Wasalaam JF,
Hakika Mungu wa wanaume amendelea kujiimarisha na kusambaza upendo wa kujitambua kwa akili na maarifa.
Wimbi la wanaume kukataa hadaa za ndoa kutoka kwa single mothers ni kubwa sana na linafurahisha sana.
Riporti za hivi karibuni kutoka redio mbao, hasa kwenye magroup ya mitandao na WhatsApp single mothers wanajadili namna ya kujinasua, wanamipango lukiki hasa ya kwenda kwa waganga tabora,, kigoma, gamboshi, sumbawanga.
Jihadhari pita nao njia zilezile usimzoee single mother mpaka ukajisahau.
Beware
Ni hayo tu.
Wadiz Baharia wenu