Abu Ubaidah Commando
JF-Expert Member
- Sep 8, 2016
- 7,593
- 6,934
Taarifa hii nimeipata 6 Days ago
Mashahidi wanarudishwa katika makaburi yao baada ya kufukuliwa na Mazayuni na kuiba viungo vyao.
Huu ni unyama na ukatili wa hali ya juu kwa Wapalestina.
Nsoji go Nvaa , Njoo huku uone unaowaunga mkono.
Mods, nitawashangaa sana mkiufuta ama kuuhamisha uzi huu.