Kamanda Asiyechoka
JF-Expert Member
- Sep 13, 2020
- 3,166
- 4,581
Wananchi wana hasira mitaaani,maana maisha ni magumu
Kuna waliofukuzwa kwa vyeti feki,ila waliitumikia serikali
Kuna wale ambao biashara zao zimekufa na wamefunga mitaji imekata baada mdororo wa uchumi aliuleta JPM.
Kuna wale ambao kila kukicha polisi wanawamata na kuwabambikizia kesi,huku JPM na Simbachawene hawachukui hatua.
Acha waliobomolewa nyumba zao.
Wote hawa wanaenda kupiga kura za hasira na kama uchaguzi,utakuwa huru na haki tutegemee matokeo ambayo wakata miuno wa Tot watashangaa.
Kuna waliofukuzwa kwa vyeti feki,ila waliitumikia serikali
Kuna wale ambao biashara zao zimekufa na wamefunga mitaji imekata baada mdororo wa uchumi aliuleta JPM.
Kuna wale ambao kila kukicha polisi wanawamata na kuwabambikizia kesi,huku JPM na Simbachawene hawachukui hatua.
Acha waliobomolewa nyumba zao.
Wote hawa wanaenda kupiga kura za hasira na kama uchaguzi,utakuwa huru na haki tutegemee matokeo ambayo wakata miuno wa Tot watashangaa.