Msanii Ali Kiba azindua Redio yake, inaitwa Crown FM

Intelligent businessman

JF-Expert Member
Sep 6, 2022
26,302
53,182
Staa wa muziki wa Bongo Fleva @officialalikiba amezindua radio yake mpya inayoitwa CROWN FM ambayo inapatikana 92.1 Fm.

Alikiba ameeleza sababu za kuzindua Radio kuwa ni njia pekee iliyoinua career yake na watu kumfahamu kupitia Radio.

Baada ya kuwa msanii kwa takribani miaka 20 sasa anakuwa miongoni mwa Wasanii na watu wanaomiliki Radio.
FB_IMG_17100118359667764.jpg
 
Back
Top Bottom