nissan

  1. Mad Max

    JamiiForums Tanzania Kuna watu wanasemaga Magari ya Nissan yamekaa kizee zee sana. Ona Nissan Z!

    Nissan Z ni bonge la Sport car, kwa waliojipata. Nasema waliojipata kwasababu hii inafaa kua second car, hauwezi itegemea kaa gari ya familia au ya kupigia misele daily. Hizo kwenye picha za juu ni latest gen ya 2022+ ila kama budget-wise unaweza kucheki gen ya nyuma yake Z370 Z Hii 370Z...
  2. M

    JamiiForums Tanzania Nissan Dualis, ni namna gani ya kuweka tahadhari za kuizuia isiwake moto

    Ni magari ambayo yamekuwa na matukio ya kuwaka moto, Ni tahadhari ipi ya kuchukua 𝗠𝗥𝟮𝟬 𝗘𝗻𝗴𝗶𝗻𝗲 𝗖𝗰 𝟭𝟵𝟵𝟬 𝗣𝗲𝘁𝗿𝗼𝗹 𝗔𝘂𝘁𝗼𝗺𝗮𝘁𝗶𝗰 Location: Tanga
  3. B

    JamiiForums Tanzania Natafuta Gari used Missubish Rosa au Nissan Civilian kwa ajiri ya biashara ya daladala

    Ndugu zangu kuhangaika hakuishi, mwenye connection ya mahali napoweza kupata gari nzuri kidogo ambayo ni ktk hali ya Used hapa Bongo. Nataka nijilipue kwenye biashara hizi pasua kichwa za Daladala Ktk utafiti wangu wa swali naona kama Nissan Civilian au Mitsubishi Rosa itanifaa.. Tuwekane Sawa...
  4. darautobroker

    JamiiForums Tanzania Car4Sale NISSAN X-TRAIL NEW MODEL FOR SALE

    Bei/Price🏷️👉🏽TSH 25.9M Call📞+255 747 999 927 NISSAN X-TRAIL Year: 2014 Engine: 1,990Cc Mileage: 64,000+ Transmission: AUTO ✨Rear Spoiler ✨Leather Seats ✨Android Radio ✅Clean Interior ✅Well-Maintained ✅Swap Deals Allowed
  5. darautobroker

    JamiiForums Tanzania Car4Sale 2024 NISSAN X-TRAIL a.k.a TEKNOLOJIAAA NAILETA SOKONI

    Bei/Price🏷️👉🏽TSH 113M Call📞+255 747 999 927 NISSAN X-TRAIL Year: 2024 Engine: 1.5L Mileage: 1,537km Fuel Used: PETROL Transmission: AUTO ✨Keyless Entry ✨Back Camera ✨LED Headlights ✨Pre Collisions Sys ✅100% Duty Paid ✅Free Registration ✅Swap Deals Allowed
  6. Dalali wa Mjini

    JamiiForums Tanzania Nauza hii Gari Nissan Pick-Up engine QD32

    Nissan Pick-Up Engine QD32 Cc 3153 Fuel Diesel ⛽ AC ipo Full Document. Location Dar Es Salaam Bei milion 25 maongezi kidogo. Nipigie simu boss ukague hii Chuma 📱0754693556
  7. M

    JamiiForums Tanzania Sababu ya za Nissan Dualis kuwaka moto… Sio tatizo la kiwandani bali uzoefu mdogo wa mafundi wetu kwenye magari ya Nissan hata ukizingatia service

    Sio kwamba Nissan Dualis zina kasoro ya kiwandani hadi zote ziungue moto. Tatizo kubwa ni service duni na mafundi wasio wataalam wa Nissan. 1. Kuna Plastiki ya kuzuia joto (heat shield/insulation) nyuma ya engine na lipo karibu sana na bomba la moshi, loki za plastiki, zikipata joto kali...
  8. darautobroker

    JamiiForums Tanzania Car4Sale Nissan Dualis sport yenye 4WD selector iko sokoni

    Bei/Price🏷️👉🏽TSH 16.5M Call📞+255 747 999 927 NISSAN DUALIS CROSS RIDER Year: 2008 Engine: 1,990Cc Mileage: 53,745Km Transmission: AUTO ✨Android Radio ✨2-SRS Airbags ✨Sport Alloy Wheels ✨4wd Mode Selector ✅No Dent ✅Clean Interior ✅Well-Maintained ✅Swap Deals Allowed
  9. darautobroker

    JamiiForums Tanzania Car4Sale Nissan Juke for sale

    Bei/Price TSH 14.7M Call +255 747 999 927 NISSAN JUKE Year: 2012 Engine: 1490Cc Mileage: 89,000+ Transmission: AUTO Fog Light Sport Rims Rear Spoiler Clean Interior Well-Maintained Exchange Possible
  10. darautobroker

    JamiiForums Tanzania Car4Sale Nalengesha Nissan Dualis yenye vigezo vyote

    Bei/Price TSH 9.5M Call +255 747 999 927 NISSAN DUALIS Year: 2007 Engine: 1,990Cc Mileage: 121,000+ Transmission: AUTO Alloy Wheels Android Radio Panoramic Roof Clean Interior In Good Condition Exchange Possible
  11. A

    JamiiForums Tanzania Changamoto za Nissan Serena

    Habari zenu marafiki.Nina mpango wa kuagiza gari aina ya Nissa Serena toka Japani.Kutokana na uzoefu wenu naomba mnipe Changamoto za gari hii.Hiyo gari ina cc1990
  12. darautobroker

    JamiiForums Tanzania Car4Sale Experience the difference: Unique Nissan X-Trail for sale

    Bei/Price TSH 14.5M Call +255 747 999 927 NISSAN X-TRAIL Year: 2000 Engine: 1990Cc Mileage: 88,000+ Transmission: AUTO Fog Lights Roof Racks Alloy Wheels Clean Interior In Good Condition Exchange Possible
  13. Sacsosanct

    JamiiForums Tanzania Nauza nissan note “DC”

    Imeuwa control box, mil 3.5, uje uichukue, inawaka vizuri ila haitembei. 0764692275
  14. Sacsosanct

    JamiiForums Tanzania Nauza nissan note “DC”

    Imeuwa control box, mil 3.5, uje uichukue, inawaka vizuri ila haitembei. 0764692275. Kimara tembon dar.
  15. darautobroker

    JamiiForums Tanzania Car4Sale Nissan patrol a.k.a handsome boy for sale

    Bei/Price TSH 79M Call+255 747 999 927 NISSAN PATROL Year: 2015 Engine: 5.6L Mileage: 82,000+ Fuel Used: PETROL Transmission: AUTO Sunroof Leather Seats Cruiser Control Clean Interior In Good Condition Exchange Possible
  16. mtanashati halisi

    JamiiForums Tanzania Car4Sale INAUZWA NISSAN JUKE 2011 IKO ZANZIBAR

    🚘2011 Nissan Juke Mileage: low 🛸4wheel Button 🚀Engine capacity:1990 ⛽️Fuel used:petrol 🛣Low mileage 🚔Full document 🚗Very clean condition Bei:14 cash Call/Whatsapp 0718578433
  17. Likey29

    JamiiForums Tanzania Fundi mzuri wa gari za nissan

    Wakuu naombeni mwenye fundi mzuri wa gari za nissan wa uhakika, gari yangu ni nissan cube. vipengele: inachemsha inachoma coil (nimebadili mara mbili) inakosa nguvu (hai-accelerate) gari inavuta upande mmoja speed ikiongezeka Naomba msaada wenu wakuu.
  18. M

    JamiiForums Tanzania Hivi kwanini Nissan Fuga licha ya muonekano wake mzuri lakini ni gari adimu sana mitaani... Shida ni nini wataalamu?

    Kichwa cha habari chajitosheleza... 1. Bei sio kali sana 2. Muonekano ni luxury sana 3. Space ndani ya kutosha Ila wamiliki ni wachache sana shida ni nini?
  19. Mad Max

    JamiiForums Tanzania Nissan Leaf 3rd gen imeshazinduliwa: Bonge la improvements kutoka kwenye matoleo yaliyotangulia!

    Nissan wako serious sana kwenye issue ya EV na hybrids hivi karibuni. Kwa sisi wapenzi wa magari madogoa na economy, wametugusa sana na Nissan Note (hybrid) na Nissan Ariya (EV). Sasa wametuletea all new Nissan Leaf 3rd gen, soon inaingia masokoni. Wamefanya mapinduzi makubwa sana kuanzia...
  20. Samatime Magari

    JamiiForums Tanzania Nissan Qashqai aka Dualis Aliyechangamka...

    Hii Gari ina body design nzuri same to Interior ila wabongo wengi wanaikimbia. Sasa Unataka kujua sababu ni nini kaa vizuri funga Mkanda nikupe madini. . Qashqai ni Dualis [Maarufu kama Kiberiti though siku hizi haziungui tena ] iliyochangamka ikiwa imetengenezwa na Nissan Kampuni Ya Kijapan...
Back
Top Bottom