Rejea kichwa Cha habari hapo juu Kuna Dem nimemfukuzia kama mwezi Moja hivi ila alichonijibu et Mimi Nina pigo za kichungaji
Kiukweli Mimi sio mchungaji wala Nini ila sijajua kajifikiria nini kunitamkia hivyo halafu mimi mbona mtu fulani simple tu
Kiukweli kanikata mzuka kabisa hapa nawaza ni...
Rejea headline hapo juu,
Kulingana na mechi iliyochezwa leo pale uhuru Simba vs Kagera Sugar kuna namna imefanyika hata ukiangalia wachezaji wa Kagera wanavocheza kama vile wamepewa vyanzo vya kuzidi ili wacheze tu ilimradi kuwa vutia mashabiki wa Simba kwenye mech ijayo dhid ya Wydad wawepo...
Moja kwa Moja kwenye mada rejea headline hapo juu.
Kuna raia wanaweka pesa ndani kiwe kiasi kikubwa au kidogo inabidi serikali itengeneze kifungu cha kuweza kuwa bana hawa watu kwasababu wanapunguza mzunguko wa fedha mitaani.
Ndiyo maana hali inaonekana kuwa ngumu kitaani, tukirejea pale...
Habari wakuu, natumai mpo gudi, rejea kichwa cha habari hapo juu,
Kuna muvi fulani hivi kwa ambae anaweza kuijua hata jina yenye pia ina maudhui ya mauaji ya kimbari pale Rwanda iko hivi;
Kuna mwandishi wa habari inatokea sijui ni ufaransa inaingia pale Rwanda kipindi hicho vuguvugu la vita...
Habarini wakubwa kwa dogo, poleni kwa miahangaiko ya usiku na mchana rejea head hapo juu kitaa huwa hawakosekani mademu kama hao unakuta jamaa wanakwambia unamchek huyo demu maji kijiko kimoja tu.
Hapo Abdalah wa kwa mzee mataluma kapita hapo akina juma chogo kashakula hapo Rashid chaung'aga...
Napata shida sana kwenye kupakua movie kwenye website ya www.netnaija.com, yaani unaanza vizuri tu lakini ukishafika kwenye sehemu ya kupakua muvi na subtitle ukishapress tu ili ikupeleke kwenye file la subshare inakuwa kinyume chake wanakupeleka kwenye mabeting mara mdundo na ma ads mengine ya...
Mu hali gani wadau poleni na mchakato mzima wa DPW pamoja na TEC. Rejea kichwa cha habari hapo juu nataman sana kuzipata hizo tamthilia nimejaribu kuzitafta youtube na platform mbali mbali lakin siku hambulia chochote TASWIRA NGURUMO RADI SUNAMI dah kitambo sana nadhan miaka ya 2005 hivi,mwenye...
Habari mabibi na mabwana yu heri wa afya natumai hivo,
Kwenye yanga sc na USM Alger( A.K.A KWENYE 1- NA- 2) kulingana na uchumi wangu ulivyo uki compare na gharama za madem wa siku hizi bila pesa huwezi kumiliki demu nikaona isiwe kesi kwangu niliamua kujicode mitaa fulani kwenda kupunguza...
Msinichoshe wala nisiwachoshe, rejea kichwa cha habari hapo juu kuhusu hizi redio kubwa hapa Tanzania kuanzisha michezo ya kubahati ya kimkakati, nime 'experience' kwa redio zifutazo;
Clouds wana #mchongo pesa
Wasafi wana #chota mahela
East africa wana #peseka
Radio free wana #bustika minoti...
Rejea kichwa cha habari hapo juu, Rais alitoa takwimu siku mbili tatu zilizopita ya kwamba asilimia kubwa ya jinsia ke wapo wengi sana kuzidi sisi jentromen. Ukizingatia uchumi ulivyo, hivo basi wanaume tupaswa kudhibit matumizi ya pesa.
Nikiwa mitaa ya hapa mjini kati karibu na stendi kubwa halimashauri ya mji kahama mara namuona mtu aliyebeba mabango akipita mbele yangu huku akiwa mengine ameyakilia nilivomtazama zaidi niligundua ni nabii tito ,hivi huyu mtu ajapona tu au kuna watu wapo nyuma yake.
Pia amewezaje kufika huku...
HABARI WAKUU, Rejea kichwa cha habari hapo juu moja kwa moja kwenye moja nambili nikwamba tv yangu haichukui picha kupitia AV1 NA AV2 lakn ukichomeka kupitia mfumo huu wa (y cb cr) inaonesha lakn inakuwa haina rangi,, tatizo ni nini hapo wakuu?
Rejea kichwa cha habari hapo juu,hili tatizo la kuishiwa damu lilinianza 2017 mwanzon kabisa hilivofika mwez wa sita hali ikawa mbaya sana nikaenda hospital nikapimwa wingi wa damu na vipimo vilionesha damu ipo g/dl 2.1 nikapew kitanda nikaongezewa damu nyingine nilikaa kam siku tatu...
Wadau habari za mchana,,mimi sina maneno mengi sana zaidi nataka kufaham matumizi ya black list kwenye simu.. Kuna jamaa yangu anadai kuwa ananitumia text lakini mimi sizioni yeye anasema ujumbe unapokelewa lakini kwangu sioni meseji yoyote ile anasema hilo tatizo linaonekana kwenye namba yangu...
wadau kama kichwa cha habari nilivokianisha hapo juu yaan nasumbuliwa na macho..nikiangalia kwenye kioo naona kama vile mtoto wa jicho upande wa uweupe pia kunakuwa kama vile mchanga na uhisi kwenye macho vile vile tongo tongo baada ya mda fulan pia jicho moja la kulia siona mbali tafadhal...
Hilo nimelishuhudia hapa kahama mkoan shinyanga yaan neno mwanza nalisikia kila siku au mara kwa mara hapa kahama..utafiti unavoonyesha watu wa huku wanataman sana kwenda kwenye hilo jiji la raha sema tu wengi wao hawana ndugu...
Nawasilisha.
Rejea kichwa cha habari hapo juu,,natafuta mke wa kuoa..mm nina miaka 40,,mke mtarajiwa awe na miaka kuanzia 20 had 35,awe kipotabo kidogo awae na kamzigo kidogo awe maji ya kunde mnakaribishwa..
Wakuu hivi yule Godwin Gondwe Mkuu wa Wilaya ya Handeni alikuwa pedeshee hapo nyuma kabla ya kuwa DC? Nimemskia kwenye kibao cha Papii Kocha na Mzee Viking kiitwacho Seya.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.