chanjo

Chanjo (kutoka kitenzi "kuchanja"; kwa Kiingereza "vaccine") ni dawa ya kibiolojia ambayo inajenga kingamwili dhidi ya ugonjwa fulani.

Dawa ya chanjo huwa na sehemu za vidubini vinavyosababisha ugonjwa fulani. Dawa hutolewa kutoka katika kidubini kilicho hai au kilichokuwa hai. Sehemu zinazotumiwa kwa dawa haziwezi kusababisha ugonjwa lakini zinatambuliwa na mmfumo wa kinga mwilini.

Mara dawa ya chanjo inaingizwa katika mwili, mfumo wa kinga unaanza kutegeneza fingomwili dhidi ya ugojwa huo.

Chanjo ni njia bora zaidi kuzuia magonjwa ya kuambukiza. Kinga inayoenea kutokana na chanjo kwa kiasi kikubwa inawezesha kuepukana na kifua kikuu duniani na kizuizi cha magonjwa kama vile polio, pepopunda, tetekuwanga kutoka duniani kote. Hata hivi karibuni kumekuwa na mlipuko wa ugonjwa wa COVID-19 kuna chanjo zilitengenezwa na kuukabili

Tunashauriwa na wataalamu wa afya na wanasayansi wa kimataifa kuwapa watoto wadogo chanjo ili iwakinge dhidi ya magonjwa na maradhi mabaya. Kinga ni bora kuliko tiba.
  1. instinct desire

    JamiiForums Tanzania CHADEMA imeharibu maadili ya Taifa letu. Siasa zao zimejikita kwenye matusi, upotoshaji, vurugu na ufitinishaji; kama Taifa tuseme NO

    Kila siku tunalalamika kushuka kwa Maadili nchini lakini wavuruga maadili nchini ni chadema. Mpaka Leo hii maadili ya watanzania yameharibika kwasababu ya viongozi wa chadema na chama Chao cha chadema. Kwasababu matusi kwao ndo njia ya kufikishia ujumbe, upotoshaji kwao ndo ajenda ya kupata...
  2. T

    JamiiForums Tanzania Binadamu alichomwa chanjo nyingi kuliko binadamu yoyote afikisha miaka 100

    Sir David Attenborough, ambaye anasherehekea siku yake ya kuzaliwa ya 100 leo, amesafiri karibu kila kona ya Dunia kama sehemu ya azma yake ya kuwaelimisha wengine kuhusu ulimwengu wa asili. Mtangazaji huyo, maarufu kwa sauti yake ya kipekee ya utulivu, aliweka viwango vipya vya makala za...
  3. T

    JamiiForums Tanzania Chanjo ya Minyoo na Kichocho inayotolewa Shule za Msingi yadaiwa kuua Wanafunzi Jijini Mbeya

    Watoto wa shule ya msingi jijini Mbeya wamepata matatizo ya kiafya ikiwemo kuumwa tumbo na kutapika na wengine kufaliki baada ya kupewa chanjo ya vidonge kwa ajili ya minyoo na kichocho. Miongoni mwa mwanafunzi aliyefaliki ni mwanafunzi wa kike mwenye miaka minne aliyekuwa anasoma Shule ya...
  4. Mshana Jr

    JamiiForums Tanzania Chanjo chini ya kalio..! Sitara ya huba ndani ya pepo ya dunia

    CHAPA YA NDANI KWA NDANI😋 Kwenye kuta za faragha, penye sitara na siri, chanjo chini ya ushaga, pasipo jicho la siri,Si jeraha la mahaba, bali pendo la fahari, Chale yako kalioni, alama isofutika. Hukuvaa kifuniko, kile cha asali wala kisepe angavu, Kwa mahaba ulinikaribishaa, hadi ndani...
  5. A

    JamiiForums Tanzania KERO Chanjo hatupewi lakini tunatozwa malipo mpakani Mtukula na Kasumulu, fedha zinakwenda wapi?

    Kero yangu kubwa bhana inaenda Wizara ya Afya hasa upande wa boarder ya Mtukula na boarder ya KASUMULU ambapo wafanya kazi wa wizara hiyo hapo boarder wamekuwa na tabia ya kutulipisha hela ya vaccination Shilingi 10,000. Lakini cha ajabu hawapigi hizo dawa kwenye magari, baada ya kutoka nchi...
  6. JITU BANDIA

    JamiiForums Tanzania Msaada: Dawa ipi ni nzuri ya hospitali ya kukausha uvimbe wa mguu baada ya kuparuliwa na paka? Chanjo ameshachoma.

    Wasalaam aleykum, Twende kwenye mada, Nina mdogo wangu aliparuliwa na paka wiki mbili zilizopita, baada ya hapo tukamchoma chanjo zote za za kuzuia athari ya kung'atwa na wanyama pale hospital... Lakini hadi sasa ameendelea kutumia antibiotics mbali mbali, mguu haupungui uvimbe! Uvimbe...
  7. Imani rubaba

    JamiiForums Tanzania HOMA YA NGURUWE, UGONJWA HATARI USIO NA CHANJO WALA TIBA 🙌🥺

    Hivi karibuni Rubaba Media tumepokea simu na ujumbe mwingi kutoka kwa wafugaji wa nguruwe maeneo mbalimbali nchini. Changamoto kubwa inayojirudia ni vifo vya nguruwe kutokea kwa makundi, hali ambayo imeleta hofu na hasara kubwa kwa wafugaji wengi. Wapo wafugaji wanaohusisha vifo hivyo moja kwa...
  8. ChekoFagia

    JamiiForums Tanzania Gavi, UNICEF watia saini mkataba wa kupunguza bei ya chanjo ya Malaria

    Muungano wa kimataifa wa chanjo Gavi na mshirika wake Unicef watalipa nafuu ya 25% kwa chanjo mpya ya malaria iliyotengenezwa na Taasisi ya Serum ya India ndani ya takribani muda wa mwaka mmoja, kuwaruhusu kufikia watoto zaidi licha ya kupunguzwa kwa misaada ya kimataifa. - Mpango huo...
  9. Just Pray

    JamiiForums Tanzania Enteromix: Chanjo ya saratani kutoka Urusi iliyofikia ufanisi wa asilimia 100 kwenye majaribio ya kitabibu

    Katika kile kinachoweza kuwa muujiza wa kuokoa na kuboresha maisha ya maelfu ya watu duniani, chanjo ya mRNA ya Urusi iitwayo Enteromix imeonesha ufanisi wa asilimia 100 na usalama katika majaribio ya kitabibu. Hii inaweza kuleta matumaini makubwa katika kupambana na saratani sugu na hata...
  10. Brayan_Jk

    JamiiForums Tanzania Ifahamu Wing Web Vaccination kuwapa Chanjo ya Ndui)

    Fowl Pox ni ugonjwa wa kuku unaosababishwa na virusi, unaosambazwa na mbu au kwa kugusana. Dalili zake: Vidonda kwenye uso, mdomo au midomo ya macho 👀 Kuku kuwa dhaifu na kushuka uzalishaji wa mayai 🥚 Vifo hasa kwa vifaranga wadogo Wing Web ndiyo njia bora ya kuchanja kuku dhidi ya Fowl...
  11. R

    JamiiForums Tanzania Uingereza Kuanza kutoa chanjo ya Kisonono (Gonorrhoea)

    Uingereza imeanza kutoa chanjo ya kwanza duniani dhidi ya maambukizi ya ugonjwa wa Gonorrhoea ambayo yamefikia viwango vya juu. Chanjo hiyo itatolewa kwa makundi ya watu walio hatarini zaidi haswa wanaume wanaoshiriki mapenzi ya jinsia moja na wale wenye historia ya kuwa na mpenzi zaidi ya...
  12. Brayan_Jk

    JamiiForums Tanzania Usikose Chanjo Tena 💉!!

    Wewe ni Mfugaji Lakini huwa unasahau Chanjo na Inakusababisha Kuchanja baada ya Ugonjwa Kuingia ,Fuga App inakusaidia kukumbuka Chanjo zako Zote na itakutumia SMS kukumbusha Siku moja kabla na Siku ya Chanjo, Kuku wako wasiumwe tena kwa kusahau kuchanja Pakua Fuga App Kutoka Playstore Ufurahie...
  13. M

    JamiiForums Tanzania Dawa ya kuzuia maambukizi ya Virusi vya UKIMWI yazinduliwa USA

    Mamlaka ya Chakula na Dawa ya Marekani (FDA) imeidhinisha dawa mpya iitwayo Lenacapavir ya kuzuia maambukizi ya Virusi vya UKIMWI, ambayo imeelezwa kupunguza hatari ya maambukizi kwa asilimia 99.9. Dawa hiyo inayotolewa kwa sindano mara mbili kwa mwaka, itazinduliwa karibuni nchini humo na...
  14. M

    JamiiForums Tanzania Huduma ya chanjo kwa mifugo yako

    Habari wafugaji natumaini wote ni wazima wa afya napenda kutoa somo zuri sana kuhusiana na utoaji wa chanjo kwa magonjwa hatari kwa mifugo yako. Kuna aina nyingi za chanjo ambazo tunawapatia mifugo yetu kuepuka hatari ya mlipuko kwenye shamba la mifugo. Kuna aina nyingi za chanjo mfano...
  15. Brayan_Jk

    JamiiForums Tanzania Kama Bado Unakisia Tarehe ya Chanjo, Unahatarisha Kuku Wako! Fuga App Hukumbusha kwa SMS Kabla Ya Siku Kufika!

    Kitu kimoja kidogo cha kuondoa kwenye kichwa chako. Kama umewahi kufuga kuku unajua jinsi ilivyo rahisi kusahau chanjo inayofuata ni lini… na chanjo gani hasa. Maisha yamekuwa ya haraka sana, na wafugaji wana mambo mengi ya kushughulikia kila siku. Kusahau chanjo ni jambo la kawaida lakini lina...
  16. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Watu wanne wapoteza maisha katika ajali, Polisi Wasema walikuwa wanatoka kwenye zoezi la chanjo ya mifugo na utambuzi

    Jeshi la Polisi Mkoa wa Simiyu linapenda kutoa taarifa kwa umma kuwa mnamo tarehe 16.06.2025 majira ya saa 21.05hrs huko katika Kijiji cha Mwamishari, Kata ya Mwamishari, Tarafa ya Kimali, Wilaya ya Meatu, Mkoa wa Simiyu ilitokea ajali ambayo ilihusisha gari aina ya Scania ambalo lilikuwa...
  17. Ojuolegbha

    JamiiForums Tanzania Chanjo ya mifugo kitaifa ni Mei

    CHANJO YA MIFUGO KITAIFA NI MWEZI MEI Serikali inatarajia kuzindua Kampeni ya Chanjo ya Mifugo Kitaifa Kati ya Mwezi Mei na Juni 2025 ambapo jumla ya dozi 19,099,100 za chanjo ya Homa ya Mapafu ya Ngombe (CBPP) zimenunuliwa na zinatarajia kuchanja jumla ya ngombe 19,099,100. Aidha Jumla ya...
  18. J

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Shangwe la Wafugaji: Chanjo Milioni 77 na Hereni Milioni 37 kutolewa bure na Serikali, Wafugaji wadai hawana deni tena na Mama Samia

    == Bila kujali mfugaji unamifugo mingapi Mama Samia atakupa chanjo na hereni kwa mifugo yako yote bure kabisa. Serikali inatarajia kuzindua Kampeni ya Chanjo ya Mifugo Kitaifa kati ya mwezi Mei hadi Juni, 2025 ambapo jumla ya dozi 19,099,100 za chanjo ya Homa ya Mapafu ya Ngombe (CBPP)...
  19. Gotze Giyani

    JamiiForums Tanzania Kabla ya kusafiri kwenda ughaibuni ni lazima uchome chanjo ya homa ya ini na yellow fever?

    Wadau poleni sana na majukumu naomba kuuliza hivi kwa mnaojua na wenye exposure za kusafiri mara kwa mara kwenda nchi za wenzetu kama Kenya ,Rwanda,Dubai, UK, France nk Nimeulizia nikasikia sio yellow fever vaccine tuu wanakagua hadi Hepatitis b nayo kwa miaka hii ni muhimu haswa ukiwa umetokea...
  20. jooohs

    JamiiForums Tanzania Msaada wa haraka kuhusu chanjo ya manjano(yellow fever )

    Nimepata dharura nataka niende uganda kwa haraka tatizo sina kadi ya manjano. Kesho ijumaa nataka niende mnazi mmoja nikachome ila safari ni ghafla sana natakiwa niondoke jumatatu ila tatizo nasikia tetesi kwamba ninatakiwa kukaa siku kumi baada ya chanjo ndio nisafiri jee inawezekana kuondoka...
Back
Top Bottom