Search results

  1. APPROXIMATELY

    Mwanamke mwenye furaha huleta baraka ndani

    Habari za kwenu?? Ili uwe na amani mda wote,hii inajumuisha wote walio ndani ya ndoa au walio na mahusiano ya kimapenzi. Mwanamke anaweza kukufanya ukaonekana kidume mbele ya jamii,pia anaweza kukufanya ukaonekana kituko na jamii. Mwanamke mwenye furaha huleta baraka ndani,ndo maana unaweza...
  2. APPROXIMATELY

    Take risk aisee...

    Habari zenu?? Kuna uliusemi unasema "jilipue",ni kausemi fulani kako serious kwa mtu aliyepo serious. Haya maisha yana formula moja tu take risk,watu wengi walio thubutu formula hii walijikuta wamepiga hatua nyingi kwenye maisha yao. Mnaweza kusema mleta mada ametake risk gani,kuna kipindi...
  3. APPROXIMATELY

    Je, kumpiga mwanamke,kwenye uhusiano kunaongeza heshima au kunavuruga upendo ndani?

    Habari zenu.... Katika maisha yangu nilijiapia sitakuja kumpiga mwanamke,mwanamke pekee niliyempiga tena kwa kumnyoosha ni mdogo wangu tu? Kipindi alikuwa anavunja ungo alikuwa asikii la mtu mimi ndo niliyemnyoosha kama nisingekuwa mimi ndo alikuwa anaenda kuharibu maisha yake kwa kubeba mimba...
  4. APPROXIMATELY

    TFF inaendesha mpira kwa kupendelea Simba

    TFF inaendesha mpira kupendelea Simba, leo hii imejihizirisha,kusogeza mechi ya Simba na Mbeya City mbele, kwa sababu za kipumbavu ni kuzalilisha nchi yetu. Nauliza hapa Simba walipoenda huko Dubai wameenda kuwakilisha nchi? Simba walipo enda huko Dubai TFF imewahusu nini mpaka wakasogeza mechi...
  5. APPROXIMATELY

    Starehe ya muda mchache, majuto ya muda mrefu

    Za nyieeeee.. Mapenzi, mapenzi, nakuita tena xxx. Ni starehe ya mda mfupi sana, ila majuto yake yanadumu milele. Ninapozungumzia majuto, nina maana hii. Kuna kipindi mtu unashikwa na ugwagwadu wa maana mpaka ukiona midoli unatamani kuichakachua, sasa hali inawapataga wanaume tena inawafanya...
  6. APPROXIMATELY

    Watanzania hatuna mipango kabisa...

    Habari zenu.... Kuna mambo yanafanyika tanzania tu,tena yanatia aibu sana.. Kesho wanafunzi wanafungua shule,ila wazazi wao wameshindwa kufanya maandalizi siku nyingi ya kujianda na shule,leo hii ndo wanashituka sasa,yani unakutana na wazazi wapo na watoto wao kariakoo kama wamechanganyikiwa...
  7. APPROXIMATELY

    Leo hii nimetapeliwa

    Daaaah sona habari na nyiee... Nimetapeliwa 15000,hii ela siningekunywa zangu beer hata 5.
  8. APPROXIMATELY

    Moto moto wamechokoza wenyewe, yani mpaka wajute, Yanga tunakiwasha

    Yani hapa,mpaka life jitu,tupo tayari kwa mapambano,tunavunja mkataba na azam,tunawafuata dstv,hatutumii vitu vya azam,tunatumia vya azania na makapuni mengine, Yaani tumejianda kwa vita wananchi wote hakuna kununua vitu vya Azam, yaani atakaye pata shida ni azam sio yanga, ebu imagine yanga...
  9. APPROXIMATELY

    Uzi kwa ajili ya Merry Christmas, Sikukuu pendwa zaidi duniani

    Habari zenu wana JamiiForums.. Moja kwa moja naenda kwenye mada husika kama kichwa kinavyojieleza,kipindi nikiwa mdogo wa miaka 4 na kuendelea,nilikuwa na shangaa sana wazazi wanavyojianda kwa ajili ya christimass. Wazazi walitununulia nguo kwa ajili ya christimass,nakumbuka baadhi ya nguo...
  10. APPROXIMATELY

    Nimetumia mbao mwanzo mwisho..kila anayepita analishangaa banda hili...

    Kama picha inavyojionyesha,nimejenga hili banda kwa kutumia mbao mwanzo mwisho,wengine wananiambia ni gejenga banda la chuma,wengine wananiambia nimetumia gharama sana kujenga banda hili maana mbao zimekuwa ghari,wabongo wanakatisha sana tamaa,yani wanaona nina pesa kwa kuwa nimejenga kwa mbao...
  11. APPROXIMATELY

    Kitu chenye thamani sana

    Habari zenu..... Binadamu wanaongezeka sana,ila aridhi haiongezeki,tena inazidi kupungua kila kukicha,kama unauwezo wekeza kwenye kununua aridhi sehemu tofauti tofauti,tena nunua kwa kufuata maendeleo ya mji yanavyokuwa,angalia ramani za mji ndo ununue.. Aridhi ukinunua leo baada ya miaka...
  12. APPROXIMATELY

    Watanzania wenzangu tuanze kuweka akiba ya vyakula ndani

    Wanajamii forum shikamoniiii woteeee... Wantanzania wenzangu naombeni tuanze kuweka akiba ya vyakula ndani, kama una uwezo mkubwa, weka angalau chakula cha mwezi au miezi kadhaa mbele, dunia tunayoishi hii sio ile dunia ya zamani, kulikuwa hakuna tabu ya chakula hata. Mambo yamebadilika tupo...
  13. APPROXIMATELY

    Mambo tunayaona sasa hivi magumu, miaka inayokuja huko mbele yatakuwa ya kawaida sana

    Habari za mda huu ndugu zangu wanajamii forum. Dunia imepita kipindi tofauti tofauti sana, kipindi kile enzi za binadamu wa mwanzo kabisa walitumia dhana za mawe kujipatia chakula,kipindi chuma hakijaja. Kipindi chuma kimekuja kilikuwa kinaonekana ni kitu cha muhimu sana,binadamu wote...
  14. APPROXIMATELY

    Wanaume na mzigo wa vichwa viwili

    Wanaume tumeumbwa kwa ajabu sana, tumeumbwa na vichwa viwili daah, kichwa cha juu na kichwa cha chini. Kichwa cha juu kazi yake kutafuta pesa na kukupa mawazo mazuri ya kusaka pesa, ila kichwa cha chini kazi yake ni kutumia pesa alizotafuta kichwa cha juu. Huwa najiuliza kichwa cha chini...
  15. APPROXIMATELY

    Daima usisahau...

    Habari zenu humu ndani, Kijana ukimaliza ujana, tafuta mwanamke mwenye tabia njema, mwenye roho nzuri ilikukupeleka kwenye safari njema ya maisha na uzee. Kwa sababu sura nzuri itazeeka, mwili shupavu utachakaa lakini roho nzuri na tabia njema utabaki navyo mpaka kufa. sisemi wanawake ulionao...
  16. APPROXIMATELY

    Fumbua macho yako

    Habari za muda huu ndugu wana Jamii Forums? Natumaini mnaendelea vyema na ujenzi wa taifa letu hili pendwa Tanzania, changamoto zipo ila cha msingi ni kuzishinda huku tukimtanguliza Mungu mbele. Napenda kujikita kwa mada huska kama ifuatavyo, Afya yako ni jambo la msingi sana. Afya yako kuwa...
  17. APPROXIMATELY

    Definition ya maisha(usikate tamaa)

    Habarii zoo. Rejea.. Mama samia Kareem mandonga Majaliwa Harmonize Rayvany Diamond Ruto KFC Uzi tayariii...
  18. APPROXIMATELY

    Biashara ya ufundi simu

    Kwema wanajamii forum?? Kama kichwa kinavyojieleza hapo juu,kuna mdogo wangu ananisumbua sana,kamaliza chuo sasa hana kazi,kaniomba nimfungulie office ya ufundi simu. Sasa nilitaka kujua mpaka ufungue hiyo office itagharimu kiasi ghani? Na kila kifa cha muhimu bei yake na kinaitwaje?? Dogo...
  19. APPROXIMATELY

    Hivi mpaka sasa bado unanga'ng'ania Dar es Salaam wewe loser my friend..

    Niko fiti kamili gado, sijui wewe? Hoja yangu ya msingi inakwenda kwa nyie wakazi wa bongo land a.k.a jiji la chura wanaonesanesa kwenye vumbi, vijana wala chips mlenda mlenda a.k.a mabwabwa, ila sio wote wapo hivyo ni baadhi yao, msinielewe vibaya. Laana iliyopo dar ni zaidi ya sodoma na...
  20. APPROXIMATELY

    Kwenye maisha usije kumdharau mtu

    Nakuja ifuatavyoooo... Nasema tena kwenye haya maisha usije mdharau mtu,nakumbuka kipindi tukiwa wa dogo, msimu wa kufunga shule kwa ajili ya likizo ya December wazazi walikuwa wanatupeleka moshi kwa ajili ya kula Christmas maeneo ya machame, sasa kipindi hicho tukiwa huko machame kijijini...
Back
Top Bottom