kibangubangu
JF-Expert Member
- Dec 10, 2018
- 212
- 285
Kiswahili ni lugha tamu sana, ila pale mtu anapoanza kuiharibu inatia hasira sana. Kwa mfano, pale watu wanaposema maneno yafuatayo:
"Abali yako we kaka"
"Wewe hujui dhamani ya moyo wangu ndo maana unanitesa"
"Nikiwa laisi nitaenda kukaa Ikuru"
"Hajila hazijatoka bado"
Hebu weka na wewe baadhi ya maneno yanayokukera na kukuongezea msongo wa mawazo.
Maoni yaliyotolewa na wadau:
"Abali yako we kaka"
"Wewe hujui dhamani ya moyo wangu ndo maana unanitesa"
"Nikiwa laisi nitaenda kukaa Ikuru"
"Hajila hazijatoka bado"
Hebu weka na wewe baadhi ya maneno yanayokukera na kukuongezea msongo wa mawazo.
Maoni yaliyotolewa na wadau:
kibangubangu, Yaani mimi nikishaona tu uandishi kama huu tu ghafla akili yangu huwa inam-undermine na kumchukulia kama mtu ambaye hakwenda shule au ambaye hajaelimika!! Hata kama umeandika content nzito kiasi gani.
Mfano unakuta mpaka maneno ya kingereza tu mtu anachanganya L & R
Mfano.:
Flash :utasikia frash (kweli kabisa )
Fresh :eti flesh
Ready: ledi. etc
Yaani hili ni janga la taifa
Mimi nahisi east africa nzima sisi wabongo ndo tunaongoza kwa kiswahili kibovu.
Bahati mbaya fani yangu sio ya ualimu tena yale masomo ya kuandika essay maana hata kama umeandika vizuri kiasi gani ila kuna makosa ya aina hiyo ni kukosesha tu maana hii ni kuuwa elimu
Huwezi kucompete kwenye somo la kiswahili kwa nchi ambazo wanahitaji kujifunza kwa mtindo huu, majirani zetu wataendelea kupata hiyo contract tu.