Little Dreamer
Senior Member
- Sep 12, 2017
- 178
- 149
Habari wakuu! Mimi ni mwanafunzi wa last year, diploma in mechanical engineering, ninahitaji kusoma degree ya automobile baada ya kumaliza diploma.. Je, ni chuo gani kizuri hapa East Africa ambacho nikisomea degree husika nitatoka nikiwa competent?
Hata kama ni nje ya East Africa, kama si mbali sana naweza kupamudu
Hata kama ni nje ya East Africa, kama si mbali sana naweza kupamudu