kaa

Kaa is a fictional character from The Jungle Book stories written by Rudyard Kipling. He is a giant snake.
In the books, Kaa is an ally of main protagonist Mowgli, acting as a friend and trusted mentor figure alongside Bagheera and Baloo. However, screen adaptations of The Jungle Book usually portray him as a secondary antagonist who attempts to eat Mowgli.

View More On Wikipedia.org
  1. Intelligent businessman

    Kaa kimasta kijana, hisia sio mzigo mzuri kwako

    Unapokuwa mwanaume wa hisia hisia, ina maana ni rahisi kuumia, kupelekeshwa na chochote kilichopo mbele yako. Hata hisia za za kufanya maamuzi bora zinapokujia, zinakushinda na unajikuta una jiumiza zaidi. Japo akilini unajua ni mbaya lakini hisia zina nguvu na zinakushinda. Kwasababu upo...
  2. R

    Madereva wa Mwendokasi wengi wana msongo wa mawazo. Waziri kaa na hawa watu uwasikilize itapunguza kuharibu magari

    JPM alipoona Mwendokasi Madereva wanadai maslahi alikwenda kuchukua vijana serikalini na JKT akawapa kazi za ulinzi, kukata tiketi,ufundi na udereva. Walioletwa kwa sababu wanawekwa bila sifa wameendelea kujifunza kazi taratibu lakini wakiwa na msongo mkubwa wa mawazo kuhusu lini watapata...
  3. Robert Heriel Mtibeli

    Sheria mojawapo ya Maskini inasema: Usionyeshe wala usi-post Mafanikio yako

    SHERIA MOJAWAPO YA MASKINI INASEMA: USIONYESHE WALA USI-POST MAFANIKIO YAKO. Anàandika, Robert Heriel Mtibeli. Kuna maskini na umaskini wake. Alafu kuna tajiri na utajiri wake. Umaskini na maskini wanasheria na kanuni zao. Matajiri na utajiri wanasheria na kanuni zao. Wapo maskini wa aina...
  4. Robert Heriel Mtibeli

    Usishindwe Kufurahia Maisha yako kwa sababu ya historia au mambo yako ya nyuma

    Anaandika, Robert Heriel Mtibeli. Taikon kama Mchunguzi huru, na ambaye ninajihusisha na watu wote, nilikuja kugundua kuwa moja ya mambo yanayowafanya Watu wengi kushindwa kufurahia maisha yao ni pamoja na kuendekeza PAST na BACKGROUND zao. Basi hivi leo, ikiwa wewe ni mmoja wa Watu wa aina...
  5. Equation x

    Kijana, kaa mbali na hawa wanawake

    Ukimtongoza tu, lazima aombe ushauri kwa marafiki zake; hawa huwa ni wasumbufu sana, iwe ni kwa malengo ya muda mfupi au mrefu. Utakachomwambia tu, anawashirikisha wenzake; na kama hao marafiki zake hawakukubali, jiandae kupigwa chini. Wengi wao huwa wanashindwa kujisimamia katika maamuzi...
  6. Roving Journalist

    Kassim Majaliwa: Namuagiza Naibu Waziri Mkuu kushughulikia suala la uhaba wa mafuta nchini

    Fuatilia yanayojiri kwenye Bunge la 12, Mkutano wa 12, Kikao cha 8, leo Septemba 7, 2023. https://www.youtube.com/live/soJPf67OkQM?si=PyIaBMuE5kEcrnq- Ratiba: Hati za kuwasilishwa Mezani Maswali kwa Waziri Mkuu Maswali ya kawaida Waziri Mkuu Kassim Majaliwa: Namuagiza Naibu Waziri Mkuu...
  7. Orketeemi

    Wachukie Wasukuma uwezavyo lakini kaa ukijua wamebarikiwa sana

    Thread kadhaa huanzishwa hapa jf kuwakandia na kuwasiliba Wasukuma. Wapo wanaosema mara Wasukuma hawaogi. Mara Wasukuma ni washirikina. Mara Wasukuma ni washamba . Yote hayo inaweza kuwa Sawa lakini kaa ukijua hawa watu wamebarikiwa Sana. Nimeishi Kanda karibu zote nchi hii hadi Zanzibar Ila...
  8. L

    Kaa na ujenge nami

    Update: Leo nimeanza kunyayua nadhani kesho kutwa ntamaliza kozi 10 nisubire kufunga mkanda na kumalizia 3. Mwaka huu mwezi wa tatu kwa kipato changu nikaamua kujipiga piga na mimi nianze ujenzi. Kwanza nilianza kwa kununua tofali za msingi inch 6 kila tofali ilikuwa Tzs 1200 na nikanunua...
  9. Jemima Mrembo

    Waziri Masauni, kaa kimya Watanganyika tunapolia juu ya urithi wa rasimali zetu

    Watanganyika tumedhulumiwa ardhi yetu, tumedhulumiwa maji yetu ya maziwani na ya baharini, ndugu zetu tulio waamini sana, tukawakaribisha chumbani leo wamempa Mwarabu kwa vipande vichache tu vya fedha. Leo Watanganyika tunalia machozi ya damu, Mzanzibari mmoja anatuzuia tusilie. Mara tukae...
  10. sky soldier

    Ewe mwanamke, ukigundua mme wako kapata mtoto huko nje na huna mpango wa kuondoka kaa kimya usimuulize, Ukweli utamuweka huru mwanaume sio wewe

    Hasa kwa wale vinganganizi kutwa nzima kufatilia kama mwanaume ana mtoto nje, ukiupata ukweli ujipange kisaikolojia!! ni heri ukae kimya umwache mme wako kama alivyo wewe kaa kimya tu maisha yaendelee (1) Mwanzo alikua anawasiliana na huyo Mama wa mtoto kimya kimya,hakutaka ujue, alikua...
  11. Huihui2

    ATCL Kaa Mbali na Ushirikiano na KQ

    Kwenye habari za Channel 10 ya Saa 1:00 jioni leo tarehe 19/ 04/ 23, kuna habari inayosema ATCL ina mpango wa kushirikiana na Shirika la Ndege la Kenya maarufu kama KQ. Kama habari hii ni ya kweli, nashauri Watanzania tukemee mipango hii kwa vile uzoefu unaonyesha ushirikiano hauna tija Kama...
  12. Jidu La Mabambasi

    Mama Mabula kaa chonjo hapo Ardhi, kuna genge la wafanyakazi wezi na waporaji viwanja!

    Nataka kumtahadharisha mama yangu Mpendwa Mama Dk Angelina Mabula. Amekaa hapo Wizara ya Ardhi kwa muda mrefu sasa lakini hajui kuwa kuna kakundi au genge la wezi na waporaji wa viwanja. Suala linaanzia hapo kwa Msajili wa Hati. Mafaili ya viwanja yanapotezwa na kuna nyakati mafaili yanakuwa...
  13. T

    Ukiwa na jambo lako, kaa nalo

    Ukijaribu kumhadithia rafiki yako mambo yako nyeti walahi kesho utakuta ameweka uzi humu. Ni afadhali matatizo yako uchakate na serikali yako ya ubongo.
  14. M

    Kama Umaarufu unalipa nini kimemfanya Haji Manara akose Kura CCM inayohusishwa na Yanga SC Kimahusiano?

    Kazi yangu leo ni Kusoma tu Mirejesho yenu ( Comments zenu ) juu ya Jambo nililoliuliza hapo juu katika Kichwa changu cha Habari.
  15. J

    Mwanaume wewe ni mwamba, kichwa na kiongozi. Kaa kwenye nafasi yako

    Habari wana JF, Ni asili ya mwanaume kuanzisha mahusiano na mwanamke ndio mwenye maamuzi ya kukubali au kukataa, hata kama mwanamke ataanza kumpenda mwanaume ni vema kusubili mwanaume aanze kwasababu yeye ndiyo dereva anatakiwa kuwa na uhakika wa safari yenu na ramani ya huko mnakoelekea...
  16. Etugrul Bey

    Ambatana au kaa karibu na Watu ambao wanaweza kukupa ramani ya mafanikio!

    Ni mazungumzo ya vijana wawili wanao fahamiana...ni uwanjani katika mchezo wa soka pale kitaa cha Tabata. Jioni hiyo niliamua kwenda kucheki mazoezi ya mpira kwani kiwanja Hicho hakipo mbali Sana na ninapoishi. Na haya ndio mazungumzo Yao: Kijana wa Kwanza '' Kaka hiyo fani yako ya umeme vipi...
  17. R

    Fikra huru kaa la moto kwa jamii?

    Fikra huru, kuwa na mawazo yako kuhusu mambo mbalimbali hasa kwenye mambo ya dini na siasa na sio kukubali tu kama vilivyowekwa, kuzoeleka au kufundishwa. Kuwa na fikra huru kumewaletea matatizo watu hawa kwasababu tu wamekuwa tofauti na vilivyokuwa na mizizi na kuzoeleka. Baruch De Spinoza...
  18. Expensive life

    Kijana mwenzangu soma usomavyo ila kaa ukijua mjini koneksheni

    Kila mwaka maelfu ya vijana wanahitimu masomo yao katika vyuo mbalimbali ila changamoto imekuwa kwenye kupata ajira. Mfumo wa nchi hii kama hauna mtu yeyote wakukuunganisha na sekta yeyote aiseeeh utasota sana kupata ajira hata kama utakuwa na vigezo kupita wengine. Nina kaushuhuda kangu haka...
  19. Marumeso

    Kaa mbali na Mwanamke asiyejua kuandika jina lake kwa usahihi

    Kaa mbali sana na mwanamke anayeandika jina lake kwa staili hii akiamini amelipatia - Mtu anaitwa Lilian yeye anajiandika Lilyan/Liliani au Lylyany. - Janeth yeye anaandika Janethi/Janeti/Janethy - Mary au Maria yeye anaandika Marry/Merri/Meli/Malia - Priscilla/Priscillah anaandika...
  20. S

    Kaa mbali sana na mtu unayejua au unayehisi anakuchukia

    Ukiona mtu damu yako na yake haziendani yani hakukubali kaa naye mbali jiepushe naye kabisa kaa naye mbali. Kama unanamba yake ifupe upesi usiangalie status zake wala wewe asiangalie status zako. Haijalishi ni shangazi mjomba rafiki nk kwa kuwa tu damu zenu haziivi jiepushe naye
Back
Top Bottom