Hakuna kuzama hapa, lazima aibuke mshindi!Inasikitisha Sana. Ila wakae wakijua siku zote ya kuwa nguvu ya umma inapoamua jambo daima huwa haishindwi hata mara moja. Jibuni hoja zake kama vile anavyozitoa hadharani. Hizo njama mnazompangia hazitafanikiwa...
Lissu rais wa watanzania.Mleta mada Lisu ni debe tupu hafiki popote yule.
Anachangamsha tu uchaguzi
We kiazi kweli. Yani akose pakulala? Kichwa panzi wewe.Baada ya Oktoba 28 umkaribishe sebuleni kwako kwa maana hata pa kulala atakuwa hana, mwenzake Fatuma karudi kwao kwenye kasiri la babake, ...
Asiyemuunga mkono RAIS MTEULE TUNDU LISSU ni mchawi, tena mchawi wa daraja la kwanza.Inasikitisha Sana. Ila wakae wakijua siku zote ya kuwa nguvu ya umma inapoamua jambo daima huwa haishindwi hata mara moja. Jibuni hoja zake kama vile anavyozitoa hadharani. Hizo njama mnazompangia hazitafanikiwa.
Kama ni wivu kwa kuwa Tundu Lissu ameonekana kuwa na mamilioni ya wafuasi hawataweza kuififisha nyota yake kwa mtindo huo.
Watanzaia wameamua safari hii wapo na Tundu Lissu katika boti moja wakiwa naye hadi destination au mwisho wa safari yenyewe ambapo ni pale mjengoni iwe ni Dar au Dom. Viva Tundu Lissu.
Huwezi kumfananisha Tundu Lissu na yule mnyonyaji wa wanyonge.Baada ya Oktoba 28 umkaribishe sebuleni kwako kwa maana hata pa kulala atakuwa hana, mwenzake Fatuma karudi kwao kwenye kasiri la babake, ...
Mkuu Sky Eclat , hivi ndivyo Watanzania tulivyo, hata ile 2015, kuna watu kama wewe, walisema hivi hivi kumhusu Lowassa, na watu, nikiwemo mimi, tukapanda MV Lowassa, lakini mwisho wa siku waliishia kulia na kushangaa. Hayo makundi ya watu kwenye mikutano ya kampeni sio kura!.Watanzania wameamua safari hii wapo na Tundu Lissu katika boti moja wakiwa naye hadi destination au mwisho wa safari yenyewe ambapo ni pale mjengoni iwe ni Dar au Dom. Viva Tundu Lissu.
kwa hiyo Mimi mchawi?Asiyemuunga mkono RAIS MTEULE TUNDU LISSU ni mchawi, tena mchawi wa daraja la kwanza.
Tumechoshwa na propaganda za CCM hawana jipya wala feature na nchiInasikitisha Sana. Ila wakae wakijua siku zote ya kuwa nguvu ya umma inapoamua jambo daima huwa haishindwi hata mara moja. Jibuni hoja zake kama vile anavyozitoa hadharani. Hizo njama mnazompangia hazitafanikiwa...
Unaongea kama vile unayafahamu matokeo Pascal MayallaMkuu Sky Eclat , hivi ndivyo Watanzania tulivyo, hata ile 2015, kuna watu kama wewe, walisema hivi hivi kumhusu Lowassa, na watu, nikiwemo mimi, tukapanda MV Lowassa, lakini mwisho wa siku waliishia kulia na kushangaa. Hayo makundi ya watu kwenye mikutano ya kampeni sio kura!.
Keep hopping for the best, but prepare for the worst!.
Lissu ni mgombea tuu wa urais, lakini rais ni Magufuli!.
P
Freedom is coming freedom.Tumechoshwa na propaganda za Ccm hawana jipya wala feature na nchi
Mleta mada Lisu ni debe tupu hafiki popote yule.
Anachangamsha tu uchaguzi
Hivi mzee unadhani waTz hawako dynamic?Mkuu Sky Eclat , hivi ndivyo Watanzania tulivyo, hata ile 2015, kuna watu kama wewe, walisema hivi hivi kumhusu Lowassa, na watu, nikiwemo mimi, tukapanda MV Lowassa, lakini mwisho wa siku waliishia kulia na kushangaa. Hayo makundi ya watu kwenye mikutano ya kampeni sio kura!.
Keep hopping for the best, but prepare for the worst!.
Lissu ni mgombea tuu wa urais, lakini rais ni Magufuli!.
P