Zanzibar yaridhia mwaka mpya wa kiislamu kuwa siku ya kitaifa

Abu Ubaidah Commando

JF-Expert Member
Sep 8, 2016
7,593
6,932
Screenshot_20220806-165742_Instagram.jpg
 
Kwa hiyo Zanzibar tutakuwa na siku zetu za mapumziko ya sikukuu tofauti na Tanzania bara!

Vipi kuhusu watumishi wa umma wanaohudumu maeneo ya Zanzibar katika mambo ya muungano kama (Polisi, wanajeshi, uhamiaji nk) hao katika hizo sikukuu watakaa nyumbani au watakwenda kazini?
 
Back
Top Bottom