Zimejengwa katika kiwanja chenye ukubwa wa mita za mraba 1405 Kiwanja kimepimwa na kina Hati Miliki. Nyumba zinafikika. Kiwanja kimezungushiwa uzio kwa matofali. Huduma ya umeme na maji zipo.
Kila nyumba ina vyumba vitatu vya kulala, jiko, sebure na mahala pa kula.
Bei 380mil. Maelewano yapo...
Safe box zinauzwa mpya kilo 120 kwa matumizi ya ofisi, mawakala, majumbani, n.k
Wasiliana nasi 0712347749
Unaweza kufungulia kwa password za namba utakazo weza kuweka unazo zihitaji.
Key zipo 4
Alarm sound
Brand New
Bei 750,000/=
Nauza Pvc trunk used ziko za aina mbili 150mm×50mm dukani 18k mimi nauza 9000 na 50mm×50mm dukani 9000 mimi nauza 6000. ukitaka zote nauza kwa 6000 ziko 20. Karibu niko Dar 0744117116
Habari,
Ninauza hizi tractor mbili. Zote ni 2WD. Mtumba kutoka Uholanzi bila jembe/trailer.
MF135-46Horsepower
MF158-63 Horsepower
Zimesajiliwa na kila kitu kinafanya kazi vizuri kabisa(Engine za Mbuni-Diff Kubwa, PTO, drawbar na zina connection za hydraulics).
Hazijatumika Tanzania.
Bei MF135...
Wakati wa uchaguzi wa ndani ya CCM mwaka 2022 Chama kilionelea kuwa wenezi wa mikoa wateuliwa badala ya kuchaguliwa.
Na ilipofika tarehe 17 march mwaka huu walioomba nafasi hizo waliitwa kwenye usaili jijini Dodoma.
Sasa angalia maajabu yanayojitokeza.
1. Walioteuliwa mpaka sasa ni around 8...
Wakuu, Heri ya mwisho wa week kwenu nyote
Wakuu, nina mzigo mkubwa sana wa Subwoofer hizi bora kabisa na pendwa hapa mjini,
Mzigo huu una sifa zote zinazohitajika kwa matumizi ya kijana wa kisasa kama vile
◽Remote control
◽Bluetooth
◽USB port
◽Fm radio
◽Warranty mwaka
✅Free delivery in Dar...
Nina kiwanda kidogo kinajishughulisha na ukamuaji wa mafuta ya Alizeti. Natafuta wateja wa mashudu ya alizeti. Nina tani tatu za alizeti kwasasa.
Kiwanda kipo Morogoro na tunasafirisha kwenda popote Tanzania kwa gharama nafuu. Ukihitaji njoo PM tuongee biashara.
Asante.
Hivi kuna mtu ambaye amefanikiwa kuonja ladha ya hizi konyagi mpya ambazo zimejaa kwenye mabango barabarani? Maana ni muda mrefu naenda maeneo ila kila nikiagiza haiji yenye ndimu ndani?
Hebu tupeane muongozo wadau wapi inapatikana ili nikaonje ladha mpya.
Nauliza wapi zinauzwa mashine hizi za kumwagilia dawa za kuua wadudu kwenye mimea kama vile mikorosho, zinatumia mafuta zinaitwa mist duster-power sprayer, hubebwa mgongoni na hutumia petrol ili kusukuma maji/dawa kwa nguvu hadi kufikia umbali mrefu bila shida.
Tv showcase nzuri zinavutia zipo kimara mwisho naziuza kila moja tsh 130,000/=
Unaweza piga/whatsap 0719478826
Deliver nafanya pia ukihitaji✅
Karibu sana
Habari za Leo Wakuu,Nna simu S21+ clean kama mpya 256Gb inatakiwa 1.1mil na Tab Active3 nayo ni clean kama mpya na zote zina makava magumu nje.Tab inatakiwa Laki5.Karibuni
Wakuu nina mzigo wa fridges nzuri sana za boss hapa, nautoa nataka uishe chap sana ili nilete mzigo mwingine, hivyo basi nimeweka punguzo kubwa sana la bei.
Ukinunua kwetu unapata Usafiri bure, Pasi ya umeme bure, Jagi la umeme, stand ya fridge bure kabisa.
NB: Malipo ni baada ya delivery...
Nani anayeihujumu TTCL kwa kiwango hiki?
Kuna mmbo fulani yanaendelea kwenye TTCL kiasi kwamba tunaona kama ni hujuma kwa TTCL:
Kwanza, kipindi kirefu sasa ukitafuta laini za TTCL kwa mawakala wanakuambia hamna. Ni kweli shirika likose laini ambazo kimsingi ndio mteja na ndio zitachochea...
Habari za wakati huu ndugu zangu waTanzania
Kabla hatujaenda mbali hebu kitazame mwenyewe chombo kinavyovutia
Katika ulimwengu wa Heavy duty blenders, blender zenye nguvu bas kwa uimara huwezi acha kuwataja Kenwood blenders, bas kwa kutambua umuhimu na faida za blender katika maisha yetu ya...
Tunauza engine used za boti aina ya Mercury Outboard 2-Stroke zenye 40horse power.
Engine hizi zina 697cc ni inline 3 cylinder, zinatumia petrol na 2 stroke oil ,uwashaji wake ni wa kuvuta kick na usukani ni wa mkono.
Engine ni ya carburetor na used kutoka Africa kusini.
Engine bei ni...
Kwanini nchi nyingine bei ya nyumba iko chini sana na nyumba zao ni nzuri sana kuliko Tanzania?
Je, kupanga bei ya kuuza nyumba kupitia madalali wasio na ujuzi wala elimu yoyote ya ardhi na thamani yake, kunaathiri kiasi gani sector ya Real Estate nchini?
Kwenye matangazo mengi, mf. Kupatana, Facebook market n.k, utakuta matangazo mengi ya nyumba zinazouzwa zipo Mbagala Chamazi.
Ni kwanini? Hii inatia shaka hata kununua nyumba hizo. Kunani Chamanzi?
🔹Audio Card readers za watoto
-: Hizi unachomeka kadi yenye pande mbili kisha inatamka hilo neno la kiingereza na pia hutoa milio ya wanyama, ndege nk
-: Ina maneno zaidi ya 200 na inakaa na chaji na inakuja na usb yake ya kuchajia pia ina nyimbo ya alphabets
Bei 28,000 Tsh
🔹Bidhaa ya pili ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.