Nonsense kabisa

Unayeoa hana mtoto jua:

1. Alishatoa mimba;

2. Na hivyo ashaua watoto kibao kupitia abortion. Hivyo unaoa criminal(mhalifu)

3. Haimaanishi kuwa ambaye hana mtoto yupo sealed. No! Ashakwanyuliwa.

Afadhari aliyezaa utajua anawatoto wangapi.

Ambaye hana lakini unakuta matiti yashakuwa madaso, mahala penyewe napo mpaka pashakuwa na masikio fulani ( nyama zinazoning'inia), yaani afadhari nioe mwenye mtoto.
 
Mie nataka nikwambie tu ukiona cha nini wenzio wanasema watavipata lini hivyo we waone ni ugonjwa huku wenzio kwao ni dawa.

Mie naona ni namna mtakavyoelewana tu na huyo single mother sababu kwani mtoto kitu gani mkuu wacha mawazo mgando hivyo wasipate wenza kisa wana watoto. Mmh.

Katafakari upya aiseee. Sababu ndio wapo tayari hivyo hapaswi kuwa na mahusiano mengine sababu wana watoto?
Mwambie kitamu hakionjwi
 
Ila jamani kufika miaka kama 15 ujayo
Tanzania itakuwa ni kizazi cha ma baba wa kambo na mama wa kambo. This is not good for our nation jamaani.
Wabongo punguzine mchezo huu, tumieni kinga basi, wengine tumetulia kuwa mababa wa kambo mtakuwa mnatuonea. Kuna kina dada wametulia kuwa mama wa kambo mna waonea.
Kina dada pia muwe makini usizae na mtu asiye na mpango na wewe. Wale walio fiwa sina tatzo nao.
Making the world a better place is the hardest thing to do since the beginning
Japo mawazo chanya mara nyingi nafikiriaga hivyo sisi wapole tutaonewa tu bure
 
Nonsense kabisa

Unayeoa hana mtoto jua:

1. Alishatoa mimba;

2. Na hivyo ashaua watoto kibao kupitia abortion. Hivyo unaoa criminal(mhalifu)

3. Haimaanishi kuwa ambaye hana mtoto yupo sealed. No! Ashakwanyuliwa.

Afadhari aliyezaa utajua anawatoto wangapi.

Ambaye hana lakini unakuta matiti yashakuwa madaso, mahala penyewe napo mpaka pashakuwa na masikio fulani ( nyama zinazoning'inia), yaani afadhari nioe mwenye mtoto.
Safi sana Mkuu wape somo wakuelewe sababu sio kuwa na mawazo ya karibu kiasi hicho.
 
uko sahihi mkuu kwa WAJANE hamna shida kwa sababu naamini hawakupenda
ila hawa waliopata kwa kupenda kwao hapana aisee.
kuna wengine hawataki kutumia kinga mwisho wanapata mimba
Hahahaa
Watu wako careless sana halaf wanakwambia eti ukipenda ua sjui penda na boga lake, hata sjui ule msemo.

Ina niumiza sanaa wadada wanapewa mimba hovyo hovyo sku hizi
 
Mie nataka nikwambie tu ukiona cha nini wenzio wanasema watavipata lini hivyo we waone ni ugonjwa huku wenzio kwao ni dawa.

Mie naona ni namna mtakavyoelewana tu na huyo single mother sababu kwani mtoto kitu gani mkuu wacha mawazo mgando hivyo wasipate wenza kisa wana watoto. Mmh.

Katafakari upya aiseee. Sababu ndio wapo tayari hivyo hapaswi kuwa na mahusiano mengine sababu wana watoto?
Yaani ata mie mwanamke aliezaa sitegemei kabisa kuishi nae kama mme mke!!, Yaani mara paaah!!, Bwana fulani unakubali kumuoa Bi fulani ( msimbe)!!! Haipo kabisa
 
Making the world a better place is the hardest thing to do since the beginning
Japo mawazo chanya mara nyingi nafikiriaga hivyo sisi wapole tutaonewa tu bure
Kweli braza mimi nimetulia sana yaan halaf nakutana na mwanamke tunaenda kila kitu ila ana mtoto. Ina add budern.
Halaf wenyewe wanachukuliaga simple et kama ume mpenda hutajali mtoto,ni kazi sana hii.
Sasa wale tulo tulia ndio tunaumia
 
Yaani ata mie mwanamke aliezaa sitegemei kabisa kuishi nae kama mme mke!!, Yaani mara paaah!!, Bwana fulani unakubali kumuoa Bi fulani ( msimbe)!!! Haipo kabisa
Hahahaaa. Vibaya hivyo kwani wana shida gani au umesikia wanakuwaga na shida gani?

Au na wewe unafuata ya mleta uzi.
 
Back
Top Bottom