Taarifa hii nimeipata 6 Days ago
Mashahidi wanarudishwa katika makaburi yao baada ya kufukuliwa na Mazayuni na kuiba viungo vyao.
Huu ni unyama na ukatili wa hali ya juu kwa Wapalestina.
Nsoji go Nvaa , Njoo huku uone unaowaunga mkono.
Mods, nitawashangaa sana mkiufuta ama kuuhamisha uzi huu.
Tafsiri👇
*Wakati wa mahubiri/Khutbah ya jana ijumaa,
5/1/24 kutoka ndani ya vituo vya makazi vilivyozingirwa na karibu na maeneo ya mapigano huko Jabalia, Kaskazini mwa Gaza*Wakati wa shughuli ya Kutoa misaada ya Jumuiya ya Wahisani ya Al-Falah ndani ya vituo vya makazi na chini ya uangalizi wa...
Mnorway Asilimu.....Baada ya kutoa Shahada amelia machozi kwa hisia za kiiman.....Allah ampe Istiqama yeye na sisi pamoja.
Katika Surat An-Nasr (The Help)
بِسْمِ اللَّهِ الرَّحْمَٰنِ الرَّحِيمِ إِذَا جَاءَ نَصْرُ اللَّهِ وَالْفَتْحُ
An-Nasr 1
Itakapo kuja nusura ya Mwenyezi Mungu na ushindi...
Algeria prevents a US aircraft carrying weapons to israel from flying over their space
Kwa msaada wa google:
Algeria yazuia ndege ya Marekani iliyobeba silaha kuelekea israel kuruka juu ya anga yao.
Safi sana الجزاير/Algeria💪🏽❤1🇩🇿
Waziri Mkuu wa zamani wa Israel Ehud Olmert: Lazima vita isitishwe mara moja huko Gaza na kumuondoa Netanyahu madarakani kwa haraka iwezekanavyo.
Source: Al-Jazeera
Poleni sana Ndugu zetu waislamu kwa mitihani mnayopitia dhidi ya wazayuni laanatullah alayhim
Wamewakaribisha na kuwapokea kwa wema, ila end of the day kilichowakuta sub haanallah, kama mnavyoona clip hii👇
وَلَنْ تَرْضَىٰ عَنْكَ الْيَهُودُ وَلَا النَّصَارَىٰ حَتَّىٰ تَتَّبِعَ مِلَّتَهُمْ ۗ...
Kwa hiki kinachoendelea kwa Wazayuni laanatullah alayhim dhidi ya ndugu zetu Palestina, je! Nitaachaje kuungana na Freedom Fighters/Hamas na kuwauwa hao makafiri wa kizayuni! Nitaachaje kupigania uhuru wa nchi yangu dhidi ya makafiri hao!!
Ewe Mwenyezi Mungu, wanusuru hawa ndugu zetu wa...
Nilikuwa nacheki bongo movie mchana wa leo kupitia azam 😁 dah ni fedheha sana, ni aibu mno, mimi ni mfuatiliaji mzuri sana wa ERTUGRUL na kwa sasa OSMAN, kwakweli waturuki wapo mbali sana, hii historia ya Ottoman inatufundisha mambo mengi sana ambayo huyakuti katika movie zetu za kibongo wala...
Allah awajaalie na awakinge ndugu zetu wapalestina dhidi ya hao madhaalimu wakubwa.
Ushindi upo karibu sana, Allah muweza afanikishe, awape subra na awapumzishe mashaahidi wote pema peponi.. Aamiin!
Naomba muyasikilize maneno haya ya huyu mtoto wa kipaletina, Maneno ya uchungu na yenye kutia...
Nimetranslate kama ilivyo, kama itakua wrong mtanisahihisha.
Msichana mdogo kutoka "State of Tiarat" Ya Algeria huvutia watu kupitia mitandao ya kijamii, kwa sababu ya uzuri wa sifa zake za kipekee, macho yanayong'aa na nywele zake ndefu nyeupe nyeupe, kana kwamba ni mhusika wa hadithi za...
Kwenu Azam tv, azam two!
Kiuchache tu nisiwachoshe wadau wenzangu na wafuatiliaji wa Osman/Ottoman Empire, inayofuatiliwa na watu wengi.
Ombi langu kwenu Azam tv/Azam two, tunaomba tamthilia/Historia hii ya Osman, muongeze muda wa ziada, atleast li-saa li-moja na dakika thelathini (1.30hr)...
Kwema wananzengo?
Anaejua zinapopatikana hizi sabuni anielekeze, naomba na bei yake kwa jumla, ndogo na kubwa tafadhali. Sitaki rejareja!
Asanteni
Usiku mwema!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.