Nahitaji msaada, kwa hali yangu ya kuwa disappointed kwa mambo madogo

Little Dreamer

Senior Member
Sep 12, 2017
178
149
Naombeni msaada,

Nimekuwa na shida hii toka zamani, huwa nikifanya mistake ndogo tu, nakuwa disappointed sana. Kuna wakati naweza nikakaa sina raha siku nzima au hata zaidi lakini jambo jenyewe linalonifanya niwe hivyo ni dogo sana ambalo hata mtu mwingine akisikia ananishangaa sana.

Kuna kipindi nilitaka niombe kupostpon masomo baada ya hali hiyo kuwa chronic. Nimejikuta mistakes ni jambo la kawaida lakini mimi kwangu ni changamoto sana, and i can't live a perfect life.

Sometimes ninapofanya mistakes huwa najikuta natumia pesa vibaya, siongei na watu, pia nawaona watu ya kuwa hawanijali.

Naombeni msaada niondokane na hali hii.

I AM TIRED OF IT BECAUSE IT LEADS ME INTO TROUBLE
 
kwa kuwa umeshajua tatizo ni nusu ya kupona... kwanza kubali na elewa wewe ni binadamu makosa yapo na hayataacha kutokea... ukikosea angalia kama unaweza kurkebisha ukiona huwezi liache lipite ka nilazima urekebishe tafuta watu wakusaidie kama unaona wapo... ukishindwa kabisa tafuta mbadala..

jua makosa yapo ili ujifunze na si kukufanya uwe perfect
 
Kama wajuu walivo tangulia kusema unatatizo la kisaikolojia hakuna mtu hapa duniani ambaye hafanyi makosa,we all make mistakes bt we learn 4rom them,soo even when u make 1 u should kno u ain't the first 1 to do soo on earth
Relax life t self t's already complicated soo do not complicate things or else they might go out f ur hand & might go insane,soo take t easy
 
"......Nimejikuta mistakes ni jambo la kawaida lakini mimi kwangu ni changamoto sana, and i can't live a perfect life...."

There is no perfect life hapa duniani. Kama kuna mtu aliwahi kukwambia awe pastor,padri,shekhe,kadhi,mwinjilisti,kuhani,baba yako,mama yako au yoyote yule kwamba unaweza kuishi perfect life amekuongopea.

Ondoa hilo wazo haraka iwezekanavyo.

Life is series of troubles, mistakes,opportunities, challenges etc.

Mahali pekee unapoweza kuishi perfect life ni KABURINI
 
Wenye taaluma ya saikolojia wanaweza wakakusaidia mkuu ...
ni kweli mkuu, lakini kwa mazingira niliyopo hao watu wenye knowledge ya saikolojia siwaoni. huwa nasikia tu kwamba kuna watu wanaofanya counselling, ila i dont know where i can find them kwa huku nilipo.
 
Naombeni msaada,

Nimekuwa na shida hii toka zamani, huwa nikifanya mistake ndogo tu, nakuwa disappointed sana. Kuna wakati naweza nikakaa sina raha siku nzima au hata zaidi lakini jambo jenyewe linalonifanya niwe hivyo ni dogo sana ambalo hata mtu mwingine akisikia ananishangaa sana.

Kuna kipindi nilitaka niombe kupostpon masomo baada ya hali hiyo kuwa chronic. Nimejikuta mistakes ni jambo la kawaida lakini mimi kwangu ni changamoto sana, and i can't live a perfect life.

Sometimes ninapofanya mistakes huwa najikuta natumia pesa vibaya, siongei na watu, pia nawaona watu ya kuwa hawanijali.

Naombeni msaada niondokane na hali hii.

I AM TIRED OF IT BECAUSE IT LEADS ME INTO TROUBLE
Niliwahi kusoma kijitabu kinaitwa 'Young People Ask-Answers that Work', kiliongelea tatizo kama hilo, kwa jina la Perfectionism. Haya ya kutaka mambo yako yote aende kama unavyopanga, sababu deep inside akili inakwambia wewe ni a perfect person. So, kwa kuanzia, kama alivyosema Miss Chagga, wewe ni binadamu, and not being perfect is what makes us humans.
 
njia rahisi ni kuwa na rafiki(best friend) ambaye utakuwa huru kumweleza kila kitu na yeye atakuwa huru kukushika mkono hasa kwa kuwa anajua uzaifu wako.

Sasa shida huja kwenye kumpata huyo rafiki, kama we ni ME tafuta ME, ila kama wewe ni KE tafuta Me pia( a friend and not a boyfriend though it's a challenge).

jufunze kuchagua marafiki, uwe karibu na watu wasiokata tamaa ili wakubebe, watu wavumilivu, wapambanaji, na walio serious.... epuka watu wenye hali kama yako
 
Back
Top Bottom