APPROXIMATELY
JF-Expert Member
- Aug 10, 2021
- 2,035
- 2,682
Kwema wanajamii forum??
Kama kichwa kinavyojieleza hapo juu,kuna mdogo wangu ananisumbua sana,kamaliza chuo sasa hana kazi,kaniomba nimfungulie office ya ufundi simu.
Sasa nilitaka kujua mpaka ufungue hiyo office itagharimu kiasi ghani? Na kila kifa cha muhimu bei yake na kinaitwaje??
Dogo kaniambia anaujuzi maana alipomaliza chuo aljifunza huo ufundi,naombeni mnisaidie kwa jambo hili.
One time,
Approximately once again.
Kama kichwa kinavyojieleza hapo juu,kuna mdogo wangu ananisumbua sana,kamaliza chuo sasa hana kazi,kaniomba nimfungulie office ya ufundi simu.
Sasa nilitaka kujua mpaka ufungue hiyo office itagharimu kiasi ghani? Na kila kifa cha muhimu bei yake na kinaitwaje??
Dogo kaniambia anaujuzi maana alipomaliza chuo aljifunza huo ufundi,naombeni mnisaidie kwa jambo hili.
One time,
Approximately once again.