kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 12,298
- 12,600
Makata kudai ambulance kuwepo uwanjani ni suala la kikanuni na Ambulance haikuwepo uwanjani bila kujali kuwa ilikwenda wapi kufanya nini. Ambulance ni gari maalumu lenye miundombinu inayoweza kuokoa maisha ya mgonjwa mwenye afya mbaya wakati anakimbizwa kuwahi matibabu kamili ya hospitali.
Sio kila Prado inaweza ku-replace uwepo na umuhimu wa ambulance.
Kama kanuni inataja Ambulance na Ambulance haikuwepo basi kumfungia kocha kwa miaka 5 na kumpa pointi 3 mpinzani ambae hakuleta Ambulance uwanjani sio sawa.
Kama kanuni inasema Ambulance isipokuwepo uwanjani baada ya 15 minutes kupita ofisa anaahirisha mechi lakini yeye hakufanya hivyo, mechi hii sio sawa. Tayari kosa la kukosekana kwa ambulance limetendeka lakini, badala yake ofisa akapiga ramli kuwa Ambulance itarudi ilikokwenda, hivyo mechi iendelee kuchezwa nayo sio sawa, maana mchezaji angeweza kuumia uwanjani hata dakika ya 2 TU baada ya mchezo kuanza wakati Ambulance haijarudi ilikokwenda.
Kumuadhibu Makata kwa kutumia kanuni ya dk 30 badala ya ile ya dk 15 ni sawa na polisi kusubiri mhalifu atende kosa la pili ili amkamate.
Haki ingekuwa kuwaambia Namungo walete Ambulance on time bila kisingizio chochote maana tarehe na muda wa mechi ulifahamika mapema na uhaba na matumizi ya ambulance Yao wanaufahamu wao sio Mbwana na mbeya Kwanza.
Mwaka mmoja ungetosha badala ya miaka 5.
Sio kila Prado inaweza ku-replace uwepo na umuhimu wa ambulance.
Kama kanuni inataja Ambulance na Ambulance haikuwepo basi kumfungia kocha kwa miaka 5 na kumpa pointi 3 mpinzani ambae hakuleta Ambulance uwanjani sio sawa.
Kama kanuni inasema Ambulance isipokuwepo uwanjani baada ya 15 minutes kupita ofisa anaahirisha mechi lakini yeye hakufanya hivyo, mechi hii sio sawa. Tayari kosa la kukosekana kwa ambulance limetendeka lakini, badala yake ofisa akapiga ramli kuwa Ambulance itarudi ilikokwenda, hivyo mechi iendelee kuchezwa nayo sio sawa, maana mchezaji angeweza kuumia uwanjani hata dakika ya 2 TU baada ya mchezo kuanza wakati Ambulance haijarudi ilikokwenda.
Kumuadhibu Makata kwa kutumia kanuni ya dk 30 badala ya ile ya dk 15 ni sawa na polisi kusubiri mhalifu atende kosa la pili ili amkamate.
Haki ingekuwa kuwaambia Namungo walete Ambulance on time bila kisingizio chochote maana tarehe na muda wa mechi ulifahamika mapema na uhaba na matumizi ya ambulance Yao wanaufahamu wao sio Mbwana na mbeya Kwanza.
Mwaka mmoja ungetosha badala ya miaka 5.