Kusema dunia itafika mwisho ni kama kusema Mungu kazi yake aliyoianzisha imemshinda

kibangubangu

JF-Expert Member
Dec 10, 2018
212
285
Kusema dunia itafika mwisho, ni kama kusema Mungu kazi yake aliyoianzisha imemshinda.

Ni sawa na kuanzisha biashara kisha ikakushinda na kufirisika.

Labda nyinyi binadamu,mnaojifikiria nyinyi tu, viumbe wabinafsi ndo mnaweza fika mwisho,ila inawezekana ndege wadudu na wanyama wakabakia, na dunia yao.

Eti DUNIA inafika MWISHO?

Kwahiyo inafika mwisho baada ya wewe kupata nafasi ya KUIONA?

Unaijua ilipo ANZIA hadi ujue inapo ISHIA?

UBINAFSI ni kutamani dunia ifike mwisho, baada ya wewe kuzaliwa.

Kabla yako kulikua na VIZAZI na baada yako kutakua na VIZAZI.

Biblia inasema miaka 1000 duniani ni sawa na siku moja mbinguni.

Kwa hesabu hizo inawezekana umeishi dakika moja tu duniani za Kimungu na kuona kama umeishiiii hadi kusema dunia imeisha.

Sasa fanya hivi malizia dakika zako, iache dunia kwa vizazi vijavyo acha ubinafsi na uoga wa kufa emoji23]

Sasa ni hivi fahamu kesho kuna dunia nzuri zaidi zaidi ya ile jana,zaidi ya ile yako.

Kuna miundombinu na sayansi bora zaidi.

Dunia ya kesho ni nzuri yenye utendaji ulioboreshwa.

Magonjwa yatapata tiba, umri wa kuishi utaongezeka.

Watu watapaaa kwa vyombo mbalimbali bila kutembea ,watu watajua vitu kwa kujazwa fahamu kisayansi bila mateso ya kwenda kukalili mashule watapata kila wanachotaka kwa ku-download kupitia sayansi na tekinolojia.

Pole kwa wewe unaye iacha dunia hivi karibuni
 
Eti DUNIA inafika MWISHO?
It seems to me that the creation 'is doing much better than what a creator must have thought'! When Mercedec Benz created their trucks, they thought that these trucks could live btn ten to twenty years. But majority of these trucks lived beyond 30 yrs.

This is similar to the Universe.

By now 'according to the creator's manual' the World must have come to an end but beyond any ones expectations the word is still in 'a much greater shape' which can take it to the next 200 years to 500 years.
So I think the end is still far from near.
 
It seems to me that the creation 'is doing much better than what a creator must have thought'! When Mercedec Benz created their trucks, they thought that these trucks could live btn ten to twenty years. But majority of these trucks lived beyond 30 yrs.

This is similar to the Universe.

By now 'according to the creator's manual' the World must have come to an end but beyond any ones expectations the word is still in 'a much greater shape' which can take it to the next 200 years to 500 years.
So I think the end is still far from near.
It might be doing better,So do we assume that God presponded its termination?!

And why should it become to an end?

Why we want to end,end and ending things
 
Because the creator has already created a new heaven and a new earth which is designated to replace the existing ones...
... Heaven the promised better place.....

That is why some people wish to rush and wish everything in this world to come at end..... just for the promised place.
 
It seems to me that the creation 'is doing much better than what a creator must have thought'! When Mercedec Benz created their trucks, they thought that these trucks could live btn ten to twenty years. But majority of these trucks lived beyond 30 yrs.
This is similar to the Universe.
By now 'according to the creator's manual' the World must have come to an end but beyond any ones expectations the word is still in 'a much greater shape' which can take it to the next 200 years to 500 years.
So I think the end is still far from near.
There is no end
 
So maelezo yote haya source ni Biblia?..
Source ni kauli za kibinafsi za binadamu waliobahatika kuiona dunia.

Binadamu ambao ni matokeo ya mbegu milioni 200 zilizotolewa na wazazi wao..yeye akawa 1 out of that 200m

Kugeuka kua kiumbe...

Na akaja kusema Dunia inafika mwisho...
 
Eti DUNIA inafika MWISHO...???!!!!

Kwahiyo inafika mwisho baada ya wewe kupata nafasi ya KUIONA??

Unaijua ilipo ANZIA?...hadi ujue inapo ISHIA??

UBINAFSI ni kutamani dunia ifike mwisho,baada ya wewe kuzaliwa...

Kabla yako kulikua na VIZAZI na baada yako kutakua na VIZAZI..!!!

Biblia inasema miaka 1000 duniani ni sawa na siku moja mbinguni..

Kwa hesabu hizo inawezekana umeishi dakika moja tu duniani za Kimungu na kuona kama umeishiiii hadi kusema dunia imeisha...

Sasa fanya hivi malizia dakika zako...iache dunia kwa vizazi vijavyo acha ubinafsi...na uoga wa kufa...
Tomorrow will never come.
 
Back
Top Bottom