Abu Ubaidah Commando
JF-Expert Member
- Sep 8, 2016
- 7,593
- 6,932
Allah awajaalie na awakinge ndugu zetu wapalestina dhidi ya hao madhaalimu wakubwa.
Ushindi upo karibu sana, Allah muweza afanikishe, awape subra na awapumzishe mashaahidi wote pema peponi.. Aamiin!
Naomba muyasikilize maneno haya ya huyu mtoto wa kipaletina, Maneno ya uchungu na yenye kutia nguvu, hakika kwa kila zito upo wepesi, na ahadi ya Allah ni yenye kutimia, Allah awatie nguvu waislamu wote wa Palestina tupo nyuma yao kwa dua na sala inshaaAllah
Sheikh rashidi shukery kutoka OMANI, Allaah akupe heri nyingi kwa kuwakumbuka ndugu zetu wapalestina.
Hivyo tuendelee kuwaombea dua ndugu zetu wapalestina kwa mitihani wanayopitia.
Ushindi upo karibu sana, Allah muweza afanikishe, awape subra na awapumzishe mashaahidi wote pema peponi.. Aamiin!
Naomba muyasikilize maneno haya ya huyu mtoto wa kipaletina, Maneno ya uchungu na yenye kutia nguvu, hakika kwa kila zito upo wepesi, na ahadi ya Allah ni yenye kutimia, Allah awatie nguvu waislamu wote wa Palestina tupo nyuma yao kwa dua na sala inshaaAllah
Sheikh rashidi shukery kutoka OMANI, Allaah akupe heri nyingi kwa kuwakumbuka ndugu zetu wapalestina.
Hivyo tuendelee kuwaombea dua ndugu zetu wapalestina kwa mitihani wanayopitia.