Utashangaa hata kijana wa jirani aliyekuwa mtoto wa nje ya ndoa ukalelewa na kukuzwa vyema na baba wa kambo tena mahitaji yote ukayapata tena unakuja kuwananga humu akina mama.
 
Ila jamani kufika miaka kama 15 ijayo
Tanzania itakuwa ni kizazi cha ma baba wa kambo na mama wa kambo. This is not good for our nation jamaani.
Wabongo punguzine mchezo huu, tumieni kinga basi, wengine tumetulia kwa hiyo kuja kuwa mababa wa kambo mtakuwa mnatuonea. Kuna kina dada wametulia kuwa mama wa kambo mna waonea.
Kina dada pia muwe makini usizae na mtu asiye na mpango na wewe. Wale walio fiwa sina tatzo nao.
Kuna mdada alizalishwa na jamaa akiwa chuo likakataa mimba, yaan mdada ametulia zake ni "wife material" kabsa hana papara kabsa tangu apatwe mkasa ule inaonekana alijifunza sana yaan ningemuoa sema ndio hivyo tena
 
Cheka tu rafiki. Sababu kiukweli eti tunajifungia huko kwa Waziri Mkuu halafu tunadiscuss single mothers lol.

Wacha nibaki na ujinga wangu tu kwa kweli rafiki.
Hahaaaa huyo alikuwa na lake tu best, huko msingediscuss mada hii tena, teh
 
Nachokuomba endelea kuomba mungu akupe mke mwema hizo mambo sijui sitaki single mother nataka fresh kabisa acha

Wapo walioamini hivyo ila leo wanalea watoto siyo wao uzazi umewasumbua wamejikuta wanawachia wake zao wakapigishe nje kimya kimya tu, ili kuepuka aibu
 
Kwangu mimi kuoa mwanamke au binti aliyezalishwa nyumbani ni ugonjwa.

Haiwezekani mwanaume huna tatizo lolote unaoa binti/mwanamke wa hivyo.

Wengine mtasema mimba bahati mbaya! Serious kabisa kivipi mtu anatongozwa anakubali hadi anavua chupi bado anakubali jamaa anapiga kavu et! Bahati mbaya acheni utani.

Kama ni kubakwa leteni hizo statistics zinazoenyesha kuwa waliobakwa lazima wapate mimba. Binti ameendekeza chips na hela za wakware mimi nije kukuoa na mtoto wako eh!

Najua mtasema na wanaume wenye watoto, je hao wamechukua watoto nyie mbona waliowazalisha hawajachukua watoto?

Nyie wanawake/wasichana wenye watoto pambaneni na hali zenu.

NOTE: HAPA WAJANE HAWAHUSIKI.

Wengine wamezaa na waume za watu kabisa duh!

Poleni single mother.

Only two options now days,aliyezaa nyumbani na aliyetoa mimba(akili kichwani)
 
Mie nataka nikwambie tu ukiona cha nini wenzio wanasema watavipata lini hivyo we waone ni ugonjwa huku wenzio kwao ni dawa.

Mie naona ni namna mtakavyoelewana tu na huyo single mother sababu kwani mtoto kitu gani mkuu wacha mawazo mgando hivyo wasipate wenza kisa wana watoto. Mmh.

Katafakari upya aiseee. Sababu ndio wapo tayari hivyo hapaswi kuwa na mahusiano mengine sababu wana watoto?
Tena naona ni vyema kuoa huyu aliyezaa kuliko ambaye hajazaa lakini sio bikra, maana hujui ametoa mimba ngapi! Yaani kwa maana nyingine msichana aliyepata mimba halafu kaitoa kwa sababu yoyote anayoijua yeye, ni muuaji, na kama hajatubu hiyo roho ya mauti bado yuko nayo hivyo anaweza kuua yeyote tena wakati wowote akitaka.
 
Tena naona ni vyema kuoa huyu aliyezaa kuliko ambaye hajazaa lakini sio bikra, maana hujui ametoa mimba ngapi! Yaani kwa maana nyingine msichana aliyepata mimba halafu kaitoa kwa sababu yoyote anayoijua yeye, ni muuaji, na kama hajatubu hiyo roho ya mauti bado yuko nayo hivyo anaweza kuua yeyote tena wakati wowote akitaka.
Kweli kabisa usemalo Mkuu. Ila si unajua tena kila mmoja anafanya kile ambacho kinampendeza.
 
Heri kuoa aliyezaa maana walio wengi wasichana siku hizi anakuwa katembea na wanaume wengi halafu wametoa mimba sana. Siku ukimuoa mnakaa hampati mtoto. Fikiria kuoa mwanamke early 20's mwenye Mtoto, na mwingine ana late 20's halafu uajua kabisa huyu ni cha wote. Uwezekano kuzaa kwa hawa wanaojiita socialites ni mdogo, wanakuwa wameshatoa mimba kibao. Ila kama umechunguza kuwa ni mwadiifu , ambaye hajazaa ni bora zaidi, na wako wachache sana . you can count them on your finger tips.
 
Back
Top Bottom