Mparee2 JF-Expert Member Joined Sep 2, 2012 Posts 3,290 Reaction score 5,765 Jun 6, 2022 #1 Mtu akitaka kutumia ambulance ya serikali kusafirishia mgonjwa kwenda Hospitali ya Serikali anatakiwa kufuata utaratibu gani?
Mtu akitaka kutumia ambulance ya serikali kusafirishia mgonjwa kwenda Hospitali ya Serikali anatakiwa kufuata utaratibu gani?
Hazchem plate JF-Expert Member Joined Feb 25, 2011 Posts 11,053 Reaction score 15,520 Jun 6, 2022 #2 Mparee2 said: Nikitaka kutumia ambulance kusafirishia mgonjwa natakiwa kufuata utaratibu gani? Click to expand... andaa hela
Mparee2 said: Nikitaka kutumia ambulance kusafirishia mgonjwa natakiwa kufuata utaratibu gani? Click to expand... andaa hela
and 998 others JF-Expert Member Joined Jun 27, 2012 Posts 28,216 Reaction score 39,693 Jun 6, 2022 #3 Mparee2 said: Mtu akitaka kutumia ambulance ya serikali kusafirishia mgonjwa kwenda Hospitali ya Serikali anatakiwa kufuata utaratibu gani? Click to expand... Uwe na Kadi ya Chama
Mparee2 said: Mtu akitaka kutumia ambulance ya serikali kusafirishia mgonjwa kwenda Hospitali ya Serikali anatakiwa kufuata utaratibu gani? Click to expand... Uwe na Kadi ya Chama
Tate Mkuu JF-Expert Member Joined Jan 24, 2019 Posts 44,595 Reaction score 131,394 Jun 6, 2022 #4 Andaa tu hela ya mafuta, na pia mgonjwa wako akidhi kweli vigezo vumya kusafirishwa kwa hiyo ambulance.
Andaa tu hela ya mafuta, na pia mgonjwa wako akidhi kweli vigezo vumya kusafirishwa kwa hiyo ambulance.