kibangubangu
JF-Expert Member
- Dec 10, 2018
- 212
- 285
Wakati mwingine nadhani ni vizuri au busara kuto alika waandishi wa habari katika matukio ya ndani,au nyeti...Ambayo yatahitaji weredi wa nini kirushwe au nini kisirushwe....
Uvivu wa baadhi ya waandishi wa habari kuhariri,kulingana na muktadha kunasababisha baadhi ya watu kutoa taarifa ambazo si salama
Tazama video hizi mbili harafu utajua..tofauti...
VIDEO YA RAIS TANZANIA YA IKULU MEDIA
Official president video
VIDEO YA RAIS TANZANIA PRIVATE MEDIA
Wakati mwingine hawa waandishi wa habari binafsi ni busara wasiwepo kwenye matukio yenye matukio ya wazi ya kiintelejensia.
Uvivu wa baadhi ya waandishi wa habari kuhariri,kulingana na muktadha kunasababisha baadhi ya watu kutoa taarifa ambazo si salama
Tazama video hizi mbili harafu utajua..tofauti...
VIDEO YA RAIS TANZANIA YA IKULU MEDIA
Official president video
VIDEO YA RAIS TANZANIA PRIVATE MEDIA
Wakati mwingine hawa waandishi wa habari binafsi ni busara wasiwepo kwenye matukio yenye matukio ya wazi ya kiintelejensia.