Ni hatari kwa kweli nduguElimu Kwa wengi wao NI sifuri,,na ile ishu inaenda sambaratisha mfumo wa homoni wa Mwili wa mwanamke asipokuwa na elimu ya kutosha NI zaidi ya tatizo,,kansa za vizazi,,,bleeding zisizo na kikomo,,maumbile kubadilika NI lazima na wanapewa kama njugu kwenye groceries za dawa (maduka ya dawa baridi za binaadamu)bila elimu ya kutosha na madhara yake kiundani.
hizi side effects huwezi wasikia watoa huduma za afya wakizizungumzia wanahimiza kutumia hayo madude ukiwauliza madhara yake wanasema hakunaElimu Kwa wengi wao NI sifuri,,na ile ishu inaenda sambaratisha mfumo wa homoni wa Mwili wa mwanamke asipokuwa na elimu ya kutosha NI zaidi ya tatizo,,kansa za vizazi,,,bleeding zisizo na kikomo,,maumbile kubadilika NI lazima na wanapewa kama njugu kwenye groceries za dawa (maduka ya dawa baridi za binaadamu)bila elimu ya kutosha na madhara yake kiundani.
Duh,hii mbona hatari sanahizi side effects huwezi wasikia watoa huduma za afya wakizizungumzia wanahimiza kutumia hayo madude ukiwauliza madhara yake wanasema hakuna
lakin nyuma ya pazia wanaotumia hayo madawa asilimia kubwa wanakumbwa na matatizo kama kukosa bleed kwa wengine
mauvimbe kwenye kizazi ndio hayo matumbo yanakuwa makubwa
kunenepa sana au kukonda
kukosa uzazi kabisaa au kuchelewa
kuwa na tahadhar tuDuh,hii mbona hatari sana
Mimi sio dr lakini %kubwa ya wanawake wenye vitambi ni hawa katika makundi yaoHabari za leo wakuu,
Nasikia watu mtaani wakisema
matumizi ya njia za uzazi wa
mpango kama kuweka vijiti
huchangia wanawake kuwa na
matumbo makubwa,
Je, wataalamu, Kuna ukweli wowote katika hili?
Uvimbe kwenye mirija ya uzaziElimu Kwa wengi wao NI sifuri,,na ile ishu inaenda sambaratisha mfumo wa homoni wa Mwili wa mwanamke asipokuwa na elimu ya kutosha NI zaidi ya tatizo,,kansa za vizazi,,,bleeding zisizo na kikomo,,maumbile kubadilika NI lazima na wanapewa kama njugu kwenye groceries za dawa (maduka ya dawa baridi za binaadamu)bila elimu ya kutosha na madhara yake kiundani.