Abu Ubaidah Commando
JF-Expert Member
- Sep 8, 2016
- 7,593
- 6,932
Udini ukianza hakuna kitakachoenda sawa, tusubiri damu kumwagika na vikundi vya kigaidi
Taja kikundi cha kigaidi ambacho sio cha waislamVikundi vya kigaidi haviletwi na waislamu
Unamaanisha nini ... kwani mbona miaka yote mmekuwa mkisherehekea mwaka wa kikristo bila sisi kusema chochote?Udini ukianza hakuna kitakachoenda sawa, tusubiri damu kumwagika na vikundi vya kigaidi
Udini ukianza hakuna kitakachoenda sawa, tusubiri damu kumwagika na vikundi vya kigaidi
Kwa hiyo Zanzibar tutakuwa na siku zetu za mapumziko ya sikukuu tofauti na Tanzania bara!
Vipi kuhusu watumishi wa umma wanaohudumu maeneo ya Zanzibar katika mambo ya muungano kama (Polisi, wanajeshi, uhamiaji nk) hao katika hizo sikukuu watakaa nyumbani au watakwenda kazini?
Tupe aya au Hadith inayosema kuwa Mwaka mpya wa Kiislam unapaswa kuwa mapumziko.
Taja kikundi cha kigaidi ambacho sio cha waislam
Klu Klux Klan(KKK) hii ndio nembo yaoTaja kikundi cha kigaidi ambacho sio cha waislam
Hakuna na ndio maana wapo baadhi wanapinga kuadhimisha hii siku kwa kusherekea kwa kuona kufanya hivyo za kitwaghuut.Tupe aya au Hadith inayosema kuwa Mwaka mpya wa Kiislam unapaswa kuwa mapumziko.
Usikute mmeona Manaswara wanapumzika ule mwaka wao na nyie mkaiga ili muwe sawa.