Habari wakuu!
Nadhani kwa kipindi hiki wengi mnaelewa katika tathnia ya usafirishaji abiria (mabasi) kumekuwa na ushindani mkunwa sana.
Yaani katika ushindani huo imefikia kipindi watu wanaingiza mabasi nchini kwa wingi kuliko kawaida, lengo ni kuweza kuhimili ushindani huo kwa kuboresha huduma...
Tairi zipo 2 rim ziko 4
Hali yake ni nzuri, zilifungwa kwenye Nissan Xtrail kimakosa so ndo nimezivua
Bei ya rim na tairi complete laki 2 na nusu (kila moja)
Rim pekee laki na 80
Mazungumzo yapo kwa aliyepo serious
Year of Manufacture: mwaka jana (2021) katikati
Mzigo upo DSM, Sinza Kilimani...
Wimbo wa champion at first time niliuona kwenye status ya rafiki yangu, maneno yake yalinivutia hasa pale anaposema "tumeishi na watu wanaoamini kuwa bahati bahati zote alipangiwa Bukuku" enewei kila neno aliloimba Kontawa linavutia.
Wengi waliskiliza kipande cha Kontawa ila walipofika sehemu...
Habari wakuu, Nina diagnosis scan tool aina ya LAFOCH ML-168 kwa ajili ya Magari ya Ulaya mf: BMW, Benz, Audi na Volkswagen, au gari yoyote Kama Nissan, Toyota ambayo ni imported from Europe
Kifaa hiki kinamfaa mtu kwenye gari lake binafsi ili akipata changamoto aweze kutrace tatizo mwenyewe...
Hii ni kwa wale walioko Arusha Mjini, na taa za magari yao zina ukungu au zimepauka.
Tunang'arisha taa hizo kwa kutumia kifaa maalum na kuzirudishia mng'ao wake kwa gharama nafuu kabisa.
Tupigie kwa simu namba 0621 846107 (call/WhatsApp).
Huna haja ya kutembelea taa isiyomulika vizuri kwa...
Leo nimeenda saa 6 pale Kahama Mjini hospital ya Manispaa kwa lengo la kuchangia damu (kwa hiari) nimefika saa 6 kamiliena kuripoti maabara ili niweze kupatiwa hudima kama ambavyo tunahamasishwa kuchangia damu kuokoa uhai.
Kwanza naenda kuripoti dirishani naambiwa nisubiri, nikasubiri mpaka saa...
Habari waku, mimi ni kijana nnayejihusisha na ufundi wa magari kwa muda wa miaka miwili na nusu sasa, napatikana Arusha mjini.
Katika shughuli zangu nilifanikiwa kununua Mashine yangu ya diagnosis kutoka China Aina ya Launch X431 V+ na nikaanza kazi ya diagnosis kama extra coz bado nipo...
Habari wakuu!
Kwa muda mrefu nimekuwa nikapata changamoto ya kutofautisha kati ya torque na horsepower. Katika jitihada zangu za kusoma nimeelewa kwa sehemu kidogo lakini kuna jambo linanichanganya kuhusu concept hiyo ambayo imenipelekea kuja kuuliza swali humu.
Taking a case study of an IC...
Habari wajumbe!
Leo nimeona niongelee hili suala la tabia ya watu kujijaza dukani hasa wakati wa usiku na hawanunui kitu inavyokwamisha biashara.
Mimi kama mteja nimeshawai ahirisha kwenda kununua bidhaa kwenye baadhi ya maduka coz unakuta watu wamekaa tu na wameziba nafasi ya wateja ambao...
Habari wajumbe!
Nahitaji hiyo car diagnosis software, nilijaribu kutafuta moja inayoitwa techstream ila sikufanikiwa kuifanyia installation, hivyo kwa ambaye anaweza kuwa nayo please tell me.
Kama kichwa kinavyojieleza!
Mimi nikiwa mhitimu wa fani ya Uhandisi wa Mitambo (Mechanical Engineering) katika moja ya vyuo hapa nchini, nimeamua kujikita katika tasnia hiyo ya ufundi magari ili nizidi kuongeza ujuzi.
Lakini kitu cha kushangaza nimekuta asilimia kubwa ya watu walio mahiri...
Kwa wale madereva na watumiaji wote wa barabara, karibuni hapa tujadili kuhusu changamoto mbalimbali ambazo tunakutana nazo tuwapo barabarani na kuzipatia ufumbuzi. na kama una swali liweke hapa!
Habari wakuu, naomba mnishauri katika hili. Niko mbioni kumaliza elimu yangu ya diploma ya Mechanical engineering, na baada ya kumaliza nitahitaji kutumia elimu yangu iweze kunipatia pesa. Je ni shughuli/biashara gani nayoweza kuanzia kwa level yangu ya kielimu?
Habari wakuu, kwa siku kadhaa nimekuwa kila nikiunganisha pc kwenye internet yanakuja matangazo ambayo sihitaji kuyaona na mengine ambayo yanaweza kunipotezea heshima (mfano: betting, relationships and sex)
naomba msaada namna naweza kufanya ili nisiyaone matangazo hayo.
Habari wakuu! Mimi ni mwanafunzi wa last year, diploma in mechanical engineering, ninahitaji kusoma degree ya automobile baada ya kumaliza diploma.. Je, ni chuo gani kizuri hapa East Africa ambacho nikisomea degree husika nitatoka nikiwa competent?
Hata kama ni nje ya East Africa, kama si mbali...
wapendwa wana JF mimi ni mwanafunzi ninasoma diploma katika moja ya vyuo hapa tz, katika maisha ya chuo nimekuwa serious kumtumikia Mungu.
Lakini nimejikuta nakutana na mambo magumu. Nimekuwa najikuta ninafeli mitihani, nimekuwa naishi maisha ya kukosa pesa, nimejikuta nina msongo wa mawazo si...
Habar wakuu!
mimi nipo Mbeya mjini, ni mwanafunzi wa chuo mwaka wa 2 stashahada. natafuta "part time job" ambayo naweza nikafanya huku nikiwa naendelea kusoma kulingana na kiwango changu cha elimu.
Qualifications: I am fluent in swahili and English, written and spoken
I am...
Naombeni msaada,
Nimekuwa na shida hii toka zamani, huwa nikifanya mistake ndogo tu, nakuwa disappointed sana. Kuna wakati naweza nikakaa sina raha siku nzima au hata zaidi lakini jambo jenyewe linalonifanya niwe hivyo ni dogo sana ambalo hata mtu mwingine akisikia ananishangaa sana.
Kuna...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.