Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 48,325
- 115,329
Hivyo naye hapaswi kuolewa?Sasa huyo ni kombo la waziwazi kabis
Hivyo naye hapaswi kuolewa?Sasa huyo ni kombo la waziwazi kabis
Mwambie kitamu hakionjwiMie nataka nikwambie tu ukiona cha nini wenzio wanasema watavipata lini hivyo we waone ni ugonjwa huku wenzio kwao ni dawa.
Mie naona ni namna mtakavyoelewana tu na huyo single mother sababu kwani mtoto kitu gani mkuu wacha mawazo mgando hivyo wasipate wenza kisa wana watoto. Mmh.
Katafakari upya aiseee. Sababu ndio wapo tayari hivyo hapaswi kuwa na mahusiano mengine sababu wana watoto?
Hahahaa. Wacheni hizo mawazo bana.
Unaweza pata mama mwenye mtoto na akawa ni mwanamke bora kuwahi kutokea kuliko huyo asiye na mtoto.
Amuoe aliyempa uroda mana ndo halali yakeHivyo naye hapaswi kuolewa?
Hahahaaa. Kwani yuzdi ina shida gani Mkuu?Si mwanamke keshazalishwa... Huyo anakuwa keshakuwa yuzdii!
Mwambie kitamu hakionjwi
Making the world a better place is the hardest thing to do since the beginningIla jamani kufika miaka kama 15 ujayo
Tanzania itakuwa ni kizazi cha ma baba wa kambo na mama wa kambo. This is not good for our nation jamaani.
Wabongo punguzine mchezo huu, tumieni kinga basi, wengine tumetulia kuwa mababa wa kambo mtakuwa mnatuonea. Kuna kina dada wametulia kuwa mama wa kambo mna waonea.
Kina dada pia muwe makini usizae na mtu asiye na mpango na wewe. Wale walio fiwa sina tatzo nao.
Hahahaa. Si ndio ameshasepa sasa.Amuoe aliyempa uroda mana ndo halali yake
Hahahaaaa. Nadhani kakuelewa sana tu yaani sana.Mwambie kitamu hakionjwi
Hivyo mwanamke akiwa kazalishwa huku mtoto yuko kwa baba wewe unaweza oa?tatizo linakuja kwanini aliyemzalisha asimuoe?
bhasi hata kumchukua huyo mtoto
Never say never mkuuaisee ila kinaliwa.
Safi sana Mkuu wape somo wakuelewe sababu sio kuwa na mawazo ya karibu kiasi hicho.Nonsense kabisa
Unayeoa hana mtoto jua:
1. Alishatoa mimba;
2. Na hivyo ashaua watoto kibao kupitia abortion. Hivyo unaoa criminal(mhalifu)
3. Haimaanishi kuwa ambaye hana mtoto yupo sealed. No! Ashakwanyuliwa.
Afadhari aliyezaa utajua anawatoto wangapi.
Ambaye hana lakini unakuta matiti yashakuwa madaso, mahala penyewe napo mpaka pashakuwa na masikio fulani ( nyama zinazoning'inia), yaani afadhari nioe mwenye mtoto.
Never say never mkuu
Na kumbuka always Future is uncertainty
Hahahaauko sahihi mkuu kwa WAJANE hamna shida kwa sababu naamini hawakupenda
ila hawa waliopata kwa kupenda kwao hapana aisee.
kuna wengine hawataki kutumia kinga mwisho wanapata mimba
omba upate mke mwema .......je ukipata ambae hana hata uwezo wa kupata huo ujauzito kabisa ........
mchagua jembe si mkulima
Yaani ata mie mwanamke aliezaa sitegemei kabisa kuishi nae kama mme mke!!, Yaani mara paaah!!, Bwana fulani unakubali kumuoa Bi fulani ( msimbe)!!! Haipo kabisaMie nataka nikwambie tu ukiona cha nini wenzio wanasema watavipata lini hivyo we waone ni ugonjwa huku wenzio kwao ni dawa.
Mie naona ni namna mtakavyoelewana tu na huyo single mother sababu kwani mtoto kitu gani mkuu wacha mawazo mgando hivyo wasipate wenza kisa wana watoto. Mmh.
Katafakari upya aiseee. Sababu ndio wapo tayari hivyo hapaswi kuwa na mahusiano mengine sababu wana watoto?
Kweli braza mimi nimetulia sana yaan halaf nakutana na mwanamke tunaenda kila kitu ila ana mtoto. Ina add budern.Making the world a better place is the hardest thing to do since the beginning
Japo mawazo chanya mara nyingi nafikiriaga hivyo sisi wapole tutaonewa tu bure
Hahahaaa. Vibaya hivyo kwani wana shida gani au umesikia wanakuwaga na shida gani?Yaani ata mie mwanamke aliezaa sitegemei kabisa kuishi nae kama mme mke!!, Yaani mara paaah!!, Bwana fulani unakubali kumuoa Bi fulani ( msimbe)!!! Haipo kabisa