Abu Ubaidah Commando
JF-Expert Member
- Sep 8, 2016
- 7,593
- 6,934
Mwanajeshi wa Israel Avihai Levy akiwa kwenye Knesset: "Ninaogopa, ninajikojolea usiku na siwezi kulala kutokana na kile nilichokiona huko Gaza"
Magaidi dawa yao shaba tu hakuna kuogopa mwana wa DAUDI. Acha kujilegeza Wakikukamata kwenye anga zao utajinyea kabisa soja ,
Merry Christmas 🌲🎄🌲
Hajasema kile alichoona na sisi tukajifunza.View attachment 2852358
Mwanajeshi wa Israel Avihai Levy akiwa kwenye Knesset: "Ninaogopa, ninajikojolea usiku na siwezi kulala kutokana na kile nilichokiona huko Gaza"
Binadamu waliopo Gaza wanateseka,wanaishi kama wanyama.Kaficha ukweli huyu hata nnya ilimtoka na hvyo walivyokua wanaoana huko ndio kabisaaaaa
Hamas piga hao magaidi
Upo nje ya mada, mayahudi wenyewe mnaowashobokea hawatambui Christmas
Hakujawahi kua na uhuru unaokuja kwa urahisi rahisiBinadamu waliopo Gaza wanateseka,wanaishi kama wanyama.
Hamas hawakujua Gharama itakayowakumba wao na Raia wao wanaowateteaa
Unadhani huyo fala akikuona wewe mtu mweusi atajali hata kukuangalia mara mbili zaidi ya kukuita nyani?Magaidi dawa yao shaba tu hakuna kuogopa mwana wa DAUDI. Acha kujilegeza Wakikukamata kwenye anga zao utajinyea kabisa soja ,
Majeshi ya mayahudi wanadunguliwa na wanaowaita wao majiniMagaidi dawa yao shaba tu hakuna kuogopa mwana wa DAUDI. Acha kujilegeza Wakikukamata kwenye anga zao utajinyea kabisa soja ,
Tupe statistic tufanye comparisonMajeshi ya mayahudi wanadunguliwa na wanaowaita wao majini
MKuu naona kimya mpaka sasa!Hakujawahi kua na uhuru unaokuja kwa urahisi rahisi
Labda upewe uhuru wa bendera tu kama taifa fulani pale afrika mashariki
Kupambania uhuru huambatana na gharama kubwa sana
Unadhani ukraine kinachowakumba nini ila kwanini wanaendelea kufa
Sababu wanajua kuupigania uhuru sio jambo jepesi
Allah atawapa afuan kwa yooote wanayoyapitia
Unadhani huyo fala akikuona wewe mtu mweusi atajali hata kukuangalia mara mbili zaidi ya kukuita nyani?
Acheni kushobokea watu wanaowadharau, pumbavv kabisa. Hakuna mpalestina wala muisraeli, wote wapuuzi tu.
Tupe statistic tufanye comparison
Vita ni vita MURA …mmemuua ndugu yetu akitoka shambani na baiskeli leo mnalalamika innocent peopleComparison ya wanajeshi na watoto/innocent people sio!