Search results

  1. kibangubangu

    Waandishi wa habari wa Tanzania, baadhi wasivyojua namna ya kusimamia maudhui ya taarifa za viongozi wa juu kama Raisi

    Wakati mwingine nadhani ni vizuri au busara kuto alika waandishi wa habari katika matukio ya ndani,au nyeti...Ambayo yatahitaji weredi wa nini kirushwe au nini kisirushwe.... Uvivu wa baadhi ya waandishi wa habari kuhariri,kulingana na muktadha kunasababisha baadhi ya watu kutoa taarifa ambazo...
  2. kibangubangu

    Barua kwa mama

    Mama, sio kila mwanga unaweza kuonesha au kuangaza kile king'aacho katika uso wa Dunia... Japo macho yako yana angaza na kuona hata punje ya mchanga...ILA Kuna viang'aavyo huvioni sababu Kuna Maumbo na kingo zinazo tengeneza vimvuli vinavyo "Over shadow" the brilliant sparkels... Vimvuli...
  3. kibangubangu

    Mwanadamu mwenye njaa ni mnafiki; hana na wala haoni aibu hata kwa kinywa chake mwenyewe

    Kwa unafiki wa sifa na mapambio unaoendelea kwa hayati Rais yetu aliyefariki madarakani,k wa wale waliokua wanamkosoa awali na kumuona mtu muovu na mkosaji..na sasa wanamuona nabii na mtu mtakatifu. Hili ni funzo kwako Wewe mwanadamu ambaye bado una nyama mbichi, na Moyo ambao bado unasukuma...
  4. kibangubangu

    Jengo lile bila “kuchoma moto” hakuna teuzi wala Kiongozi ataweza simamia

    Kwa kifupi kwenye suala la jengo pembezoni mwa bahari linalopokea na kutuma mizigo, Serikali ya sasa imeamua “kuchoma jengo moto...” Kwasababu jengo hilo linaogopwa miaka nenda rudi kwasabau ni jengo lenye wadudu waharibifu walioshindikana kuondolewa kwa njia ya kawaida miaka yote ya utawala...
  5. kibangubangu

    Kusema dunia itafika mwisho ni kama kusema Mungu kazi yake aliyoianzisha imemshinda

    Kusema dunia itafika mwisho, ni kama kusema Mungu kazi yake aliyoianzisha imemshinda. Ni sawa na kuanzisha biashara kisha ikakushinda na kufirisika. Labda nyinyi binadamu,mnaojifikiria nyinyi tu, viumbe wabinafsi ndo mnaweza fika mwisho,ila inawezekana ndege wadudu na wanyama wakabakia, na...
  6. kibangubangu

    Hii ndiyo sababu ya matajiri kuwa na watoto wachache

    UNAPO SHANGAA KWA NINI MATAJIRI WANA WATOTO WACHACHE, SHANGAA PIA KWANINI MASKINI WANA WATOTO WENGI. Ila ukirudi katika hesabu utagundua kwanini mmoja maskini na mwingine tajiri. Kwa malezi ya kistaarabu Mtoto mmoja gharama ya malezi yake hadi akifika chuo na kuanza kujitegemea ni miaka si...
  7. kibangubangu

    Ulipokua ugenini kwa wakwe au ndugu kumbukumbu gani ya kushare choo ilikupa ugumu

    Unakuta nyumba ina watu si chini ya saba choo kimoja basi asubuhi ni nani anaanza nani anamaliza... Au choo kipo eneo la barazani na ndugu na jamaa barazani ndo kijiwe Wakati hali iko hivyo mkojo wa asubuhi hakuonei huruma... Au tumbo linaamua tu kukuharibia... hahahah
  8. kibangubangu

    Huwezi kuwa tajiri kwa pesa za matajiri

    You can't start to be rich if you tagert money from rich people. To be rich target money from poor people. Poor people offer big market and demand. Because poor people are MANY and always are in NEED! Kibangubangu presents.
  9. kibangubangu

    Wanaume mliokuwa mnataka kuwafahamu na kuwajua wanawake, UKWELI huu hapa

    Wanaume wengi tumekua tukisema wanawake hawaeleweki... Ni kweli sababu wenyewe wana jiendesha katika taswira tata. Ujumla wa taswira hiyo tata ni kwa manufaa ya uwepo wao ila kikubwa zaidi ni kwa usalama wao na asili ya dunia. Sasabu panapo tokea changamoto yoyote wao ndio waathirika zaidi,na...
  10. kibangubangu

    Binadamu ni Mtumwa awe mweupe au mweusi

    Binadamu ni watumwa, ila wanyama na ndege,samaki wapo huru, wanaishi maisha yao. Ndio maana wanyama, ndege na samaki hawana shule, na hawaajiliwi ila wanakula maisha kama kawa. Asili ya dunia imemuandaa mwanadamu kuwa mtumwa wa kutekeleza malengo ya wale walio mtuma. Uwezo wake wa akili,ndio...
  11. kibangubangu

    Huwezi kuitawala dunia bila mwili

    Ili uitawale Dunia lazima uwe katika mwili. Dunia ni phyisikia, huwezi itawala dunia bila mwili. Mapepo, majini na roho hazina nguvu duniania sababu dunia si ulimwengu wa roho ni ulimwengu wa kifizikia. Mashetani na Malaika huhitaji mwili kukamilisha jambo katika dunia liwe baya au jema! Asie...
  12. kibangubangu

    Kujiponya dhidi ya Kujidhuru

    Fahamu kwanini self healing ni ngumu kuliko self distraction. Self healing ni tendo gumu sana ila linawezekana. Sababu kubwa ni: (i) Self healing inatoka ndani ya mwili kuathiri dunia, kuathiri dunia sio kazi ndogo.... Inakupasa uwe na nguvu kubwa za kiroho zinazoweza zidi nguvu za kifizikia...
  13. kibangubangu

    Kila kitu ni UONGO

    1. Maisha ya Duniani ni Uongo 2. Unachowaza ni Uongo 3.Umaskini ni Uongo 4.Utajiri ni uongo 5.Furaha niuongo 6.Huzuni ni uongo 7.Tarehe na siku ni Uongo 8.Usiku na mchana ni Uongo 9.Watakao zaliwa kesho watakutana na huu uongo...hadi pale wakifa 10.Kisicho hai ndo kinaishi duniani muda mrefu...
  14. kibangubangu

    Mwenye kujua hospitali ya kutibu kansa ya titi Kwa Dar

    Naomba kujua hospitali nzuri yenye kutibu magonjwa ya kansa ya matiti(breasts cancer) Kwa Dar es salaam. Pia Wawe na mashine Aina ya RADIOTHERAPIE ONCOLOGIE Nimeiambatanisha katika picha.
  15. kibangubangu

    Fahamu sababu kwanini watu hudondoka na kufa au kupooza wakiwa bafuni

    Je, umeshawahi sikia watu wengi wanaanguka bafuni either wakafa au kupooza. Unajua sababu Ni Nini? Waswahili wanasema bafuni au chooni kuna majini sijui Mapepo sijui blablaaa...hayo ya wahenga hatuwezi kuyabishia... FAHAMU SABABU KWANINI WATU HUDONDOKA NA KUFA AU KUPOOZA WAKIWA BAFUNI...
  16. kibangubangu

    Huduma za Typing, Editing, Data entry, Graphic design, kwa online service Tucheki

    DIGITAL STATIONARY 1. KUCHAPA (typing), KWA LUGHA ZA (Kiswahili,Kiingereza,Kijerumani,Kifaransa,Kichina,Hindi,Kihispania na Kiarabu) (i). Barua (ii) Curriculum vitae (CV) (iii) Vitabu (iv) Majarida (v) Notes na Makala 2. KUHARIRI (editing) (i) Picha (ii) Curriculum vitae (CV)...
  17. kibangubangu

    Unajua kwanini maji ya kuchemsha hupoteza ladha (flat taste)? Fahamu nini ufanye kurudisha ladha yake

    UNAJUA KWA NINI MAJI YA KUCHEMSHA HUPOTEZA LADHA? Mbinu ya kuchemsha maji ni moja ya mbinu ya kuyafanya maji kuwa salama, kupitia mbinu hii utaweza kuua vijidudu, bacteria na virusi mbalimbali ambavyo vipo katika maji. Ubaya wa njia hi ni kwamba, baada ya hapo maji yanakua hayana ladha (flat...
  18. kibangubangu

    Idadi ya watu duniani, heko kwa wanaume

    Kila binadamu unayemuona ni juhudi za mwanaume kutongoza hadi mwanamke akakubali, kutekeleza tendo la uzalishaji. Kiasili mwanaume ndiye anayeanzisha mbio za utekelezaji wa Jambo hilo(kushawishi/kutongozwa n.k), Mwanamke yeye hukimbia (kukataa),inampasa mwanaume ajitahidi kufukuzia...
  19. kibangubangu

    Nikiwa na shida kiukweli hua napata pesa kimaajabu,hii Ni nn?

    Nikiwa na shida kweli hua napata pesa katika mazingira ya ajabu..... Mfano nikimsaidia mtu pesa kiasi ambacho nabakiwa Sina hela, utakuta napata pesa kimaajabu. Toka niko chuo hali hii ilikua inanitokea, ila nilikua najua bahati mbaya baadae nikagundua ni kitu ambacho kipo ndani yangu...
  20. kibangubangu

    Mtu akiandika hivi huwa najisikia hasira

    Kiswahili ni lugha tamu sana, ila pale mtu anapoanza kuiharibu inatia hasira sana. Kwa mfano, pale watu wanaposema maneno yafuatayo: "Abali yako we kaka" "Wewe hujui dhamani ya moyo wangu ndo maana unanitesa" "Nikiwa laisi nitaenda kukaa Ikuru" "Hajila hazijatoka bado" [emoji3][emoji3][emoji3]...
Back
Top Bottom