Reptilia
JF-Expert Member
- Feb 21, 2018
- 822
- 787
Rejea headline hapo juu,
Kulingana na mechi iliyochezwa leo pale uhuru Simba vs Kagera Sugar kuna namna imefanyika hata ukiangalia wachezaji wa Kagera wanavocheza kama vile wamepewa vyanzo vya kuzidi ili wacheze tu ilimradi kuwa vutia mashabiki wa Simba kwenye mech ijayo dhid ya Wydad wawepo kwa wingi ya magoli mepesi sana hasa yale mawili ya mwisho.
Mabeki hata hawaruki kabisa, hata lile la Bocco ni goli la mchongo kabisa, hakuna wachezaji pale simba wanacheza kimiemko sana.
Kulingana na mechi iliyochezwa leo pale uhuru Simba vs Kagera Sugar kuna namna imefanyika hata ukiangalia wachezaji wa Kagera wanavocheza kama vile wamepewa vyanzo vya kuzidi ili wacheze tu ilimradi kuwa vutia mashabiki wa Simba kwenye mech ijayo dhid ya Wydad wawepo kwa wingi ya magoli mepesi sana hasa yale mawili ya mwisho.
Mabeki hata hawaruki kabisa, hata lile la Bocco ni goli la mchongo kabisa, hakuna wachezaji pale simba wanacheza kimiemko sana.