kufungwa goli zaidi
3.
2..umeme kukatika ghafla
Wanasema kuna standby generator,ila hofu yangu ipo kwa wanaomkwamisha mama samiha ,nahisi washahonga pesa...
Mimi ni kijana wa miaka 23 napatikana Dar maendo ya Mbezi Mwisho, Napenda kuulizia kwa hapa Dar ni wapi naweza pata vibarua vya ujenzi Kama saidia kwenye mradi unaoendela kwa sasa au Kama Kuna fundi anaweza ni push ili maisha yaende
Wapo wasomi wakubwa wamepata PhD kutoka vyuo vyenye sifa kubwa duniani lakini wasomi hawa wapo nyumbani hawana kazi.
Sipendi kuamini kuwa hatuwahitaji watu hawa nchini. Tumewasomesha kwa gharama kubwa na sasa tuwatumie kwa faida ya taifa letu.
Ninashauri rais wetu mama Samia kuwe na kanzi data...
Unalikumbuka tukio la basi la mwendokasi lililoacha njia na kugonga ukuta wa jengo lililopo Kisutu jijini Dar es Salaam huku likimkosa mwenda kwa miguu aliyekuwa akikatisha mtaani hapo? Mamlaka ya Usimamizi wa Bima Tanzania (Tira) imesema anastahili kulipwa fidia.
Wakati Tira ikisema hivyo...
Habari za leo wakuu.
Napitia kipindi kigumu sana kiuchumi
Naomba kwa yeyote mwenye uwezo wa kunisaidia kibarua cha malipo ya siku au vyovyote vile nipo tayari.
Naweza kufanya saidia fundi au kazi yoyote ya nguvu.
Nina uwezo wa kutumia cherehani kwa ufasaha kabisa
Au kama unaweza kunielekeza...
Ndugu wanaJF na Watanzania kwa ujumla amani ya Mungu na ikawe juu yenu kila mmoja KWa imani yake.
Husika na mada tajwa hapo juu, Matabaka ya elimu Tanzania limekua zimwi linaloendelea kututafuna Kama watanzania hasa kwa vijana wetu katika level tofauti za elimu nchini hasa huku chini kwenye...
Wanafunzi wakijifunza lugha ya kigeni | picha na mtandao
UTANGULIZI
Lugha ya kigeni niile lugha ambayo haipatikani katika jamii ya mjifunzaji na kuwa hawezi kujifunza lugha hiyo bila kufundisha. Niukweli usiopingika kuwa na ufahamu wa lugha nyinginezo za kigeni zaidi ya Ile lugha yako Kuna...
Pole na majukumu
Hongera kwa kuitwa kwenye kikosi kazi cha katiba na maridhiano.
Bahati nzuri wewe ni mtoto wa mkulima na unatambua katiba iliyopo inatesa na kufukarisha wakulima Kila siku kwa kuwalinda wabadhirifu na wapigaji wa pembejeo za wakulima!
Tutetee sisi wajukuu zako wakulima wenzio...
Moja ya changamoto inayowasumbua wakulima wadogo, kati na wakubwa ni upatikanaji wa mbolea bora. Lakini bado hata zile zinazotumika kwa wingi ni zile ambazo mazao yanayopatikana kutokana nazo hayana ubora kimataifa.
Ipo haja ya kuanza kuzalisha mbolea bora za asili kutokana na mimea + wanyama...
Tunakubaliana kuwa watu weng baada ya corona wamejua thaman ya kula kwa afya ikiambatana na kula zaid vyakula vya asili vyenye virutubisho muhim na kwa wingi.
Sasa mimi nina ndoto ya kufunga mkusanyiko wa mboga za majan na mitishamba -dawa, kwa kuzicompress zikawa katika mfumo sausage kubwa...
Kuungua kwa soko la Mitumba Karume limefanya nifikirie mambo mengi mpaka jibu sina, kumbuka huyu bwana alipokuwa Mbeya mwendo wa kuwaka moto masoko, ilikuwa shida sasa naona imehamia DSM. Sasa huyu mkuu ana mkosi au kuna namna?
Pia soma: Soko la Kariakoo lateketea kwa moto
Habari za wakati huu wapendwa wa JamiiForums. Bila shaka mko vizuri. Ambao mko Wadhaifu Mungu awape heri.
Iko hivi, Napenda kuzungumzia kuhusu Uonevu (Bullying)
Uonevu ni hali ya kufanya kitu fulani kwa mwingine kama vile kumdhalilisha, kumpiga au kumdhuru kwa namna yoyote ile hata bila sababu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.