Muda mwingine huwa nawaza tu, hivi Hawa watoto walioko mtaani ni kosa au matokeo ya nani??.
jibu ni sisi , ndio ni Mimi na wewe, Kama sio sisi, ni yule au wale. Haijalishi we ni mzuri auhandsome Sana.
Jua Kuna kitoto kina umia mtaani, kwa sababu ya ujinga na maamuzi yako ya kipuuzi.
Una jiita...
Habari wakuu, najua wengine humu tayari mmesha oa au ni wazazi tayari.
Ningependa mtupe uzoefu wenu, kuwa uli jisikia vipi kwa Mara ya kwanza baada ya kugundua wewe ni mzazi mtarajiwa.
Kuna kipi Cha kuji funza zaidi , ili kuwa mzazi bora?
1. Changamoto mlizo kumbana nazo, kabla na baada ya...
Niliwahi kusikia habari za EAZY-E kwamba yeye ndiye GodFather of Gangsta Rap.
Na zaidi nikaja kusikia kuwaKwa miaka ya 1986-1992 ni EAZY-E Pekee ndiye rapper aliyekuwa na pesa nyingi zaidi kuliko rapper yeyote.
Lakini mwisho nikasikia habari mbaya zilizo husu kifo chake Habari zilisema...
Boby Risky amehukumiwa kwenda jela kwa kosa la kukanyaga fedha ya Naira.
Hakimu amemuondolea kipengele cha kulipa faini, ili aende jela moja kwa moja.
Naona wali msaka long time, Sasa ame jaa.
Pia soma
Bobrisky , The famous and rich Gay in Nigeria
Bobrisky Amwanika Boyfriend wake Billionare...
Unapokuwa mwanaume wa hisia hisia, ina maana ni rahisi kuumia, kupelekeshwa na chochote kilichopo mbele yako.
Hata hisia za za kufanya maamuzi bora zinapokujia, zinakushinda na unajikuta una jiumiza zaidi.
Japo akilini unajua ni mbaya lakini hisia zina nguvu na zinakushinda.
Kwasababu upo...
Ulikuwa wapi mbona ume chelewa??, I looked for you kila Kona ila siku ambulia kitu!!?
I even asked majirani ila nao hawakuwa na jibu la kunipa, zaidi ya pole (damn).
Sorry about that day, nawe uli zidi ujue, sometimes stick to my rules kwani mi ndo bread chaser.
You know we are cool...
Kama ni mfatiliaji mzuri wa hip hop, nadhani Utakuwa umesha Iona hii.
Ila Kama bado, story Ina anzia Mwaka Jana ambapo drake na j Cole wali toa ngoma Ina itwa first person shooter.
Humo ndani j Cole Ali sema, love when they argue who is the best mc, is it k dot, Aubrey or me.
Note by, k dot...
Nanukuu
"Wapendwa Wakenya, tafadhali mnisaidie kuungana tena na baba yangu Elon Musk.
Mapema miaka ya 90 mama yangu alikuwa meneja wa hoteli ya JW Marriot Masai Mara Lodge, wakati Elon Musk alipotembelea hapa.
Sasa ninaishi katika umaskini uliokithiri licha ya baba yangu kuwa bilionea wa...
Staa wa muziki wa Bongo Fleva @officialalikiba amezindua radio yake mpya inayoitwa CROWN FM ambayo inapatikana 92.1 Fm.
Alikiba ameeleza sababu za kuzindua Radio kuwa ni njia pekee iliyoinua career yake na watu kumfahamu kupitia Radio.
Baada ya kuwa msanii kwa takribani miaka 20 sasa anakuwa...
Andres Iniesta Kondoo fulani katikati ya msitu wa mbwa mwitu wakali
Ile picha ya kibabe sana, aliipiga 'Felipe Mondrovera' wa 'Getty images'. Ilikuwa Juni 10 2012 mechi ya kwanza ya EURO. Hispania waliianza kampeni yao ya kutetea taji la mataifa Ulaya. Kumbuka hapo walitoka kuchukua EURO 2008...
Vijana wengi wasio na wake wanapaswa kuwa na mafanikio zaidi kuliko walivyo sasa, Lakini kwa sababu wanatumia pesa nyingi kwa wanawake ambao sio wake zao, ndio maana hawafanikiwi.
Bro unajua mapenzi yanaweza kukurudisha nyuma kama usipoingia kwa akili?Ila mapenzi ni matamu sometimes lakini...
Hii Sera ya kataa ndoa ni Sera ya msingi na muhimu mno.
Itasaidia kuonyesha ukweli na njia ambazo vijana Wanazo Ingia Chaka.
swaga nyingi, michango, Picha kibao, halafu mwishobwa siku una Baki una Lia Lia.
maigizo, kilio, Kisi kudanganye kijana.
Mwenyekiti wa kataa ndoa ni, Liverpool VPN,
02...
Kuna siku niliwahi kuona chapisho lililosema."Najiuliza jinsi Dr Nandipha aliweza kupenda, kuishi na kufanya mapenzi na muuaji bila kuogopa, kwa mara ya kwanza nitakubaliana na watu wasemapo ogopa wanawake"Baada ya kuona chapisho hilo nikajiuliza huyu Dr Nandipha ni nani?
Nikagundua ni mwanamke...
85 Years Ago to date, Sunday, 10 October 1938 Soviet Union, Moscow Siku hii anazaliwa mtoto mwenye akili nyingi sana Jijini Moscow Urusi, Hawa ndio wale watoto ambao huzaliwa mara moja Baada ya miongo kadhaa.
Kwa kuwa alikuwa ni mtoto mwenye akili nyingi, alifanikiwa kusoma kwenye shuke za...
Ukisikia wiki ya Hit ndio hii, Ibraah wa Kondegang ameachia wimbo uitwao Dharau ambao ame shirikiana na Boss wake Harmonize nadiriki kuwa ambia ni kisanga, awa jamaa kwa Melody ni balaa yaani ni hatari tupu,
Ngoma inapanda Tending kwa speed ya 5G uko mjini Youtube.
.
GiZA LAANZA KUTAWALA - 1
Matumizi ya nyaraka za vitambulisho na
umuhimu wa kushirikisha jamii katika kupambana na uhalifu.
Watu 17 walikufa ndani ya siku chache, na wengine 23 walijeruhiwa.
Oktoba 2002 wakazi wa jimbo la Washington DC na maeneo ya jirani walijikuta kwenye wakati mgumu wa...
Kabla hujaanza kusoma vizuri, naomba kwanza urejee kichwa cha habari hapo juu, kielewe vizuri halafu ndiyo uendelee kusoma,
Binafsi ukija kwa mbele yangu na kunitupia swali la haraka, kutaka nikutajie wasanii watano ambao nawakubali sana,
Basi jina la Mfalme wa Rhymes (Afande Sele) litakuwa...
HAKUNA DHULMA YA MILELE, ISIYO LIPWA.
‘Mwili uliolala milele hauwezi kuamka, lakini unaweza kuzungumza ukweli kuliko mwili unaoamka kila siku’ – Pragya Santra.
Kila nyumba ina stori yake, ndoto zake, siri zake na matumaini ya watu wanao ishi na walio wahi kuishi humo. Nyumba moja mjini New...
KISA CHA MUUAJI MJANJA
Uchunguzi wa kimaabara na matukio ya uhalifu.
Siku moja wakati wa ibada ya jioni, mtu mmoja aliyeitwa Steve A. Robards mwenye umri wa miaka 38 alianza kuhisi dosari mwilini mwake. Baadaye usiku alifariki kwa‘shambulio la moyo’ au kwa lugha nyingine ‘Heart Attack.
Iweje...
AMEPOTEA KISIWANI KEY WEST - 1 Umewahi kujua kwamba taa za barabarani huwekwa pia Kamera? Si kwa Tanzania, lakini katika miji mingine mikubwa taa za barabarani huwekwa Kamera ili ziweze kunakiri matukio mbalimbali na kusaidia vyombo vya ulinzi na usalama.
Fuatilia kisa hiki cha mwanaume mmoja...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.