car

  1. Mad Max

    JamiiForums Tanzania Mi naamini Porsche 911 ndio best Sports Car ya muda wote! Sema used bila Mil 150+ ngumu sana kuimiliki!

    Tokea 1963 ianze kutengenezwa, zaidi ya generation 8, models zaidi ya 20 na units zaidi ya million 1.2 zimeuzwa. Uzuri wa hii gari, haipotezi muonekano wake, kila siku wanaiboresha tu lakini yenyewe iko vile vile kimuonekano. Wengi mlianza kuipenda 911 bila kuijua kwenye movie ya Commando...
  2. Royal Son

    JamiiForums Tanzania PATA CAR DIAGNOSIS SCANNER JUA TATIZO LA GARI LAKO KABLA YA KWENDA GARAGE

    🚗 OBDII Scanner – Chunguza Gari Lako Kitaalamu! 🔧 Unapata shida kujua tatizo la gari lako? Suluhisho ni hii OBDII Scanner yenye uwezo wa kusoma na kufuta error codes kwa haraka na usahihi 💯 ✅ Inasoma matatizo ya engine (Check Engine) ✅ Rahisi kutumia – Plug & Play ✅ Inafaa kwa magari mengi ya...
  3. Eronda

    JamiiForums Tanzania, JamiiForums Uganda Uganda Car Dealers Demand Answers as Digital Number Plates Fail to Track Stolen Vehicles

    Car dealers met with Transport Minister Gen. Edward Katumba Wamala to voice concerns that Uganda’s new digital number plate system under ITMS fails to track stolen vehicles effectively. The Intelligent Transport Monitoring System, supplied by a Russian company, promised real-time tracking...
  4. Yesha

    JamiiForums Tanzania Wicknell Chivayo Gifts CCC MP Brand New Car And $50,000.00

    Wicknell Chivayo Gifts Opposition MP Car and $50,000, Sparking Debate in Zimbabwe Zimbabwean businessman Wicknell Chivayo has ignited public debate after gifting a vehicle and cash to opposition lawmaker Susan Matsunga. The gesture followed her public praise of President Emmerson Mnangagwa...
  5. Royal Son

    JamiiForums Tanzania Usikubali abiria wako wabaki bila charge safari nzima!

    🚗⚡ KWANINI ABIRIA WAKO WAKOSE CHARGE? Usikubali abiria wako wabaki bila charge safari nzima! Jipatie Car Fast Charger inayoweza kucharge hadi simu 6 kwa wakati mmoja 🔥 🔌 Type-C + USB (Fast Charging) 📏 Cable ndefu – inafika hadi siti za nyuma 💡 LED ya kisasa inayovutia 👨‍👩‍👧‍👦 Inafaa kwa dereva...
  6. X

    JamiiForums Tanzania China kwa sasa ina dunia yake kwenye racing. Ilianza BYD U9X "the fastest car on planet" sasa ni ZXMOTO "the fastest motorcycle on the planet"

    Mwaka jana katika viwanja vya Nürburgring Nordschleife, Ujerumani BYD U9X iliweka rekodi ya the fastest car on the planet; 496 km/hr. Mwaka huu March 28 na 29 hapo mjini Portimão nchini Portugal dunia ilishuhudia mashindano makubwa ya kimataifa ya mbio za pikipiki, World Superbike Championship...
  7. Royal Son

    JamiiForums Tanzania Car diagnosis scanner

    🚗 CY3001 Car Diagnostic Scanner Fanya diagnosis ya gari lako mwenyewe popote ulipo ✔ Soma makosa ya Engine (Check Engine) haraka ✔ Angalia Live Data ya gari (RPM, Joto, Sensor n.k) ✔ Futa Check Engine bila kwenda garage ✔ Tambua tatizo kabla halijawa kubwa ✔ Inafanya kazi magari mengi (OBD2) 📦...
  8. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kenya's Former CS, Raphael Tuju, and Driver Vanish as Car Found Abandoned in Karen Amid High-Stakes Property Dispute

    March 22, 2026 The mysterious disappearance of former Cabinet Secretary and Jubilee Party Secretary-General Raphael Tuju has sent shockwaves through the country. Tuju, along with his driver Steve Mwanga, vanished on Saturday afternoon under circumstances pointing to a suspected abduction. With...
  9. beatboi

    JamiiForums Tanzania Anahitajika kijana wa Car wash haraka

    Anahitajika kijana wa Car wash haraka, Mwenye uzoefu na mwaninifu.
  10. Eronda

    JamiiForums Tanzania, JamiiForums Uganda Kampala Car dealers told to vacate road reserves

    Following the eviction of vendors off Kampala streets, the state minister for works and transport Mr Musa Ecweru in his remarks said Government has turned the operation to car dealers operating along road reserves. Government through the ministry of works and transport issues a directive...
  11. Eronda

    JamiiForums Tanzania The Only way to survive in Kampala once you own a car

    Side mirrors are in high market
  12. Y

    JamiiForums Tanzania Car wash

    Habari Wana JF. Mimi nikijana wa miaka 23 nilipambana kutafta mtaji na Sasa nimepata million nne My plan nikufungua car wash ndogo. Mkoa niliopo nimefanya uchunguzi wa pressure washer machine nimekutana na wanaotumia za LUTIAN na EASY POWER nimekuja mbele yenu wakubwa naombeni mnishauri kati ya...
  13. Royal Son

    JamiiForums Tanzania Car and home portable vacuum for best price

    🚗✨ CAR MINI VACUUM CLEANER (2 IN 1) ✨🚗 🧹 Usafi wa kina – hakuna kona itakayobaki chafu! ✔️ Inavuta vumbi, nywele, chembe za chakula & uchafu wa aina zote ✔️ Dry & Wet suction – hata maji si tatizo ✔️ Ina brashi maalum kwa sehemu ngumu kufika ✔️ Inafaa kwa: • Milango ya gari • Dashboard &...
  14. Mtoto wa tajiri

    JamiiForums Tanzania Car Battle Thread: 2011 Ford Crown Victoria vs 2011 Toyota Crown

    Karibuni kwenye uzi wa kujadili mpambano kati ya magari yanayofanana kigezo na kimuundo. Leo ni 2011 ford crown victoria vs 2011 toyota crown.2011 toyota crown
  15. Mad Max

    JamiiForums Tanzania 2026 Dream Car!

    Kuna vingi vya kuomba kabla hatujaomba magari. Hustle + Sala zikikubali basi kimoja kati ya hivi viwili kisajiriwe kwa majina yangu yote matatu.
  16. Mad Max

    JamiiForums Tanzania Car Service Episode 7/10: Suspension System (Shocks, Ball Joints, Link Bars nk.)

    Wakuu, leo tudiscuss kuhusu mfumo mzima wa suspension. Kwa uzoefu wangu, wengi tukisikia suspension tunachojua ni “shocks” peke yake, kumbe ni mfumo mkubwa unaojumuisha vitu zaidi ya kumi vinavyofanya gari lisitetemeke, liwe stable barabarani na kuzuia vibration isiingie ndani ya cabin...
  17. Mad Max

    JamiiForums Tanzania Car Service Episode 6/10: Spark Plugs na Ignition Coils!

    Wakuu, kwema? Leo tuongelee hizi Spark plug na coils ambavyo ni vitu vya muhimu sana kwenye gari, na ndiyo zinazoamua kama engine yako irun smooth au rough wakati wa utendaji wa kazi. Hivi viwili visipobadirishwa kwa wakati, gari linaanza kumiss (ile milio ya puh puh puh), rough hidle...
  18. Mad Max

    JamiiForums Tanzania Car Service Episode 4/10: Air Filter, Cabin Filter na Diesel Filter!

    Wakuu, leo tuongelee machujio ya hewa na mafuta (air filters na fuel filters). Nayo nayaita mwana mpotevu kwasababu kuna watu hawabadirishi miaka nenda miaka rudi. ENGINE AIR FILTER Engine air filter inachuja hewa inayoingia kwenye injini kabla ya combustion, ikizuia dust, michanga, pollen na...
  19. Mad Max

    JamiiForums Tanzania Car Service Episode 3/10: Power Steering Fluid na Differential Fluid kuzibadirisha ni bei ndogo ila ni muhimu sana!

    Power Steering Fluid na Differential Fluid zipo kwenye kundi la fluids ambazo uwa zinapotezewa sana wakati wa kufanya service, ilihali gharama zake ni ndogo kuzidi ata faini moja ya trafiki. POWER STEERING FLUID Power steering fluid inasaidis pampu ya steering kufanya kazi vizuri, kwa kufanya...
  20. Mad Max

    JamiiForums Tanzania Car Service Episode 2/10: Coolant na brake fluid zinatakiwa kubadilishwa kila baada ya miaka miwili au km 40,000!

    Wakuu, kwema? Wengi tunabadirisha engine oil kila mara, lakini tunasahau fluids zingine muhimu sana, mfano coolants na brake fluids. Leo kwenye muendelezo wetu wa service, tuzungumzie coolant na brake fluid ambazo zikipuuzwa zinaweza kuharibu engine au system ya breki au zikakupa majanga...
Back
Top Bottom