Kamanda Asiyechoka
JF-Expert Member
- Sep 13, 2020
- 3,166
- 4,581
Hoja hapa kwa kuwa JPM anabana matumizi na hataki makandarasi kujenga majengo au kandarasi za umma, kwa nini asitumie forced account kujenga uwanja wa chato?ukitaka kujua Tundu lissu ni mgombea wa hovyo na anawakatisha tamaa bavicha,ni jinsi miongozo,ushauri na maelekezo yalivyo mengi humu kuliko kuwahi kutolewa kwa mgombea yoyote
Inaonekana Tundu lissu anatoka nyumbani amepanga kabisa kuongelea sera,lakini kwa kuwa hana sifa za urais,akifika jukwaani anapotea ,anapandisha hasira anaanza kuelezea risasi na uwanja wa chato
watu wanataka ugali yeye anaelezea uwanja wa chato,kana kwamba chato sio Tanzania