Binadamu ni Mtumwa awe mweupe au mweusi

kibangubangu

JF-Expert Member
Dec 10, 2018
212
285
Binadamu ni watumwa, ila wanyama na ndege,samaki wapo huru, wanaishi maisha yao. Ndio maana wanyama, ndege na samaki hawana shule, na hawaajiliwi ila wanakula maisha kama kawa.

Asili ya dunia imemuandaa mwanadamu kuwa mtumwa wa kutekeleza malengo ya wale walio mtuma.

Uwezo wake wa akili,ndio kitu pekee kimetumika kumfanya au kumuumba awe mtumwa,ikisaidiwa na umbile la mwili wake. Binadamu lazima awe ni "productive" ili asili imuelewe na kumjali.

Mwanadamu asiye "productive' asili haimtaki atashambuliwa na wanadamu wenyewe na asili itamshambulia kwasababu sifa mojawapo ya mtumwa ni lazima uwe productive.

Na akisha kuwa productive huyu mtumwa kile alichozalisha kinakua sio chake kinabakia kua mali ya dunia...anapoondoka duniani haondoki na chochote.

Kanuni ya mtumwa ni lazima awe mtiifu na kutumikia amri alizopewa ili awe "productive",asipofata hizo kanuni au sheria asili na wanadamu wenzake watamwazibu.

Dunia ni jumba la utumwa haijalishi uwe mweupe au mweusi...Lazima utumike kuishi.

Waliojua ukweli wa hii "fact" mapema walianza kukimbia majukumu ya utumwa na kuwatuma wengine(biashara ya utumwa).

Na walipoona Biashara hiyo ya utumwa inasigina misingi ya asili basi wakaunda pesa, mashine, na viwanda.

Lengo ikiwa kufanya utumwa katika "softcated way"

ambapo wao wata-dedicate utumwa kwa binadamu wengine kwa kutumia mfumo wa ajira,katika hizo mashine au viwanda na kulipa waajiliwa au watumishi(watumwa)..mapato machache (CAPITALISM).

Usishangae watu wanang'ang'ania madaraka,au vyeo lengo kubwa ni kujinasua kwenye utumwa uliokithiri ili waweze kutuma.

Utumwa ndio unaoiendesha dunia, Ajira ni utumwa softcated. Kwakua mwili wa binadamu umeumbwa maalumu kama kifaa cha kazi,hawa ambao wamekimbia utumwa, huwalazimu wailipie ile process ya kutumika kiasili kwa namna nyingine.

Mfano kufanya mazoezi (maana ya mazoezi ni kubalance malipo ya wale wanasiofanya phyisical activity kwa kiwango cha kutosha).

Kama waasipo fanya mazoezi kulipia physical activities za kitumwa,miili yao itakua dhaifu na asili itawaondoa sababu itadetect kuwa huu mwili sio productive. So ku-cheat nature ndo maana wajanja wanafanya mazoezi.

Sababu lazima walipe ili kubalance equation!Binadamu natural ameumbwa kuwa mtumwa. Hivyo kilicho tuleta duniani ni utumwa, na anayetutuma sijui ni Viumbe gani.

Hivyo kupunguza adha ya utumwa tafuta uwezo wakutumia watu wakusaidie utumwa wako yaani kifupi kua boss au kiongozi ila kumbuka kufanya mazoezi.
 
Kama waasipo fanya mazoezi kulipia physical activities za kitumwa,miili yao itakua dhaifu na asili itawaondoa sababu itadetect kuwa huu mwili sio productive. So ku-cheat nature ndo maana wajanja wanafanya mazoezi.
We jamaa una akili sana.

Kweli ni ujinga unafanya kazi/biashara kitumwa ili uwe na watumwa na utembelee gari badala ya miguu.

Kumbe unakuja kuhamaki kuwa hata nature haikutaka uache kuwa mtumwa la sivyo unakosa afya unadhoofu unadanja!!

Sasa kwa nn tusiwe wajanja tufanye vitu kwa balansi tu ili tusiukimbie kabisa utumwa. Na tutumikie kwa kutaka wenyewe. Maana ikiwa hiyari haiwi tena utumwa. Hiyari yashinda utumwa hata kama kazi ni ugumu sawa. Ile kuwa na passion na kazi yako ndio itakuokoa.
 
Mbali ya hayo yote je tufanyaje tusiwe watumwa? Maana now tumejua tatizo

Je? Tutaweza kulitatua hilo tatizo na kuwa huru. Au ndio ule utumwa wakujua chanzo za tatizo na ukashindwa kutatua tatizo kwa lengo lakujifanya wajua tatizo na chanzo chake huku ukishindwa tatua tatizo hilo
 
Iweke tu in a positive way.

Sisi ni wana na sio watumwa baki tu.

Mwana kufanya kazi ya kumfurahisha Baba ake ni furaha kwake pia tofauti na mtumwa. Furaha ya baba ni anapomtuma mwana na mwana akatii kwa hiyari ake.

Ni kweli tupo duniani kutumika kuendeleza kazi iliyofanywa mwanzo ya uumbaji. Hivyo chochote tunachosaidiana na kufanya kuijenga dunia ni mwendelezo sisi wana tunaifanya kazi ya Baba. Kwa furaha kabisa na ndio furaha yetu kumfurahisha Baba anayejivunia wana watiifu. Sisi.

So badala ya kuhangaika kutafuta namna ya kukwepa kutumwa. Bora ujitahidi kutumwa katika zile kazi unazoziona kuwa bora kabisa kwako(wanaita passion) na ukazifanye kwa ubora kabisa hadi mwisho wa maisha yako. Ndio furaha yetu.

Asikudanganye mtu, furaha ya mtu sio kukaa bure tu bali ni kufanya kazi.
 
Mbali ya hayo yote je tufanyaje tusiwe watumwa? Maana now tumejua tatizo

Je? Tutaweza kulitatua hilo tatizo na kuwa huru. Au ndio ule utumwa wakujua chanzo za tatizo na ukashindwa kutatua tatizo kwa lengo lakujifanya wajua tatizo na chanzo chake huku ukishindwa tatua tatizo hilo
Kua boss au Kiongozi uwatume wengine wakusaidie na kukutumikia....ila usisahau kufanya mazoezi a.k.a utumwa hiali
 
Binadamu ni watumwa, ila wanyama na ndege,samaki wapo huru, wanaishi maisha yao. Ndio maana wanyama, ndege na samaki hawana shule, na hawaajiliwi ila wanakula maisha kama kawa.

Asili ya dunia imemuandaa mwanadamu kuwa mtumwa wa kutekeleza malengo ya wale walio mtuma.

Uwezo wake wa akili,ndio kitu pekee kimetumika kumfanya au kumuumba awe mtumwa,ikisaidiwa na umbile la mwili wake. Binadamu lazima awe ni "productive" ili asili imuelewe na kumjali.

Mwanadamu asiye "productive' asili haimtaki atashambuliwa na wanadamu wenyewe na asili itamshambulia kwasababu sifa mojawapo ya mtumwa ni lazima uwe productive.

Na akisha kuwa productive huyu mtumwa kile alichozalisha kinakua sio chake kinabakia kua mali ya dunia...anapoondoka duniani haondoki na chochote.

Kanuni ya mtumwa ni lazima awe mtiifu na kutumikia amri alizopewa ili awe "productive",asipofata hizo kanuni au sheria asili na wanadamu wenzake watamwazibu.

Dunia ni jumba la utumwa haijalishi uwe mweupe au mweusi...Lazima utumike kuishi.

Waliojua ukweli wa hii "fact" mapema walianza kukimbia majukumu ya utumwa na kuwatuma wengine(biashara ya utumwa).

Na walipoona Biashara hiyo ya utumwa inasigina misingi ya asili basi wakaunda pesa, mashine, na viwanda.

Lengo ikiwa kufanya utumwa katika "softcated way"

ambapo wao wata-dedicate utumwa kwa binadamu wengine kwa kutumia mfumo wa ajira,katika hizo mashine au viwanda na kulipa waajiliwa au watumishi(watumwa)..mapato machache (CAPITALISM).

Usishangae watu wanang'ang'ania madaraka,au vyeo lengo kubwa ni kujinasua kwenye utumwa uliokithiri ili waweze kutuma.

Utumwa ndio unaoiendesha dunia, Ajira ni utumwa softcated. Kwakua mwili wa binadamu umeumbwa maalumu kama kifaa cha kazi,hawa ambao wamekimbia utumwa, huwalazimu wailipie ile process ya kutumika kiasili kwa namna nyingine.

Mfano kufanya mazoezi (maana ya mazoezi ni kubalance malipo ya wale wanasiofanya phyisical activity kwa kiwango cha kutosha).

Kama waasipo fanya mazoezi kulipia physical activities za kitumwa,miili yao itakua dhaifu na asili itawaondoa sababu itadetect kuwa huu mwili sio productive. So ku-cheat nature ndo maana wajanja wanafanya mazoezi.

Sababu lazima walipe ili kubalance equation!Binadamu natural ameumbwa kuwa mtumwa. Hivyo kilicho tuleta duniani ni utumwa, na anayetutuma sijui ni Viumbe gani.

Hivyo kupunguza adha ya utumwa tafuta uwezo wakutumia watu wakusaidie utumwa wako yaani kifupi kua boss au kiongozi ila kumbuka kufanya mazoezi.
Kuna kitu apa.
 
Safi sana. Ingependeza mods waupeleke uzi Intelligence forum. Yapo mengi nami huwa natafakari na kuja na fikra huru. Uvivu wa ku-type. Ila ni mengi yanatafakarisha fikra.
 
Binadamu ni watumwa, ila wanyama na ndege,samaki wapo huru, wanaishi maisha yao. Ndio maana wanyama, ndege na samaki hawana shule, na hawaajiliwi ila wanakula maisha kama kawa.

Asili ya dunia imemuandaa mwanadamu kuwa mtumwa wa kutekeleza malengo ya wale walio mtuma.

Uwezo wake wa akili,ndio kitu pekee kimetumika kumfanya au kumuumba awe mtumwa,ikisaidiwa na umbile la mwili wake. Binadamu lazima awe ni "productive" ili asili imuelewe na kumjali.

Mwanadamu asiye "productive' asili haimtaki atashambuliwa na wanadamu wenyewe na asili itamshambulia kwasababu sifa mojawapo ya mtumwa ni lazima uwe productive.

Na akisha kuwa productive huyu mtumwa kile alichozalisha kinakua sio chake kinabakia kua mali ya dunia...anapoondoka duniani haondoki na chochote.

Kanuni ya mtumwa ni lazima awe mtiifu na kutumikia amri alizopewa ili awe "productive",asipofata hizo kanuni au sheria asili na wanadamu wenzake watamwazibu.

Dunia ni jumba la utumwa haijalishi uwe mweupe au mweusi...Lazima utumike kuishi.

Waliojua ukweli wa hii "fact" mapema walianza kukimbia majukumu ya utumwa na kuwatuma wengine(biashara ya utumwa).

Na walipoona Biashara hiyo ya utumwa inasigina misingi ya asili basi wakaunda pesa, mashine, na viwanda.

Lengo ikiwa kufanya utumwa katika "softcated way"

ambapo wao wata-dedicate utumwa kwa binadamu wengine kwa kutumia mfumo wa ajira,katika hizo mashine au viwanda na kulipa waajiliwa au watumishi(watumwa)..mapato machache (CAPITALISM).

Usishangae watu wanang'ang'ania madaraka,au vyeo lengo kubwa ni kujinasua kwenye utumwa uliokithiri ili waweze kutuma.

Utumwa ndio unaoiendesha dunia, Ajira ni utumwa softcated. Kwakua mwili wa binadamu umeumbwa maalumu kama kifaa cha kazi,hawa ambao wamekimbia utumwa, huwalazimu wailipie ile process ya kutumika kiasili kwa namna nyingine.

Mfano kufanya mazoezi (maana ya mazoezi ni kubalance malipo ya wale wanasiofanya phyisical activity kwa kiwango cha kutosha).

Kama waasipo fanya mazoezi kulipia physical activities za kitumwa,miili yao itakua dhaifu na asili itawaondoa sababu itadetect kuwa huu mwili sio productive. So ku-cheat nature ndo maana wajanja wanafanya mazoezi.

Sababu lazima walipe ili kubalance equation!Binadamu natural ameumbwa kuwa mtumwa. Hivyo kilicho tuleta duniani ni utumwa, na anayetutuma sijui ni Viumbe gani.

Hivyo kupunguza adha ya utumwa tafuta uwezo wakutumia watu wakusaidie utumwa wako yaani kifupi kua boss au kiongozi ila kumbuka kufanya mazoezi.

Food for thought.

Thanks.
 
Kua boss au Kiongozi uwatume wengine wakusaidie na kukutumikia....ila usisahau kufanya mazoezi a.k.a utumwa hiali
Hapa bado utakuwa mtumwa vile vile kuwa boss haimaanishi umeukimbia utumwa bali majukumu yako kiutumwa umeyapunguza.

Kwenda nyumba za ibada ili kuonekana wewe ni mcha mungu bado ni utumwa vile vile. Sasa we uutajiri lakini bado wafuata utaratibu ambao jamii umekuwekea na ndio uliokutengeneza wewe mpaka hapo ulipo..

Unapokuwa umezaliwa hapo ndipo naweza sema wewe sio mtumwa maana akili yako hapo inakuwa haijui chochote, wema wala ubaya, chuki wala upendo, shetani wala Mungu. Lakini siku zinavyokwenda mazingira yako na jamii yako ndio inaanza kukutengeneza wewe kuwa mtumwa, kwakukuaminisha bibi yako mchawi, mjomba, shangazi, binamu si watu wazuri, shetani ni mtu mbaya mwenye sura mbaya vilevile, kanisani au msikitini ni sehemu nzuri kama ukilelewa katika hayo mazingira.

Lakini jamii hiyo hiyo yakitumwa haikupi wewe choice yakufikiri kwa kile ulichokifundishwa, na ukienda kinyume na jamii yako yakitumwa waonekana muasi na hufai katika jamii au hayo mazingira..

Mbinu nzuri ya wewe kutokuwa mtumwa nin kujitambua.
 
We jamaa una akili sana.

Kweli ni ujinga unafanya kazi/biashara kitumwa ili uwe na watumwa na utembelee gari badala ya miguu.

Kumbe unakuja kuhamaki kuwa hata nature haikutaka uache kuwa mtumwa la sivyo unakosa afya unadhoofu unadanja!!

Sasa kwa nn tusiwe wajanja tufanye vitu kwa balansi tu ili tusiukimbie kabisa utumwa. Na tutumikie kwa kutaka wenyewe. Maana ikiwa hiyari haiwi tena utumwa. Hiyari yashinda utumwa hata kama kazi ni ugumu sawa. Ile kuwa na passion na kazi yako ndio itakuokoa.
Wengi hawana passion na kazi wanazofanya........ Elimu za kubet hizi baadae mtu anaingia kufanya kazi sababu ya njaa na sio passion
 
Jf mwenye akili mingi ni wewe haijalishi umesoma pahala ukabadilisha lugha ila hongera kwa kuboost watumwa wenzio
 
Binadamu ni watumwa, ila wanyama na ndege,samaki wapo huru, wanaishi maisha yao. Ndio maana wanyama, ndege na samaki hawana shule, na hawaajiliwi ila wanakula maisha kama kawa.

Asili ya dunia imemuandaa mwanadamu kuwa mtumwa wa kutekeleza malengo ya wale walio mtuma.

Uwezo wake wa akili,ndio kitu pekee kimetumika kumfanya au kumuumba awe mtumwa,ikisaidiwa na umbile la mwili wake. Binadamu lazima awe ni "productive" ili asili imuelewe na kumjali.

Mwanadamu asiye "productive' asili haimtaki atashambuliwa na wanadamu wenyewe na asili itamshambulia kwasababu sifa mojawapo ya mtumwa ni lazima uwe productive.

Na akisha kuwa productive huyu mtumwa kile alichozalisha kinakua sio chake kinabakia kua mali ya dunia...anapoondoka duniani haondoki na chochote.

Kanuni ya mtumwa ni lazima awe mtiifu na kutumikia amri alizopewa ili awe "productive",asipofata hizo kanuni au sheria asili na wanadamu wenzake watamwazibu.

Dunia ni jumba la utumwa haijalishi uwe mweupe au mweusi...Lazima utumike kuishi.

Waliojua ukweli wa hii "fact" mapema walianza kukimbia majukumu ya utumwa na kuwatuma wengine(biashara ya utumwa).

Na walipoona Biashara hiyo ya utumwa inasigina misingi ya asili basi wakaunda pesa, mashine, na viwanda.

Lengo ikiwa kufanya utumwa katika "softcated way"

ambapo wao wata-dedicate utumwa kwa binadamu wengine kwa kutumia mfumo wa ajira,katika hizo mashine au viwanda na kulipa waajiliwa au watumishi(watumwa)..mapato machache (CAPITALISM).

Usishangae watu wanang'ang'ania madaraka,au vyeo lengo kubwa ni kujinasua kwenye utumwa uliokithiri ili waweze kutuma.

Utumwa ndio unaoiendesha dunia, Ajira ni utumwa softcated. Kwakua mwili wa binadamu umeumbwa maalumu kama kifaa cha kazi,hawa ambao wamekimbia utumwa, huwalazimu wailipie ile process ya kutumika kiasili kwa namna nyingine.

Mfano kufanya mazoezi (maana ya mazoezi ni kubalance malipo ya wale wanasiofanya phyisical activity kwa kiwango cha kutosha).

Kama waasipo fanya mazoezi kulipia physical activities za kitumwa,miili yao itakua dhaifu na asili itawaondoa sababu itadetect kuwa huu mwili sio productive. So ku-cheat nature ndo maana wajanja wanafanya mazoezi.

Sababu lazima walipe ili kubalance equation!Binadamu natural ameumbwa kuwa mtumwa. Hivyo kilicho tuleta duniani ni utumwa, na anayetutuma sijui ni Viumbe gani.

Hivyo kupunguza adha ya utumwa tafuta uwezo wakutumia watu wakusaidie utumwa wako yaani kifupi kua boss au kiongozi ila kumbuka kufanya mazoezi.
Fact. Ila umesemea wanyama nimekuelewa lakini tambua Mbuzi agusi imaya ya Simba kila kitu na utawala wake. Wazungu kwanini wasibaki uzunguni na si afrika tukabaki Afrika.

Hiyo moja. Pili wanyama mmoja akikosea anadhibiwa kama mwanadamu mmoja akikosea anatakiwa kuadhibiwa ila sio kuuwawa. Afu mambo yanaenda sawa. Kwakuwa sisi tulitawaliwa ndo maana utumwa bado upo. Ila ukijitambua unaweza komboa watu wengine anza na familia yako.
 
Habari za wakati huu wanajukwaa.. UNATAMBUA kuwa wewe bado ni mtumwa ambaye uko huru.

Tunaambiwa tumepata huru mwaka 1961 huru tulipewa sio kwamba tulipigana na huru huu tulipewa kwa mkataba ndo maana bado tunazidi kuteseka na kunyanyasika.

Ninaposema bado sisi ni watumwa nieleweke kitu kimoja, huru ni kuwa huru na kuwa na mahamuzi mazuri yenye mlengo chanza, kushauri.
Kuwa na mahamuzi ya kifikra kujitawala kifkra lakini bado fikra zetu zimetawaliwa , zimetawaliwa na nani?

Hilo ndo swali amabalo unaweza niuliza afu nikakujibu (Bado tunaendelea kutumikia wazungu bila kujua sisi tumekuwa wakupokea kila kitu kinachokuja kwetu ni karibu) sio kila mgeni umkaribishe ndani mwingine akomee nje.

👤 Bungeni _ Kuna nembo ya malkia wa uingereza ^ inatafuta nini hiyo nembo kwenye bunge letu Tukufu?

👤 Uisalamu na Ukristo hizi dini mpaka sasa ndo chanzo cha ugomvi kila kukicha Duniani kwa Nchi ambazo ziko na dini hizi, na Tanzania ni miongoni Mwa Nchi hizo.

👤 Elimu/ Elimu unayopata bado inakutesa kila siku unaangaika (Unapojiona kwamba we huwezi kitu fulani usiseme we mjinga hapana hata huyo mzungu hawezi kitu fulani ambacho wewe unakiweza japo kwako unakiona kidogo...
...... .............. TECHNOLOGY......
Ni utumwa kwetu maana sisi teknology tulikuwa nayo ya kwetu. Maendeleo ndo yamekuja kuleta mambo ya ajabu duniani.... end de day vitu unaviacha ardhini na watu wanauana kuhusu hizo mali zako ulizozitafuta.

..... Tutajikomboa lini au mwisho wa kifo chako .... tumethamini vya kwao tumesahau vya kwetu na tunauawana kwa sababu yao.
Wametupandikiza mambo yao afu nasi tukajifanya wao ila hatuwezi kuwa wao. Tafakari chukua hatua.

........... Viongozi wa afrika wanaouawa au waliouwaw walikuwa na maono mapana sana mfano Gadhafi lakini kutokana Afrika tamaa na akili mgando wakaona mmh hapana wazungu wakachochea moto Gadhafi naye akauwawa.

..... Afrika mbioni kutawaliwa tena........
Maana hatuwezi kujitawala. TANZANIA TUPO NA SERIKALI YA MKATABA .

.... KUMALIZA TATIZO KWANZA TAMBUA CHANZO CHA TATIZO.
 
Back
Top Bottom