sabuni

Nyamko Ana Sabuni (born 31 March 1969) is a Swedish politician who has been Leader of the Liberals since June 2019. She previously served as Minister for Integration from 2006 to 2010 and as Minister for Gender Equality from 2006 to 2013 in the Swedish government. A member of the Liberal Party, Sabuni was elected a Member of Parliament in 2002. Sabuni made history in June 2019 by becoming the first party leader in the Swedish parliament coming from an ethnic minority and the first party leader of a refugee background.

View More On Wikipedia.org
  1. G

    Ikitokea upo gerezani bafuni unaoga na wafungwa wenzako, sabuni ikakudondoka, achana nayo usiiokote

    Ikitokea umefungwa, upo gerezani bafuni unaoga na wafungwa wenzako, bahati mbaya sabuni ikakudondoka, Achana nayo usiiokote. Utakuja kunishukuru baadae.
  2. N

    Tuwe makini; kuna sabuni zinapoteza nguvu za kiume!!

    Hizi sabuni zenye mapichamapicha ya kama miungu ya kihindi hivi na harufu kali kuwa nazo makini, yalinikuta. Kwa usalama wa afya ya kujamiiana, ogea mbunju, magadi, komesha n.k Kwa wale waliozoea ubishi basi sawa endeleeni.
  3. bigmen

    Mchezo wa sabuni unanitafuna taratibu, naomba msaada niache

    Nikiwa na miaka 16 niliwahi mshuhudia jamaa yangu fulani akifanya punyeto (Masturbation) akanifundisha jinsi ya kufanya, nilipofanya mwishoni nilisikia raha moja ya ajabu sana, siku iliofuata muda ule ule usiku nikiwa peke yangu nikafanya tena na ndo ikawa mchezo wangu. Baadaye nikiwa shule...
  4. R

    Niko na ujuzi wa kutengeneza sabuni

    Niko na ujuzi wa kutengeneza sabuni Aina tatu nazo ni sabuni za miche, sabuni za maji, sabuni za unga, pamoja na mufata ya mgando na lotion tofauti tofauti. Ila mpaka sasa nimebaki na ujuzi mtaji sina hivyo naomba kwa mwenye kuvutiwa na hili njoo tufanye biashara
  5. Melki the Storyteller

    Wapi nitapata malighafi za kutengenezea sabuni ya maji jijini Dar es salaam?

    Habari wana JF, nataka kumfungulia mwanangu duka la kuuza sabuni za maji. Tayari ameshapata knowledge on how to prepare it kupitia Social Media. Kilichobaki ni mahali pa kupatia malighafi za utengenezaji kama vile: (a) Sulfonic Acid (b) Slesi (c) Soda ash (d) Alca 2 ____________________H2O (e)...
  6. Intelligent businessman

    Kiwanda cha sabuni vs kiwanda cha maji

    Habari Wakuu ningefurahi Kama nitapata mchanganuo was biashara hizi mbili. 👉Kuanzia Gharama za uanzishaji, utekelezaji wa viwanda hivi. Najua vyote ni Bora, ila utofauti lazima uwepo?l!!. 👉Kwa maeneo Kama mwanza au shinyanga ita faa zaidi???. 02, una mshauri mtu kipi Bora?
  7. Heparin

    Ndimile Kilatu: Malighafi ya kutengenezea Sabuni ndiyo chanzo cha Kusambaa kwa Mapovu Morogoro

    Ofisa Afya Manispaa ya Morogoro, Ndimile Kilatu amesema maofisa wa idara hiyo walifika eneo la Tubuyu B, Morogoro kufutilia chanzo cha mapovu katika korongo linalopitisha maji wakati wa mua na kuyapeleka Mto Ngerengere na kubaini ni malighafi ya kutengenezea sababu, iliyomwagika Januari 17...
  8. J

    Fanya yafuatayo kulinda afya ya uke

    Usafi wa uke ni jambo muhimu sana kwa afya ya wanawake. Mambo usiyostahili na unayostahili kufanya ili kutunza afya ya uke Usiingize kidole ndani ya uke kwa lengo la kujisafisha hiyo huondoa asidi ya asili ya uke ambayo ni muhimu kwa sababu huzuia bakteria kukua. Aidha usitumie sabuni kuosha...
  9. Teknocrat

    Mwanafunzi wa 14 kutoka Ethiopia ashinda Tuzo: Sabuni ya Kinga Ya Saratani ya Ngozi

    Mwanafunzi wa miaka 14 mwenye asili ya Ethiopia anayeishi USA, ameshinda tuzo na kuwagaragaza wana sayansi wengi wa vyuo vikuu nchini Marekani kwa kuvumbua sabuni yenye gharam ya senti 0.50 inayoweza kuzuia ugonjwa wa saratani ya ngozi...
  10. Kyambamasimbi

    Namtafuta Mtangazaji Glory Robinson a.k.a Mtoto wa Mama Sabuni

    Kuna mtangazaji Nguli, mwanadada Glory Robinson wa kipindi Cha Showtime wakiwa na kidebway na Bonanza sehemu ya pili sijui alipoteleaga wapi tangu alivyokuwaga RFA. Sijawahi isikia sauti yake sijui Yuko waapi, anayejua alipo...... Pls anijuze.
  11. Jemima Mrembo

    Tajirika na sabuni za Kigoma

    Caustic Soda kilo 3, Mafuta ya mawese lita 20, Sodium Silket, Maji lita 10, Rangi ya bluu 100gram. Jinsi ya kutengeneza hatua kwa hatua 1)-Chukuwa caustic soda changanya na maji na uanze kukoroga kuelekea upande mmoja endelea kufanya hivyo hadi vichanganyikane vizuri baada ya hapo iache kwa...
  12. man B'

    Msaada wa kupata mafuta ya kutengeneza sabuni za miche kwabgharama nafuu

    Wakuu kichwa habari kinasomeka, nimeamua kujikwamua kwa kuanza kutengeza sabuni za miche, changamoto kuu nayoipitia ni upatikanaji kwa malighafii hii kwa gharama kubwa hasa ya mafuta. Kiasi kwamba faida nashindwa kuipata kabisa. Msaada kwa yeyote mwenye kufahamu wapi naweza kupata mafuta haya...
  13. Dr. Zaganza

    Business Partner Anahitajika Katika Upanuzi wa uzalishaji Sabuni za ngozi na Mafuta Ya Nywele

    NATURAL SKIN SOLUTION IMANI YETU Tunaamini kazi kubwa ya msimamizi wa biashara (CEO) ni kuunganisha sera, mipango , rasilimali pamoja na miundombinu kuhakikisha biashara inapata faida kubwa kwa kadri inavyowezekana Katika kufikia lengo hili , CEO atajikita kufanya maamuzi ya aina mbili; Moja...
  14. S

    Tukiacha kuficha sabuni kwenye maji tutalinda maadili yetu

    Na Gordon Kalulunga Watu wa Nyikani wanatuonya kuwa hatupaswi kuficha Sabuni kwenye Maji maana itayeyuka. Na anayeshangaa kutokuta Sabuni ndani ya Maji bali kuona povu wakati yeye aliificha hiyo Sabuni kwenye Maji nasi tunamshangaa. Katika suala la mmomonyoko wa maadili serikali ilificha...
  15. S

    Tukiacha kuficha sabuni kwenye maji, tutalinda maadili yetu

    Na Gordon Kalulunga Watu wa Nyikani wanatuonya kuwa hatupaswi kuficha Sabuni kwenye Maji maana itayeyuka. Na anayeshangaa kutokuta Sabuni ndani ya Maji bali kuona povu wakati yeye aliificha hiyo Sabuni kwenye Maji nasi tunamshangaa. Katika suala la mmomonyoko wa maadili serikali ilificha...
  16. Njegele

    Utengenezaji wa sabuni za mche

    Naomba mnisaidie nawezaje kupata faida kwenye utengenezaji wa sabuni ya mche,nizingatie vitu gani?
  17. E

    Materials za kutengeneza Box za Sabuni

    Habari wana jamii forum. Naomba kupata msaada wa Mawasiliano ya mtu au kiwanda / agent yeyote anayeusika na utengenezaji wa materials za Box kama za kutengeneza cattons za sabuni ya mche. Mfano wa Box. Asante
  18. Boss la DP World

    Watu wengi waliotumia sabuni hii wana kesi ya kujibu siku ya kiama

    Asilimia 97 ya walio tumia sabuni hii wana kesi ya kujibu siku ya hukumu, nawakumbusha kutubu ile dhambi waliyo itenda. Kama hujaelewa basi.
  19. BigTall

    Askari Wanawake Mbeya watoa zawadi ya taulo za kike, sabuni na vifaa vingine kwa Wanafunzi wa Shule za Sekondari na Msingi

    Mwenyekiti wa Mtandao wa Askari Polisi Wanawake Mkoa wa Mbeya ambaye pia ni Afisa Mnadhimu namba moja Mkoa wa Mbeya ACP Christina Musyani, Machi 06, 2023 amewaongoza Askari Polisi Wanawake Mkoa wa Mbeya kuwatembelea na kutoa zawadi kwa Wanafunzi wa Shule za Sekondari na Msingi zilizopo katika...
  20. Ngamba

    Material ya Sabuni Msaada

    Salaam Naomba Msaada wapi naweza para vifaa vifuatavyo napayikana mwanza. 1. Sodium laural Ether Sulphate(Ungarol) 2. Linear alky benzene sulphonic acid, 3. Coconut diethsnoline (C.D.E) 4. Sodium tripolyphosphate(S.T.P.P) 5. Caustic soda 6. Sodium benzoate 7. PerFumes...
Back
Top Bottom