Little Dreamer
Senior Member
- Sep 12, 2017
- 178
- 149
Kama kichwa kinavyojieleza!
Mimi nikiwa mhitimu wa fani ya Uhandisi wa Mitambo (Mechanical Engineering) katika moja ya vyuo hapa nchini, nimeamua kujikita katika tasnia hiyo ya ufundi magari ili nizidi kuongeza ujuzi.
Lakini kitu cha kushangaza nimekuta asilimia kubwa ya watu walio mahiri katika kazi hizo ni wale ambao hawakwenda shule (waliowahi kufanya field gereji watakuwa mashahidi), na kuna wengine hata kusoma na kuandika ni taabu, wakati huo sisi tunao onekana wasomi ndiyo tunajikuta hatujui chochote na tunaishia kuwa chini yao.
Hali inayonipelekea kujiuliza swali hili, "Wasomi tunakwama wapi? Je, elimu yetu haitusaidii?"
Mimi nikiwa mhitimu wa fani ya Uhandisi wa Mitambo (Mechanical Engineering) katika moja ya vyuo hapa nchini, nimeamua kujikita katika tasnia hiyo ya ufundi magari ili nizidi kuongeza ujuzi.
Lakini kitu cha kushangaza nimekuta asilimia kubwa ya watu walio mahiri katika kazi hizo ni wale ambao hawakwenda shule (waliowahi kufanya field gereji watakuwa mashahidi), na kuna wengine hata kusoma na kuandika ni taabu, wakati huo sisi tunao onekana wasomi ndiyo tunajikuta hatujui chochote na tunaishia kuwa chini yao.
Hali inayonipelekea kujiuliza swali hili, "Wasomi tunakwama wapi? Je, elimu yetu haitusaidii?"