Reptilia
JF-Expert Member
- Feb 21, 2018
- 822
- 787
Napata shida sana kwenye kupakua movie kwenye website ya www.netnaija.com, yaani unaanza vizuri tu lakini ukishafika kwenye sehemu ya kupakua muvi na subtitle ukishapress tu ili ikupeleke kwenye file la subshare inakuwa kinyume chake wanakupeleka kwenye mabeting mara mdundo na ma ads mengine ya hovyo. Lakini kipindi fulani nilikuwa napakuwa fresh tu. Sijajua tatizo nini?